Suala la Gender

Wewe acha kulegea,
Una hoja nzuri sana hao viazi mbatata wasikutoe kwenye reli.
 
"Inapotokea vita hautosikia wanawake na wanaume wote ni sawa , hata wale feminists huwa wanageuka mama wa nyumbani na wanaume ndo huingia uwanjani huku wanawake na watoto wakienda kujificha"

Alisikika mtu mmoja mwenye hekima sana
 
Mtake radhi sana baba yako, nakuhakikishia he aint proud of you, negative he cant be kwa feminine ideology and feminine mentality uko nazo, hata asipokwambia lakini he considers you a lost sheep
But understand it swala ni kumjenga mtoto wakiume na wakike waweze kuwa wawajibikaji bila kujali jinsia zao ndio lengo kuu yaani sipo Kama unavyofikilia sehemu nayotakiwa kusimama as man am standing and make advocate and decision but sio kila situation inahitaji gender ila uelewa
 
Ndio alichokilenga Mtoa Mada hapo,
Kwanini hayo afundishwe Mtoto wa Kiume na sio Wote??
Ujinga Ujinga mnaojazana ndio maana Watoto wenu wakike wanafanywa mambo ya kikatili wametulia kisa Mwanaume ndio kila kitu,

Pathetic
 
Kwasababu mwanamke anachukuliwa kiumbe zaifu lakini.hakuna ukweli juu ya ilo
Nitajie mwanamke yeyote duniani anayeweza kuingia ulingo mmoja na tyson na akamshinda fair and square na tyson ninayemchukulia ni huyu mzee wacha akiwa kijana huyu tyson mzee.
 
Ndio alichokilenga Mtoa Mada hapo,
Kwanini hayo afundishwe Mtoto wa Kiume na sio Wote??
Ujinga Ujinga mnaojazana ndio maana Watoto wenu wakike wanafanywa mambo ya kikatili wametulia kisa Mwanaume ndio kila kitu,

Pathetic
Why umechelewa kuja
 
Mtake radhi sana baba yako, nakuhakikishia he aint proud of you, negative he cant be kwa feminine ideology and feminine mentality uko nazo, hata asipokwambia lakini he considers you a lost sheep
Muone na huyu,
Debe tupu, brainless
 
Wewe ndio akili hamna kabisa kwanza hata kizungu alichokiandika hukijui unaleta mabishano ya kishamba, mleta mada ana hoja ila kwakua vilaza ndio mmejaa kwenye huu uzi mtabisha bisha weee hadi lengo la mada lisifikiwe.


Kilaza kisa Dhana ya Gender sio🤣🤣🤣
 
Nitajie mwanamke yeyote duniani anayeweza kuingia ulingo mmoja na tyson na akamshinda fair and square na tyson ninayemchukulia ni huyu mzee wacha akiwa kijana huyu tyson mzee.
Tatizo we umekuwa socialized ivyo ndio maana unaweza ukasema kuwa mwanamke dhaifu lakini ukashindwa kujua viumbe wote ni dhaifu
 
Kwasababu mwanamke anachukuliwa kiumbe zaifu lakini.hakuna ukweli juu ya ilo
Ni dhaifu ndiyo tukiwa compare na males sijui unataka nianze na scientific evidence?

1.wana small body frame wakati males tuna wide body frame

2.wana muscle fibres type 1 na wakati sisi tuna type 2 muscles fibres means greater power output

3.tuna dense bones tofauti na wao bones zao sio dense hivyo kuwafanya wawe light weight.

Kwa factors hizo tu sidhani kama kuna la kuongeza mkuu
 
Why umechelewa kuja
Watu wengi hawajui Gender na hawajui tofauti ya Gender na Sex,
Mtu anakaza misuli ya vidole gumba kubisha kitu hakielewi, anatoa maelezo mengi ya sex badala ya gender,

Kuna sehemu umetoa mfano mzuri sana,
Ulisema Jamii ndio imetengeneza Gender Role na ili kuthibitisha hilo tunaona kuna Jamii ya Pwani Wanaume wanaenda wao Sokoni lakini kuna Jamii ya Bara Wanawake ndio wanaenda Sokoni,

Kuna jamii Wanawake ndio wanafanya kazi zote kama kuchunga, kuleta kuni, biashara, kiufupi yeye ndie anatunza Familia na Mwanaume kazi yake ni kunywa Pombe na Kuoa Wake wengi,

Humu wengi hawana exposure Mtu asema Mwanamke hawezi kubeba Zege wakati Jamii tu ya Wamasai Wanawake ndio wanajenga Boma,

Wamakua Mwanamke ndie Kiongozi wa Nyumba yaani ndie Kichwa cha Familia,

Wahindi,Wanawake ndio hutoa Mahari kwa Wanaume wakati kwa Africa ni kinyume chake,
Hao Watoto hawajui kitu halafu wanakuja kukutolea Povu hapa,

Naungana nawe kua Gender Roles zimetengenezwa na Jamii husika kwa kumgawia kila Mmoja Majukumu yake kwa kadri wao wataona,

Na nimekuelewa lengo lako ni kutaka kuweka Usawa kwa Wote na sio huyu anapaswa afanye hili sababu ni Ke na huyu afanye lile sababu ni Me.
 
Better is the one who is brainless than that who is a dirty, cheap, toxic feminist bitch.
Huna akili wewe,
Hiyo Gender yako ndio inakuagiza uwe na makasiriko na kutukana hovyo,
Wewe jilegeze tu eti Gender Gender Dunia imechange utapandiwa dau.
 
Tatizo we umekuwa socialized ivyo ndio maana unaweza ukasema kuwa mwanamke dhaifu lakini ukashindwa kujua viumbe wote ni dhaifu
Haujajibu bado swali langu , mkuu
Umesema wanawake si dhaifu sasa naomba nitajie mwanamke yeyote dunia hii ambaye anaweza kuingia uwanja mmoja na tyson akiwa hivi hivi mtu mzima bila mazoezi na akatoka mshindi tena kwa k.o.

Yaani tyson apigwe k.o na huyo mwanamke .

Na kama males and females are equal je unakubali pia michezo yote iwe organized bila kutenga males and females cartegories na kuwe na haki sawa mfano ulingoni akapangwa the rock na mergan thee stallion basi iwe fair play mtu apigwe mpaka akubali?
 
Mkikosa hoja mnakimbilia vitabu vitakatifu,
Debe tupu, brainless.
Kukosa hoja wapi wewe.... ilishaandikwa na inafahamika hivyo mwanaume hawezi kuwa sawa na mwanamke

sasa wewe kama unalazimisha hivyo pole yako
 
Huna akili wewe,
Hiyo Gender yako ndio inakuagiza uwe na makasiriko na kutukana hovyo,
Wewe jilegeze tu eti Gender Gender Dunia imechange utapandiwa dau.
Tehee he hee sasa nitapandiwa dau mimi au huyo shemale (dumejike) mwenzako anaetetea usawa kwamba yeye na wewe mko sawa, yeye ndio anaweza kupandiwa dau, ooh nilisahau street and silly stupid bitches hua hawawezi kuwaza streight.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…