Suala la Kichuya kufungiwa ni ushahidi kuwa TFF inaibeba Simba

Kuna watu mpira wanaipenda lakini wao hauwapendi, ni pamoja na mleta mada!!!

Ulitaka TFF wafanye nini wakati vibali vya kuitumikia Simba kutoka Misri na FIFA vilitolewa?

Kama unaweza kuwa na kumbukumbu Konde boy na Kichuya walichelewa sana kuanza kuitumikia Simba hizi ni kwasababu vibali vya FIFA vilikuwa bado!

Lakini baadaye vilipatikana na Cha Kichuya kilikuwa Provisional
sasa mbona amefungiwa
 
,sasa mkuu WHO na mpira wap na wap,but tujue tu kwamba kuna madhaifu ndan ya shirikisho letu,na kama kesi ya Morrison Yanga walienda mbele zaidi na may be wakafankiwa kushinda,basi jua kwamba vilevile ndan ya Simba kuna madhaifu ndan ya uongozi/kufanya vitu kwa kukurupuka kama njiwa kwenye mabanda yao!

Sent from Nokia 7 Plus
Na wasipofanikiwa kushinda!!! Tujueje?
 
Ndio nimeisoma
NAomba nijibu vizuri usipanic kwanini kichuya amefungiwa
Au ameonewa?
Iko hivi, pamoja na Fifa kutoa kibali cha kuchukua kuichezea Simba bado alikuwa na pending kesi na timu yake iliyomnunua kutoka Tanzania!


Maana inavyoonekana yeye alitoka huko alikokuwa kwa mkopo baada ya kushindwa na kuamua kuvunja Mkataba wake kinyemela bila ya Mwajiri wake kumpa ridhaa ya kuondoka!

Hivyo basi alisajiliwa Simba huku timu ya Pharco ikiwa haijaruhusu aondoke rasmi!


Ndio maana nikamlizia kwa kusema Chama cha Soka Misri kilitupiga lkn mbaya zaidi kuna viongozi Simba hawakutimiza wajibu wao! Walikurupuka
 
Ndio nimeisoma
NAomba nijibu vizuri usipanic kwanini kichuya amefungiwa
Au ameonewa?
Iko hivi, pamoja na Fifa kutoa kibali cha kuchukua kuichezea Simba bado alikuwa na pending kesi na timu yake iliyomnunua kutoka Tanzania!


Maana inavyoonekana yeye alitoka huko alikokuwa kwa mkopo baada ya kushindwa na kuamua kuvunja Mkataba wake kinyemela bila ya Mwajiri wake kumpa ridhaa ya kuondoka!

Hivyo basi alisajiliwa Simba huku timu ya Pharco ikiwa haijaruhusu aondoke rasmi!


Ndio maana nikamlizia kwa kusema Chama cha Soka Misri kilitupiga lkn mbaya zaidi kuna viongozi Simba hawakutimiza wajibu wao! Walikutu
Mtajua tu jinsi mambo yanavyokwenda day to day,so tulia

Sent from Nokia 7 Plus
Tutajua mambo yanayokwenda day to day wakati hadi sasa ni miezi hatujui yanavyoenda!


Au hiyo day to day ina maana tofauti kwa wengine?
 
Nilikuwa namjibu huyo anayewalaumu TFF maana kwa hapo hawahusiki! Wao walifanyia kazi vibali kutoka Misri na kile cha Provisional KUTOKA FIFA.

Khs kwanini Simba wamelimwa mia 3, ni kutokana na taratibu za usajili imeonekana Kichuya ni kama alitoroka kwa Mwajiri wake hakupewa mkono wa kwaheri kabla ya kurudi Simba!

Inamaana hapa kuna uzembe kwa viongozi wa Simba walifanya na Kichuya naye alikosa proffesionalism lbd hana msimamizi makini!

Mwisho kabisa shirikisho la Misri nalo lilituingiza kibra.

Ila yote kwa yote uongozi wa Simba wanatakiwa wajitathimini kwa hili!
Haya, je, namungo inaweza kupokonywa points walizomchezesha Kichuya kama club zitadai?
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom