Subaru mnatufilisi, Gari zinakunywa mafuta kama zinameza!

Mnamiliki gari halafu mnawaza mafuta. Wakati wenu ulikuwa bado. Endeleen kupanda FEKON
Unakosea...

Kuna mahali nimelalamika gari limenishinda kulihidumia mafuta..?

Point yangu ililenga kutoa maelezo ya namna mtu anaweza kufahamu uhalisia wa consumption ya mafuta...mfano kila lita 1, gari fulani linaweza kwenda km ngapi..

Sidhani kama kuandika vile nilikosea..

Maana taarifa za mtandaoni nyingi hazina uhalisia
 
Unakosea...

Kuna mahali nimelalamika gari limenishinda kulihidumia mafuta..?

Point yangu ililenga kutoa maelezo ya namna mtu anaweza kufahamu uhalisia wa consumption ya mafuta...mfano kila lita 1, gari fulani linaweza kwenda km ngapi..

Sidhani kama kuandika vile nilikosea..

Maana taarifa za mtandaoni nyingi hazina uhalisia
Unajistukia! Ulaji wa mafuta unasababishwa na vitu vingi (eg. Mileage, ubovu wa Gari, barabara, ujazo wa upepo kwenye matairi etc.)
 
Mkuu watu wananua magari bila kujua matumizi yake.
Nimetumia Subaru matoleo mawili sasa, ya '98 na ya 2002.
Hizi gari hazikukopeshi, ni brilliant perfomers. Engine zake ni sports, hazikutengenezwa kubania mafuta bali ku-out perform.

Nilijaribu hilo katika mbuga za Makambako-Iringa.
Cruiser moja ilinipita kwa fujo, nami nikaamua kukanyaga mafuta.
Spidi zikifika zaidi ya 140km/hr. valves zinazibuka na kamnyama haka ka Subaru kana paa kirahisi sana hadi 180km/hr na mashine wala haipandishi temperature wakati wa high revs.
Kwa kifupi ile Cruiser nami tukawa ngoma droo hadi Iringa, na dereva mwenzangu wa Cruiser ilibidi akubali.

Hala hala lakini, kamchezo hako ni kwa wazoefu tu na pochi ikiruhusu.
Samahani mkuu cruiser gani maana zipo aina nyingi.
 
Back
Top Bottom