sasa mbona amefungiwaKuna watu mpira wanaipenda lakini wao hauwapendi, ni pamoja na mleta mada!!!
Ulitaka TFF wafanye nini wakati vibali vya kuitumikia Simba kutoka Misri na FIFA vilitolewa?
Kama unaweza kuwa na kumbukumbu Konde boy na Kichuya walichelewa sana kuanza kuitumikia Simba hizi ni kwasababu vibali vya FIFA vilikuwa bado!
Lakini baadaye vilipatikana na Cha Kichuya kilikuwa Provisional
Na wasipofanikiwa kushinda!!! Tujueje?,sasa mkuu WHO na mpira wap na wap,but tujue tu kwamba kuna madhaifu ndan ya shirikisho letu,na kama kesi ya Morrison Yanga walienda mbele zaidi na may be wakafankiwa kushinda,basi jua kwamba vilevile ndan ya Simba kuna madhaifu ndan ya uongozi/kufanya vitu kwa kukurupuka kama njiwa kwenye mabanda yao!
Sent from Nokia 7 Plus
Hivi hata hiyo comment yangu umeisoma?sasa mbona amefungiwa
Uliipeleka wewe?Yanga kesi yao iko fifa kitambo tu
Ndio nimeisomaHivi hata hiyo comment yangu umeisoma?
Mtajua tu jinsi mambo yanavyokwenda day to day,so tuliaNa wasipofanikiwa kushinda!!! Tujueje?
Tunakata pale kwenye B20Kwahy hiyo fain ya ml 300 mo atakua kaikopesha simba tena
Iko hivi, pamoja na Fifa kutoa kibali cha kuchukua kuichezea Simba bado alikuwa na pending kesi na timu yake iliyomnunua kutoka Tanzania!Ndio nimeisoma
NAomba nijibu vizuri usipanic kwanini kichuya amefungiwa
Au ameonewa?
Iko hivi, pamoja na Fifa kutoa kibali cha kuchukua kuichezea Simba bado alikuwa na pending kesi na timu yake iliyomnunua kutoka Tanzania!Ndio nimeisoma
NAomba nijibu vizuri usipanic kwanini kichuya amefungiwa
Au ameonewa?
Tutajua mambo yanayokwenda day to day wakati hadi sasa ni miezi hatujui yanavyoenda!Mtajua tu jinsi mambo yanavyokwenda day to day,so tulia
Sent from Nokia 7 Plus
Sio WHO pekee yake utopolo walienda mpaka UNICEFWalienda hadi WHO
Simba nao wazembe katika usajir ipo siku watakuja kujuta ,maana tukianzia kwa morison ad uyo kuchuya hawakua ata na sababu ya kuwasajil ata kama wasingekua na matatzoAlivyorudi Simba sikuelewa kwanini alisajiliwa upya
Hakuna na namba ya kucheza kabisa
Aliwatishia kuwa anasaini yangaAlivyorudi Simba sikuelewa kwanini alisajiliwa upya
Hakuwa na namba ya kucheza kabisa
Haya, je, namungo inaweza kupokonywa points walizomchezesha Kichuya kama club zitadai?Nilikuwa namjibu huyo anayewalaumu TFF maana kwa hapo hawahusiki! Wao walifanyia kazi vibali kutoka Misri na kile cha Provisional KUTOKA FIFA.
Khs kwanini Simba wamelimwa mia 3, ni kutokana na taratibu za usajili imeonekana Kichuya ni kama alitoroka kwa Mwajiri wake hakupewa mkono wa kwaheri kabla ya kurudi Simba!
Inamaana hapa kuna uzembe kwa viongozi wa Simba walifanya na Kichuya naye alikosa proffesionalism lbd hana msimamizi makini!
Mwisho kabisa shirikisho la Misri nalo lilituingiza kibra.
Ila yote kwa yote uongozi wa Simba wanatakiwa wajitathimini kwa hili!
Kichuya aliruhisiwa vipi na TFF kuichezea Simba bila taratibu za uhamisho kukamilika?