Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,223
- 7,408
Mnamiliki gari halafu mnawaza mafuta. Wakati wenu ulikuwa bado. Endeleen kupanda FEKONNjia rahisi fanya hivi....hapo kwenye dash kuna ile button ukiibonyeza unaweza kuona mileage ya gari au Trip A na trip B..
Gari likiwa limeswasha taa ya mafuta, nenda kaongeze mafuta mfano lita 5..