Sugar mammy

Sugar mammy

MAANAX

Member
Joined
Dec 9, 2012
Posts
36
Reaction score
2
Nataka mmama mnene Halafu awe na pesa tuwe wapenzi. 0655191544 awepo DSM
 
Hapo vipi?
 

Attachments

  • 1418058117962.jpg
    1418058117962.jpg
    53.6 KB · Views: 1,742
najua una pesa na umedata nami/
nachoomba shuga mammy punguza wivu nami/

oooooooo shuga mammyiii mama mkubwaaaaa X 2

shu....ga mammiiiii mamaa mkubwaaaaaa X 2

dully sykes
aibu utaona wewe nakwambia
 
Nataka mmama mnene Halafu awe na pesa tuwe wapenzi. 0655191544 awepo DSM

Wengi wao wana pesa walizoachiwa na waume zao waliokufa kwa ukimwi,tafuta fweza dogo utapata kila mwanamke umtakaye...
 
we una mapungufu gani ustafute za kwako hadi usake shuga mammy? Masugar mamy wapo ila ujipange kukumbana na risks zao pia
 
afu wazazi wako wanasema nina kijana wangu......

fanya kazi.....acha uvivu......
 
Nataka mmama mnene Halafu awe na pesa tuwe wapenzi. 0655191544 awepo DSM

Mimi namfaham sugar mammy mmoja ana mijihela, bonge la figure pamoja na Ukimwi. Vipi niwaunganishe, anataka kijana km wewe
 
kizazi cha nyoka hiki kinateketea! ukienda kinondoni makaburini soma majina ya wapangaji ni kuanzia 83inasikitisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom