SUCI COMPANY LIMITED

SUCI COMPANY LIMITED

utukufu mwanjisi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2017
Posts
2,846
Reaction score
2,512
*Sustainable cities company limited (SUCI )
Hii ni kampuni changa na binafsi ambayo imeanzishwa na vijana wa kitanzania ambao wapo katika sekta ya ardhi kwa muda mrefu na wameamua kufanya kazi na wananchi kwa uaminifu mkubwa kwa kushughulikia changamoto tofauti tofauti zinazopatikana katika sekta ya ardhi.Lengo kuu ya kuanzisha kampuni hii ni;

● KUFAIDISHA
~Upimaji wa maeneo kwa ajiri ya kutafutia hati miliki ya eneo husika.

~Uuzaji wa viwanja vilivyopimwa na vyenye hati miliki.

~Ununuzi(tunanunua ) maeneo makubwa na kuyakata viwanja kwa ajiri ya kuviuza kwa watu wenye uhitaji wa kujenga(matumizi mengine ).

~kuyapa uthaman maeneo makubwa kwa ajiri ya matumizi mbali mbali mfano industry areas au maeneo kama uhitaji wa kuweka real estates.

~Uuzaji maeneo kwa malipo ya awamu(installment) kwa muda wa miez 12.

~utengenezaji wa ramani za majengo mbalimbali pia tonatoa huduma ya usimamizi wa ujenzi mpaka linapoisha kwa uaminifu mkubwa sana.

● KUELIMISHA
~ Kuelimisha(bure) namna ya matumizi ya maeneo kutokana na location lililopo na uhitaji wa jamii kwa muda muafaka.

~ Kuelimisha vijana namna ya kumiliki ardhi na njia za kupitia ili kuwa na uhakika wa maeneo wanayohitaji kununua au kujenga kukwepa migogoro isiyo na tija.

● KUUNGANISHA
~ Kukuunganisha na baadhi ya bank ambazo zitakupa mkopo wa kujenga nyumba ili mradi uwe na kiwanja chenye hati miliki na uwe mfanyakazi mwenye ajira ya kudumu au mfanyabiashara ambayo tutaweza kuangalia malengo yako.

~ Tunafanya urasimishaji wa maeneo mbalimbali (yaliyo holela na kuyafanya kupangika kwa hiyo kama unaishi maeneo yasiyopimwa tutafute kwa mawasiliano tujadiliane au fika ofisin kwetu.

● KUKUTANISHA
~ Pia tunafanya marketing kwa kampuni mbalimbali kwa mfumo wa Geo-information system(GIS).Mfano, kampuni ina bidhaa inahitaji wateja na ambao itawapata itahitaji kuwaweka katika mfumo ambao itakuwa rahisi kuwatambua sehem walipo kwa kutumia hiyo system ambayo itakuwa visible kwa management.hata akitokea marketer mpya rahis kuwatambua wateja ambao walishatengenezwa muda na wapo katika ramani za kampuni.

MAENEO TUNAYOUZA NA TUNAYO KATIKA KAMPUNI
[emoji830]UNUNIO -100miter kutoka barabara ya Lami kunduchi road

[emoji830]MBWENI MALINDI - 2.7km kutoka bagamoyo road kwa kishua

[emoji830]MBWENI JKT -3.3 km kutoka bagamoyo road kwa kishua sana

[emoji830]GOBA tegeta "A"- 4km kutoka mainroad ya Goba road

[emoji830]KIGAMBONI kisarawe 2 -12km kutoka ferry na 1km kutoka Kibada centre

[emoji830]KIGAMBONI gezaulole -12km kutoka ferry pia beach plots

[emoji830]VIKAWE baobab secondary-5km from bagamoyo road

[emoji830]VISIGA ZEGERENI -6km kutoka morogoro road

[emoji830]Tuna eneo la kuweka petrol station tena zuri sana njia ya Kibada to mwasonga only 1km kutoka kibada centre barabara ndo inapigwa Lami asaiv

[emoji830]Tuna maeneo mawili ya petrol station Bagamoyo road (baobab secondary ) pale kwenda Kibaha centre barabara ipo katika mpango wa Lami.

MAENEO TULIYONAYO KWENYE PROCESS YA SURVEYED PLAN MUDA WOWOTE TUTAYAWEKA SOKONI

[emoji830]GOBA(njia panda ya mbopo)-1km kutoka Goba-madale road

[emoji830]GOBA(kisauke)-500miter kutoka Goba-madale road

[emoji830]BUNJU"A"(mianzini) -1km kutoka bagamoyo road

[emoji830]MADALE(kwa kawawa )-5km kutoka bagamoyo road

NB; Kumbuka malipo yetu sisi tunafanya kwa installment ya miez 12, pia tuna deal na taasisi mbali mbali katika biashara zetu karibuni.

Hivyo basi wanaohitaji huduma zetu tunapitikana

SUCI COMPANY LIMITED
Location ;Kinondoni
area ;Mbezi beach Tangi Bovu
Jengo; NBC house (ghorofa ya tatu).
Plot no; 578
Block no; B
Mawasiliano; 0713132109, 0752602988
Email; sucicompany@gmail.com
 
karibuni sana wakuu viwanja bado vipo fika ofisin tanki buvu mbezi beach tukuhudumie
 
Safi sana,ntawatembelea very soon
 
Manispaa ya jiji la dar es salaam inawatambua nyie kama land stake holders kwa maeneo mnayosema mnafanya shughuli zenu? Na imewapa license na permit as per regulations.
 
Manispaa ya jiji la dar es salaam inawatambua nyie kama land stake holders kwa maeneo mnayosema mnafanya shughuli zenu? Na imewapa license na permit as per regulations.
Asante kwa swali hili mkuu. ...nadhan hamna kazi zetu tunaweza kuzifikisha mpaka kupewa kibali cha kupima bila manispaa kujua pili ni kampuni iliyosajiliwa kisheria na tatu Hata ukienda leo Board ya planning watakuambia wanaifahamu kampuni hii
 
Manispaa ya jiji la dar es salaam inawatambua nyie kama land stake holders kwa maeneo mnayosema mnafanya shughuli zenu? Na imewapa license na permit as per regulations.
Pia mkuu mpaka nakutafutia hati miliki ya eneo lako naanzia chini kabisa kimamlaka mpaka wizaran so sidhan kama kuna kampun inaweza fika wizaran haitambuliki ...Asante na karibu tukuhudumie
 
*Sustainable cities company limited (SUCI )
Hii ni kampuni changa na binafsi ambayo imeanzishwa na vijana wa kitanzania ambao wapo katika sekta ya ardhi kwa muda mrefu na wameamua kufanya kazi na wananchi kwa uaminifu mkubwa kwa kushughulikia changamoto tofauti tofauti zinazopatikana katika sekta ya ardhi.Lengo kuu ya kuanzisha kampuni hii ni;

● KUFAIDISHA
~Upimaji wa maeneo kwa ajiri ya kutafutia hati miliki ya eneo husika.

~Uuzaji wa viwanja vilivyopimwa na vyenye hati miliki.

~Ununuzi(tunanunua ) maeneo makubwa na kuyakata viwanja kwa ajiri ya kuviuza kwa watu wenye uhitaji wa kujenga(matumizi mengine ).

~kuyapa uthaman maeneo makubwa kwa ajiri ya matumizi mbali mbali mfano industry areas au maeneo kama uhitaji wa kuweka real estates.

~Uuzaji maeneo kwa malipo ya awamu(installment) kwa muda wa miez 12.

~utengenezaji wa ramani za majengo mbalimbali pia tonatoa huduma ya usimamizi wa ujenzi mpaka linapoisha kwa uaminifu mkubwa sana.

● KUELIMISHA
~ Kuelimisha(bure) namna ya matumizi ya maeneo kutokana na location lililopo na uhitaji wa jamii kwa muda muafaka.

~ Kuelimisha vijana namna ya kumiliki ardhi na njia za kupitia ili kuwa na uhakika wa maeneo wanayohitaji kununua au kujenga kukwepa migogoro isiyo na tija.

● KUUNGANISHA
~ Kukuunganisha na baadhi ya bank ambazo zitakupa mkopo wa kujenga nyumba ili mradi uwe na kiwanja chenye hati miliki na uwe mfanyakazi mwenye ajira ya kudumu au mfanyabiashara ambayo tutaweza kuangalia malengo yako.

~ Tunafanya urasimishaji wa maeneo mbalimbali (yaliyo holela na kuyafanya kupangika kwa hiyo kama unaishi maeneo yasiyopimwa tutafute kwa mawasiliano tujadiliane au fika ofisin kwetu.

● KUKUTANISHA
~ Pia tunafanya marketing kwa kampuni mbalimbali kwa mfumo wa Geo-information system(GIS).Mfano, kampuni ina bidhaa inahitaji wateja na ambao itawapata itahitaji kuwaweka katika mfumo ambao itakuwa rahisi kuwatambua sehem walipo kwa kutumia hiyo system ambayo itakuwa visible kwa management.hata akitokea marketer mpya rahis kuwatambua wateja ambao walishatengenezwa muda na wapo katika ramani za kampuni.

MAENEO TUNAYOUZA NA TUNAYO KATIKA KAMPUNI
[emoji830]UNUNIO -100miter kutoka barabara ya Lami kunduchi road

[emoji830]MBWENI MALINDI - 2.7km kutoka bagamoyo road kwa kishua

[emoji830]MBWENI JKT -3.3 km kutoka bagamoyo road kwa kishua sana

[emoji830]GOBA tegeta "A"- 4km kutoka mainroad ya Goba road

[emoji830]KIGAMBONI kisarawe 2 -12km kutoka ferry na 1km kutoka Kibada centre

[emoji830]KIGAMBONI gezaulole -12km kutoka ferry pia beach plots

[emoji830]VIKAWE baobab secondary-5km from bagamoyo road

[emoji830]VISIGA ZEGERENI -6km kutoka morogoro road

[emoji830]Tuna eneo la kuweka petrol station tena zuri sana njia ya Kibada to mwasonga only 1km kutoka kibada centre barabara ndo inapigwa Lami asaiv

[emoji830]Tuna maeneo mawili ya petrol station Bagamoyo road (baobab secondary ) pale kwenda Kibaha centre barabara ipo katika mpango wa Lami.

MAENEO TULIYONAYO KWENYE PROCESS YA SURVEYED PLAN MUDA WOWOTE TUTAYAWEKA SOKONI

[emoji830]GOBA(njia panda ya mbopo)-1km kutoka Goba-madale road

[emoji830]GOBA(kisauke)-500miter kutoka Goba-madale road

[emoji830]BUNJU"A"(mianzini) -1km kutoka bagamoyo road

[emoji830]MADALE(kwa kawawa )-5km kutoka bagamoyo road

NB; Kumbuka malipo yetu sisi tunafanya kwa installment ya miez 12, pia tuna deal na taasisi mbali mbali katika biashara zetu karibuni.

Hivyo basi wanaohitaji huduma zetu tunapitikana

SUCI COMPANY LIMITED
Location ;Kinondoni
area ;Mbezi beach Tangi Bovu
Jengo; NBC house (ghorofa ya tatu).
Plot no; 578
Block no; B
Mawasiliano; 0713132109, 0752602988
Email; sucicompany@gmail.com
Nahitaji kiwanja maeneo ya mbweni mkuu ntakuja ofisin ila bei ziwe zinaeleweka
 
Write your reply... Acheni utapeli! mlikuja kigamboni mkatupga lak lak kila mwenye kiwanja had leo hamjafanya chochote, endeleeni tu kushrikiana na mtendaji na mwenyekiti kuibia wananchi ipo siku yenu.

4ji
 
Write your reply... Acheni utapeli! mlikuja kigamboni mkatupga lak lak kila mwenye kiwanja had leo hamjafanya chochote, endeleeni tu kushrikiana na mtendaji na mwenyekiti kuibia wananchi ipo siku yenu.

4ji
Sijakuelewa mkuu au unaona ufahari kuja kuharibu biashara yang hapa...hii kampuni kwa bahat mbaya ina mwez tu ko sijajua lini tulishilikiana na wananchi katika kazi zetu mana hata maeneo tuliyonayo tumeyapima ya watu binafsi ko hizo laki laki tulizichukua lin mkuu tafadhal hii ni biashara weka pembeni hayo mambo ya kuharibiana
 
Write your reply... Acheni utapeli! mlikuja kigamboni mkatupga lak lak kila mwenye kiwanja had leo hamjafanya chochote, endeleeni tu kushrikiana na mtendaji na mwenyekiti kuibia wananchi ipo siku yenu.

4ji
Nadhan hapo juu nimeweka details zote tunapopatikana kwann msitushtaki mkuu mana kampuni ipo wazi muda wote haraf mimi mwenyew nimetumia majina yang halisi kabisa bila kuficha. .
 
Write your reply... ina mwezi ndio lakini maeno mnayopta kupima ndio nyie nyie nawajua tangu kabla, kama unaona naleta mambo ya uongo sawa, kwan hamuwez kulia watu hela kabla ya kufungua kampuni.? we vp mkuu nawajua nyie
 
Back
Top Bottom