GE2025 Suala la kuzima mitandao linatuathiri sana sisi wafanyabiashara

GE2025 Suala la kuzima mitandao linatuathiri sana sisi wafanyabiashara

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Kwenye hii nchi ikifikia wakati wa wenye mamlaka kulinda maslahi yao hufanya jambo lolote lile haijalishi kama litakuwa Lina athari kwa jamii au laah

Waache waendelee kutapa tapa wazime mtandao wazime na umeme mpaka maji wafunge ila Dunia njia tunapita
 
Hv kwa mfano kukawa na press kati ya waandishi na Mh Waziri wa Mawasiliano wakataka kujua juu ya hili lililotokea
Je Mh Waziri atawambia Nini watanzania?
Je ipi ni sababu ya kupotea kwa baadhi ya social networks?
 
Back
Top Bottom