Suala la nzige sio suala la kupuuzwa kabisa. Nchi itakumbwa na njaa na mfumuko mara dufu

toplemon

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
4,581
4,631
Nimesikia habari ya nzige nimeogopa sana aisee.

Hii issue watu wanaibeba kama utani sana hawa wadudu ni hatari sana wanaweza wakasambaa nchi nzima ikawa ni balaa.

Na ukizingatia huu ndo msimu wa kuanza kulima kwa mikoa mingi mazao yataliwa yote matokeo yake kutakua hakuna mavuno na kupelekea njaa na mfumuko wa bei.

Refer baa la njaa la Kenya; angalieni hali ya Somalia, sitaki tufike huko. Badala yake tuchukue hatua stahiki za kuwadhibiti hawa wadudu.

Ni hayo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Africa tuna umimi sana. Hapo ilikuwa waweke kikao cha dharura na kuanza kuandaa ndege zenye sumu na kupambana nao na kuwamaliza, Lakini kila nchi imejitenga kivyake utafikiri wana uwezo wa kuzuia peke yao, halafu baadaye njaa ikianza waanze kuomba misaada nje.

Hawachukulii kama ni janga hilo.


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Ni muda tu kundi la nzige litaingia Tanzania na Uganda ha Sudan ya Kusini. Msumbiji pia imevamiwa na kundi la panzi ambao wanatafuna mashamba huko.

=====

Greedy grasshoppers destroy Mozambique crops

Elegant grasshoppers are a problem during the rainy season. Grasshoppers have devastated crops in many districts of the southern Mozambique over the last two months.

The plague of elegant grasshoppers had destroyed 10 hectares - about 30 tonnes of crops, Elias Mula, an official from the agricultural ministry, said.

This included maize, sweet potatoes and beans, he added. "Farmers know the kind of grasshoppers I am taking about. They eat all leaves or perforate them, reducing any harvests.”

He said insecticide and experts had been sent to Marracuene, Manhica and Boane districts to help fight the insects.

Source: BBC News
 
Somalia sasa hivi ni asubuhi mandazi kwa Supu ya Nzige mchana ugali kwa mboga ya Nzige

images.jpeg-1.jpg
images.jpeg.jpg
 
hapana mkuu, locusts ndio kwanza wapo safarini kuja uelekeo wa nchi yetu upande wa kaskazini. Unaambiwa ni kundi la locusts wanaokava ukubwa wa eneo la 8km maanaake wakipita hapa jua hulioni mpaka wamalize kukatiza.
Serikali ya Magufuli haiwezi kuwakaribisha hapa nchini
 
Nyanya zitakuwa zimeathiriwa na mvua kuwa kubwa na mfululizo. Mvua zikizidi nyanya hazistawi, zenye maua yanapukutika na zenye matunda yanaoza. Hata vitunguu sasa hivi viko ghali. Nadhani ni hiyo hiyo mvua ndiyo tatizo.
Tunahitaji maombi ili hali isiwe mbaya zaidi
 
“…if you refuse to let My people go, behold, tomorrow I will bring locusts into your territory. And they shall cover the face of the earth, so that no one will be able to see the earth; and they shall eat the residue of what is left, which remains to you from the hail, and they shall eat every tree which grows up for you out of the field” (Exodus 10:4-5).

Hizi ni hujuma dhidi meko tuachie baba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Africa tuna umimi sana
Hapo ilikuwa waweke kikao cha dharura na kuanza kuandaa ndege zenye sumu na kupambana nao na kuwamaliza
Lakini kila nchi imejitenga kivyake utafikiri wana uwezo wa kuzuia peke yao
Halafu baadae njaa ikianza waanze kuomba misaada nje
Hawachukulii kama ni janga hilo


Sent from my iPhone using Tapatalk
Nimeshangaa wanasema wapo km 50 kutoka Tanzania
Sasa kama East Africa countries si zishirikiane kuwatokomeza huko walipo?!
Wanasubiri wafike 0 km ndo wawaangamize!
 
Nimeshangaa wanasema wapo km 50 kutoka Tanzania
Sasa kama East Africa countries si zishirikiane kuwatokomeza huko walipo?!
Wanasubiri wafike 0 km ndo wawaangamize!

Yaani wakishafika no turning back watakula kila kitu
Ndege za kumwaga dawa za kuuwa wanazo ila sisi huwa ni wa mwisho katika kutatua matatizo
Mpaka tuteketee ndio tunaanza kuomba misaada
Eeh Mungu tuondolee hili Giza la machoni


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom