utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,846
- 2,512
- Thread starter
- #41
tuna viwanja mwasonga,kisarawe II na Gezaulole beach plots. .Kwa mfano, kiwanja cha bei ya chini kina shiling ngap? nami nalipa asilimia ngap kwanza na nalipa ngapi ya iliyobaki kila mwezi?
- Gezaulole beach plots tunauza kwa 25000/sqm na plot ya chini kabisa tuna 530sqm it means total yake ni 13250000
-Kisarawe II tunauza 20000/sqm na plot ya chini kabisa tuna 631sqm it means total yake ni 12620000
-Mwasonga tunauza 8000/sqm na plot ya chini kabisa tuna 556sqm it means total yake ni 4448000
Malipo yake unaanza na asilimia 30% ya bei ya kiwanja haraf utaendelea kulipa taratibu kutokana na makubaliano yetu mkuu
hvo mwasonga na kisarawe II vyote eneo lipo barabara kuu ambayo kama unakujua vizur kigambon basi utakubaliana nami inatengenezwa Lami asaiv
KARIBU TUKUHUDUMIE