utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,846
- 2,512
- Thread starter
- #21
Kingine siku nyingine usifanye hivo kwenye biashara za watu mana wote vijana inatakiwa tufanye biashara za uaminifu tufike mbali nikifanya utapeli leo na umri huu mkuu nitafika kwel isitoshe sisi tupo chini ya sheria za mipango miji ukitushitaki hatuchukui muda lazima tupotee fanya hivo kama tumekuzurumu acha hivo bwana wote tunatafuta maisha hapaWrite your reply... Acheni utapeli! mlikuja kigamboni mkatupga lak lak kila mwenye kiwanja had leo hamjafanya chochote, endeleeni tu kushrikiana na mtendaji na mwenyekiti kuibia wananchi ipo siku yenu.
4ji