Wote wajinga, mnatakiwa kujua kuvunjika kwa East Africa ni propaganada za Western Countries. Western countries hawafurahi inchi za kiafrica kuungana ili waendelee kututumia kwa manufaa yao. Mgogoro unao endelea kati ya Rwanda na Tanzania umepandikizwa na western countries kwa manufaa yao. Sie tumebaki kujisifuu ooo inchi yetu kubwa, tunautajiri kuliko Rwanda, tuna nguvu za kijeshi...wenzetu saa hizi wamekaa wanatucheka .... wanasema (Mission Accomplished).
Jamani tufunguke angalau kidogo
Kwa akili hiyo watanzania mtaishia kuzikwa katika hiyo ardhi,sasa hiyo ardhi isio tumiwa kuzalisha mali itawasaidia nini? mbaki na udongo wenu wengine waendelee kuungana.
Na wewe kwa akili yako hiyo utaishia mifupa yako kuwekwa kwenye memorials
Wote wajinga, mnatakiwa kujua kuvunjika kwa East Africa ni propaganada za Western Countries. Western countries hawafurahi inchi za kiafrica kuungana ili waendelee kututumia kwa manufaa yao. Mgogoro unao endelea kati ya Rwanda na Tanzania umepandikizwa na western countries kwa manufaa yao. Sie tumebaki kujisifuu ooo inchi yetu kubwa, tunautajiri kuliko Rwanda, tuna nguvu za kijeshi...wenzetu saa hizi wamekaa wanatucheka .... wanasema (Mission Accomplished).
Jamani tufunguke angalau kidogo