rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
habari zenu wote
naombeni msaada kidogo kuhusu subaru forester,nimenunua hii gari kama week mbili zimepita,nimegundua hili gari lina matatizo ambayo nisingependa yanipe ugonjwa wa moyo
nikiwasha gari nikiweka drive gari haiendi,inakaa kama sekunde 10 ndo inaenda,wakuu hili jambo limenisiktisha sana
je kabla sijachukua hatua yoyote kuna mtu mwenye subaru na yalishamkuta haya
naombeni ufumbuzi
naombeni msaada kidogo kuhusu subaru forester,nimenunua hii gari kama week mbili zimepita,nimegundua hili gari lina matatizo ambayo nisingependa yanipe ugonjwa wa moyo
nikiwasha gari nikiweka drive gari haiendi,inakaa kama sekunde 10 ndo inaenda,wakuu hili jambo limenisiktisha sana
je kabla sijachukua hatua yoyote kuna mtu mwenye subaru na yalishamkuta haya
naombeni ufumbuzi