DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,893
- 47,875
Swala la shetani na uchawi limepelekea watu kujipatia utajiri na mafanikio makubwa huku Africa.
Watu wamekuwa wakifanya mambo pasipo kutumia Akili na mwisho zigo la lawama wanamtupia shetani.
Ukianza kuhisi shetani anakuzuia kufanikiwa fahamu tu utapigwa hela muda sio mrefu.
Pia ukianza kuona unasema wachawi wana-Andama maisha yako jua hutapigwa hela.
Shetani na uchawi ni miradi ya watu kufanikiwa na kupiga pesa.
Watu wamekuwa wakifanya mambo pasipo kutumia Akili na mwisho zigo la lawama wanamtupia shetani.
Ukianza kuhisi shetani anakuzuia kufanikiwa fahamu tu utapigwa hela muda sio mrefu.
Pia ukianza kuona unasema wachawi wana-Andama maisha yako jua hutapigwa hela.
Shetani na uchawi ni miradi ya watu kufanikiwa na kupiga pesa.