Niliusikiliza kwa makini sana mjadala wa posho za wabunge A.mashariki na kati uliokuwa unarushwa hewani na radio bbc, nilishikwa na bumbuwazi nilipokuwa nasikia hoja za utetezi za nkamia kuhusu posho.
Hoja ya kuwa zito amepokea posho bunge lililopita kwa nini sasa anakataa.
kwa msomo na mwanahabari wa cku nyingi kama nkamia ni aibu, kama yeye haoni aibu mimi naona aibu kwa niaba yake, inamana alishindwa hata kujiuliza kwamba, KAMA MTU ALIKUWA MWIZI KWA KUDHAMIRIA AU KUTOKANA NA MAZINGIRA, AMEAMUA KUACHA, UNAWEZA KUMUULIZA KWA NINI UNAACHA WAKATI UMEIBA MIAKA YOTE? INA MAANA KWA MTAZAMO WAKE, UZOEFU UNAHALALISHA MAOVU.
Hoja ya kwamba kuna chadema wanazitaka ila tu wanafuata mkumbo.
Hilo nalo halifanyi posho kuwa halali kwa sababu kutozitaka posho watu wengine hakugeuzi mitazamo ya watanzania wengi kuhusu posho, na nina hakika naye nkamia hajawaohoji wabunge wote wa ccm ili wampe mcmamo wao kuhusu posho, nina hakika wapo wanaozipinga ila wanaogopa mkate wao kuingiwa mchanga 2015.
KWA KIFUPI MSOMI NA MWANAHABARI KAMA JUMA NKAMIA HAKUSTAHILI KUTUMIA HOJA HIZO, WENDA ANAWEZA akawa na hoja ZA MCNGI KUHUSU POSHO LAKINI NAMSHAURI ATUMIE HOJA ZENYE MSHIKO KWANI ANAZOTUMIA ZINAMDHARIRISHA.
Hoja ya kuwa zito amepokea posho bunge lililopita kwa nini sasa anakataa.
kwa msomo na mwanahabari wa cku nyingi kama nkamia ni aibu, kama yeye haoni aibu mimi naona aibu kwa niaba yake, inamana alishindwa hata kujiuliza kwamba, KAMA MTU ALIKUWA MWIZI KWA KUDHAMIRIA AU KUTOKANA NA MAZINGIRA, AMEAMUA KUACHA, UNAWEZA KUMUULIZA KWA NINI UNAACHA WAKATI UMEIBA MIAKA YOTE? INA MAANA KWA MTAZAMO WAKE, UZOEFU UNAHALALISHA MAOVU.
Hoja ya kwamba kuna chadema wanazitaka ila tu wanafuata mkumbo.
Hilo nalo halifanyi posho kuwa halali kwa sababu kutozitaka posho watu wengine hakugeuzi mitazamo ya watanzania wengi kuhusu posho, na nina hakika naye nkamia hajawaohoji wabunge wote wa ccm ili wampe mcmamo wao kuhusu posho, nina hakika wapo wanaozipinga ila wanaogopa mkate wao kuingiwa mchanga 2015.
KWA KIFUPI MSOMI NA MWANAHABARI KAMA JUMA NKAMIA HAKUSTAHILI KUTUMIA HOJA HIZO, WENDA ANAWEZA akawa na hoja ZA MCNGI KUHUSU POSHO LAKINI NAMSHAURI ATUMIE HOJA ZENYE MSHIKO KWANI ANAZOTUMIA ZINAMDHARIRISHA.