Subdomain vs Subdirectory!!

Subdomain vs Subdirectory!!

Chige

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2008
Posts
13,493
Reaction score
29,888
Guys, salaam!!!

Huu mjadala nauleta hapa manake baada ya kupitia michango mbalimbali huko kwa wenzetu ni kama hakuna jibu sahihi la which is which kwahiyo ningependa kupata maoni ya Kibongo!!!

Watalaamu wa fani husika bila shaka wameshaelewa kutokana na title hapo juu!! Kwamba, assume nina website yangu www.mazao.com lakini nataka kutengeneza pacha wake kwa mfano, nyanya.

Hapo lengo langu iwe ama nyanya.mazao.com (subdomain) au mazao.com/nyanya/ (directory)

Forget about SEO stuffs but assume una traffic/visitors wengi. Je, kama mtalaamu ungechagua ipi kwa lengo la ku-handle high traffics? Subdomain or Directory?

Kwavile subdomain unaweza kuitengenezea pacha wake vile vile (directory); kwa mfano nyanya.mazao.com/nyanyachungu; je, hii inatosha kuwa sababu kwamba subdomain ni top over directory?

JF naona inatumia subdirectories... Mkuu Invisible, Maxence Melo & Co, mnaweza ku-share experience yenu as to why subdirectories and not subdomains?
 
ku-handle high traffics hapa hakuna cha subdomain au subdirectory bali ni hosting (server) provider wako! Subdirectory are more Seo friendly and easy to remember!
 
ku-handle high traffics hapa hakuna cha subdomain au subdirectory bali ni hosting (server) provider wako! Subdirectory are more Seo friendly and easy to remember!
Which means, iwe subdomain or directory bado haina tofauti yoyote ile?! Hilo la SEO nalo ni pasua kichwa manake kila mmoja anasema lake!!!
 
Which means, iwe subdomain or directory bado haina tofauti yoyote ile?! Hilo la SEO nalo ni pasua kichwa manake kila mmoja anasema lake!!!
ku-handle high traffics mkuu tafuta hosting company nzuri tu. Karibu blue host,
 
ku-handle high traffics mkuu tafuta hosting company nzuri tu. Karibu blue host,
Next time nina mpango wa kuwatumia hao jamaa... unajua nimewazoea Hostgator kwa sababu hawajawahi kuni-disappoint kwenye customer care kwavile am not IT Guy so wakati naanza nilitaka sana host aliye vizuri kwenye customer care!!! Hebu tuachane na hayo ya traffic kwa sababu hata mimi nilijichanganya kwa sababu hata kwa hostgator, uwezo wa ku-handle traffic inategemeana sana na plan/package unayoitumia!

Hebu nijuze kuhusu database capacity kati ya subdomain na directory... hiki ndicho hasa nilitarajia kuuliza!!!
 
sio kila website iwe na database,ila capacity inatolewa na hosting provider.Mfano hosting yako inatoa 5 mySQL database ikiwa na total 1GB, ina maana utaweza kutengeneza database 5 ambazo data zake zote zisizidi 1GB.Kwa hiyo kama tovuti zako zinahitaji database hiyo mfano mazao.com itakuwa na database na nyanya.mazao.com itakuwa na database hii mazao.com/nyanya inaweza kutumia database ya mazao.com.Ukubwa wa database hautegemei kuwa ni domain au subdomain unategemea umepewa kiasi gani kutoka kwa hosting provider
 
sio kila website iwe na database,ila capacity inatolewa na hosting provider.Mfano hosting yako inatoa 5 mySQL database ikiwa na total 1GB, ina maana utaweza kutengeneza database 5 ambazo data zake zote zisizidi 1GB.Kwa hiyo kama tovuti zako zinahitaji database hiyo mfano mazao.com itakuwa na database na nyanya.mazao.com itakuwa na database hii mazao.com/nyanya inaweza kutumia database ya mazao.com.Ukubwa wa database hautegemei kuwa ni domain au subdomain unategemea umepewa kiasi gani kutoka kwa hosting provider
Thanks kwa huu ufafanuzi na una-make sense hata kwa asiye na utalaamu!!
 
Back
Top Bottom