Suala la ESCROW limejaa hisia kuliko hoja

titomganwa

Senior Member
Oct 12, 2010
126
62
Watanzania tulio wengi ni shida!

Hili suala la escrow nionavyo mimi ni jambo rahisi sana. Fedha za escrow haziwezi kuwa ni za umma kama tunavyosadikishwa kwa nguvu kubwa. Kuna upotoshaji wa wazi tena ni wa makusudi. Inamaana umeme Haukuzalishwa? TaNesco walikuwa wanalipa against what? Walikurupuka tu na kuziweka fedha kwenye account ya escrow bila sababu?

Kuhusu kodi, kodi si mamlaka husika zilisamehe? Ni kodi ngapi zina samehewa na hatuhoji?

Kafulila si muungwana. Hili nimeliamini katika sakata hili la fedha ya escrow. Muda wote akipewa nafasi anauambia umma kuwa tumeibiwa bil 306. Wakati PAC imetuambia ni arround bil 21. Hii imethibitika kuwa ni uongo wa wazi. Na kafulila anatafuta ushindi wala hajali ukweli

Ingawa sijawahi kuwa na chama, siwashauri tuweke akili zetu mifukoni na tukawaruhusu wapotoshaji wafikirie kwa niaba yetu. Haijalishi kama wazungumzaji nibakina lisu, kunjombe au kafulila. Kama hawasemi ukweli tuwapuuze.

Inasikitisha kuona suala la msingi kama hili linageuzwa kuwa kioja cha ubishani.

Nashauri wataalam wa TRA, Takukuru, polisi na mahakama watusaidie kufumbua hili. Wabunge wameshindwa.
 
kuna vitu vingi huwa naviona but watu tumeshaweka inan kama watu fulani tu ndio wanajua
 
Naomba nisiongee chochote hapa kwa hali niliyo nayo naweza kufungiwa maisha yote nisishiriki hapa jf.
 
Watanzania tulio wengi ni shida!

Hili suala la escrow nionavyo mimi ni jambo rahisi sana. Fedha za escrow haziwezi kuwa ni za umma kama tunavyosadikishwa kwa nguvu kubwa. Kuna upotoshaji wa wazi tena ni wa makusudi. Inamaana umeme Haukuzalishwa? TaNesco walikuwa wanalipa against what? Walikurupuka tu na kuziweka fedha kwenye account ya escrow bila sababu?

Kuhusu kodi, kodi si mamlaka husika zilisamehe? Ni kodi ngapi zina samehewa na hatuhoji?

Kafulila si muungwana. Hili nimeliamini katika sakata hili la fedha ya escrow. Muda wote akipewa nafasi anauambia umma kuwa tumeibiwa bil 306. Wakati PAC imetuambia ni arround bil 21. Hii imethibitika kuwa ni uongo wa wazi. Na kafulila anatafuta ushindi wala hajali ukweli

Ingawa sijawahi kuwa na chama, siwashauri tuweke akili zetu mifukoni na tukawaruhusu wapotoshaji wafikirie kwa niaba yetu. Haijalishi kama wazungumzaji nibakina lisu, kunjombe au kafulila. Kama hawasemi ukweli tuwapuuze.

Inasikitisha kuona suala la msingi kama hili linageuzwa kuwa kioja cha ubishani.

Nashauri wataalam wa TRA, Takukuru, polisi na mahakama watusaidie kufumbua hili. Wabunge wameshindwa.

Mlizoea kuendesha nchi hii kwa wizi na dhuluma sasa kama anavyosema Jussa, mtarimbo umenasa. Sio mara moja au mbili mmekuwa mkifanya mambo kwa ushabiki na taifa likaingia kwenye matatizo makubwa sasa leo mmekamatika mchana kweupe. Nyinyi ndio mlioandika katiba ya nchi kishabiki na kichama leo hii mnataka tuendelee kuwaamini. Ukawa hakikisheni mnawabana hao wezi mpaka na mikataba mingine yote ya siri iletwe bungeni. Pumbavu kabisa
 
Kafulila katika hili si mkweli. Binafsi imeniuma kuona kuna watu wanatafutavushindi wala si ukweli. Katika hili mimi sioni mantiki. Ushaniki ni kitu kibaya sana hususan kwa mambo yanayoweza kuhatarisha amani ya taifa.

Kafulila, tuhurumieni wenzenu huku. Zungumzeni ukweli toka nafsini mwenu.
 
ngoja wafate ushauri wa ukawa kutaifisha iptl watauona moto kama ule wa LONRHO
 
Mtoa post inamaana 21b kwenu nihela za sokoni eee?Unakoleza mimi sina kadi yachama chochote!Usijekuta Prof umebadili ID hapa!Wewe pumzika kiungwana tu maana kadri unavyoendelea kung'ang'ania hicho kiti ndio unazidi kuleta shida!Tukipigana mimi sitomlaumu Kafulila,Zitto wa Filikunjombe naitakulaumu wewe kuendelea kuganda hapo!Kama unalipenda taifa lako kweli you have to step down !
 
Mtu anayetafunwa utamjua tu
Kafulila katika hili si mkweli. Binafsi imeniuma kuona kuna watu wanatafutavushindi wala si ukweli. Katika hili mimi sioni mantiki. Ushaniki ni kitu kibaya sana hususan kwa mambo yanayoweza kuhatarisha amani ya taifa.

Kafulila, tuhurumieni wenzenu huku. Zungumzeni ukweli toka nafsini mwenu.
 
Watanzania tulio wengi ni shida! Hili suala la escrow nionavyo mimi ni jambo rahisi sana. Fedha za escrow haziwezi kuwa ni za umma kama tunavyosadikishwa kwa nguvu kubwa. Kuna upotoshaji wa wazi tena ni wa makusudi. Inamaana umeme Haukuzalishwa? TaNesco walikuwa wanalipa against what? Walikurupuka tu na kuziweka fedha kwenye account ya escrow bila sababu? Kuhusu kodi, kodi si mamlaka husika zilisamehe? Ni kodi ngapi zina samehewa na hatuhoji? Kafulila si muungwana. Hili nimeliamini katika sakata hili la fedha ya escrow. Muda wote akipewa nafasi anauambia umma kuwa tumeibiwa bil 306. Wakati PAC imetuambia ni arround bil 21. Hii imethibitika kuwa ni uongo wa wazi. Na kafulila anatafuta ushindi wala hajali ukweli Ingawa sijawahi kuwa na chama, siwashauri tuweke akili zetu mifukoni na tukawaruhusu wapotoshaji wafikirie kwa niaba yetu. Haijalishi kama wazungumzaji nibakina lisu, kunjombe au kafulila. Kama hawasemi ukweli tuwapuuze. Inasikitisha kuona suala la msingi kama hili linageuzwa kuwa kioja cha ubishani. Nashauri wataalam wa TRA, Takukuru, polisi na mahakama watusaidie kufumbua hili. Wabunge wameshindwa.
Uchunguzi gani tena huo unaoutaka? CAG na Takukuru walishachunguza na ripoti zipo mezani tatizo ni vilaza wetu walioko pale bungeni kuzielewa. Kuna kitu kiko wazi sana ambacho CAG amekisema lakini kwa namna ya ajabu hakuna mtu anayekizungumzia kwamba ndicho kinakata mzizi wa fitina. CAG kapiga hesabu zake na kukokotoa zipi ni pesa za IPTL na zipi ni za Tanesco na kupata jibu kwamba pesa zote zililzokuwepo kwenye akaunt ya escrow bilioni 306 zilitakiwa zirudi Tanesco na bado Tanesco iendelee kuidai IPTL bilioni 15 ili kufanya hesabu yote ya pesa za Tanesco kuwa bilioni 321. Ni kitu gani hakipo wazi hapo; hata hao kina Zitto wababaishaji tu wataulizaje swali ambalo liko wazi namna hiyo?
 
Watanzania tulio wengi ni shida!

Hili suala la escrow nionavyo mimi ni jambo rahisi sana. Fedha za escrow haziwezi kuwa ni za umma kama tunavyosadikishwa kwa nguvu kubwa. Kuna upotoshaji wa wazi tena ni wa makusudi. Inamaana umeme Haukuzalishwa? TaNesco walikuwa wanalipa against what? Walikurupuka tu na kuziweka fedha kwenye account ya escrow bila sababu?

Kuhusu kodi, kodi si mamlaka husika zilisamehe? Ni kodi ngapi zina samehewa na hatuhoji?

Kafulila si muungwana. Hili nimeliamini katika sakata hili la fedha ya escrow. Muda wote akipewa nafasi anauambia umma kuwa tumeibiwa bil 306. Wakati PAC imetuambia ni arround bil 21. Hii imethibitika kuwa ni uongo wa wazi. Na kafulila anatafuta ushindi wala hajali ukweli

Ingawa sijawahi kuwa na chama, siwashauri tuweke akili zetu mifukoni na tukawaruhusu wapotoshaji wafikirie kwa niaba yetu. Haijalishi kama wazungumzaji nibakina lisu, kunjombe au kafulila. Kama hawasemi ukweli tuwapuuze.

Inasikitisha kuona suala la msingi kama hili linageuzwa kuwa kioja cha ubishani.

Nashauri wataalam wa TRA, Takukuru, polisi na mahakama watusaidie kufumbua hili. Wabunge wameshindwa.

Yaani umefikia mahali hata kuwafanya hata viongozi wako ni vilaza? Mwandosya, Wasira, Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali n.k. wamekuambia ni za umma. Unaturudisha nyuma. Tupo kwenye kwa nini nyumba kuu haijaamua kuchukua hatua dhidi ya wahusika. Huko unakoturudisha umebaki pekeako nchi nzima tunajua ni za umma
 
Uko sahihi kabisa... watu wanatumia jazba badala ya kureason out. Issue ndogo tu kwa mfano wanadanganywa watu walibeba viroba billion 73.Benki husika zinasema hakukuwa na virobal na pesa iihamishwa kwa TISS kwenda account yaRugemaira benki ya mkombozi kama sehemu ya mauzoyahisa zake. Lakini watu hawasiki wala kuiliza PAC wana ushahdi gan kua watu walbeba viroba? Kibaya zaidi TISS kutoka Stanbic to Mkombozi kwenye account y Ruge ipo na Mkombozi wameshatoa maelezo.. No one is listening na matokeo yake ni kupotezea muda kujadiliwiziusiokuwepo!!! Na issue ya viroba ndio watu wamekasirikia wakati inavyoonyesha hakukuwa na viroba.But no one is asking..baad ya yote kujuliana tjut mudauliopotea na unnecessary tension. Na ndiomana PAC hawanlist ya bio73 kwa kuwa haipo kwani ilikuwa transactionmojatu. Issue peke hapa kweny ESCRO ni kodi basii kam aivyose mwiguru
 
Mamlaka ya mapato haikusamehe bali ushauri wa AG ndio uliwanyima wao kukusanya kodi sasa we unaleta porojo hapa ....kaungane na wezi huko.
 
Ofisi ya CAG mmechochea sana mkanganyiko kwa nini mtumie neno yawezekana kuwa hela ni ya serikali, au ya iptl ! Mngeeleza wazi hela ya umma au si ya umma!
 
Watanzania tulio wengi ni shida!

Hili suala la escrow nionavyo mimi ni jambo rahisi sana. Fedha za escrow haziwezi kuwa ni za umma kama tunavyosadikishwa kwa nguvu kubwa. Kuna upotoshaji wa wazi tena ni wa makusudi. Inamaana umeme Haukuzalishwa? TaNesco walikuwa wanalipa against what? Walikurupuka tu na kuziweka fedha kwenye account ya escrow bila sababu?

Kuhusu kodi, kodi si mamlaka husika zilisamehe? Ni kodi ngapi zina samehewa na hatuhoji?

Kafulila si muungwana. Hili nimeliamini katika sakata hili la fedha ya escrow. Muda wote akipewa nafasi anauambia umma kuwa tumeibiwa bil 306. Wakati PAC imetuambia ni arround bil 21. Hii imethibitika kuwa ni uongo wa wazi. Na kafulila anatafuta ushindi wala hajali ukweli

Ingawa sijawahi kuwa na chama, siwashauri tuweke akili zetu mifukoni na tukawaruhusu wapotoshaji wafikirie kwa niaba yetu. Haijalishi kama wazungumzaji nibakina lisu, kunjombe au kafulila. Kama hawasemi ukweli tuwapuuze.

Inasikitisha kuona suala la msingi kama hili linageuzwa kuwa kioja cha ubishani.

Nashauri wataalam wa TRA, Takukuru, polisi na mahakama watusaidie kufumbua hili. Wabunge wameshindwa.
Ukiwa mbumbumbu wakati mwingine ni heri kukaa kimya kuliko ku expose ujinga wako hadharani.
Na mind you, ujinga si tusi, bali ni mtu yule asiyejua.
 
Watanzania tulio wengi ni shida!

Hili suala la escrow nionavyo mimi ni jambo rahisi sana. Fedha za escrow haziwezi kuwa ni za umma kama tunavyosadikishwa kwa nguvu kubwa. Kuna upotoshaji wa wazi tena ni wa makusudi. Inamaana umeme Haukuzalishwa? TaNesco walikuwa wanalipa against what? Walikurupuka tu na kuziweka fedha kwenye account ya escrow bila sababu?

Kuhusu kodi, kodi si mamlaka husika zilisamehe? Ni kodi ngapi zina samehewa na hatuhoji?

Kafulila si muungwana. Hili nimeliamini katika sakata hili la fedha ya escrow. Muda wote akipewa nafasi anauambia umma kuwa tumeibiwa bil 306. Wakati PAC imetuambia ni arround bil 21. Hii imethibitika kuwa ni uongo wa wazi. Na kafulila anatafuta ushindi wala hajali ukweli

Ingawa sijawahi kuwa na chama, siwashauri tuweke akili zetu mifukoni na tukawaruhusu wapotoshaji wafikirie kwa niaba yetu. Haijalishi kama wazungumzaji nibakina lisu, kunjombe au kafulila. Kama hawasemi ukweli tuwapuuze.

Inasikitisha kuona suala la msingi kama hili linageuzwa kuwa kioja cha ubishani.

Nashauri wataalam wa TRA, Takukuru, polisi na mahakama watusaidie kufumbua hili. Wabunge wameshindwa.

Ulimsikia Tundu Lissu kitu gani aliongea bungeni?
Na Zitto pia ulimsikiliza Vizuri?

Wacheni Kujaribu Kupindisha Maneno.

MAJIZI yameshajulikana.
Hilo limethibitishwa na vyombo vyote Ulivyotaja hapo Juu.

Tunachosubiri watanzania NI UWAJIBISHAJI TU WA HAO WIZI.

Tena mi nasema Kwenye HUKUMU YAO HAWA WEZI ntaacha Kazi niende mahakamani nikasikilize Mwenyewe hukumu zao.

Watoto wetu wanakosa madawati ya kukali Halafu hawa Mashetani wanakwiba Zaidi ya BILIONI 75!!!!!

Wagonjwa wanakufa Ovyo kwenye mahospitali kisa ni MAJIZI KM HAYA.
Hasira nilionayo Mungu ndio anajua.

Km kumdhuru mtu ingekuwa sio kosa Mi ningeshamwaga kinyesi cha mtu.
 
Watanzania tulio wengi ni shida!

Hili suala la escrow nionavyo mimi ni jambo rahisi sana. Fedha za escrow haziwezi kuwa ni za umma kama tunavyosadikishwa kwa nguvu kubwa. Kuna upotoshaji wa wazi tena ni wa makusudi. Inamaana umeme Haukuzalishwa? TaNesco walikuwa wanalipa against what? Walikurupuka tu na kuziweka fedha kwenye account ya escrow bila sababu?

Kuhusu kodi, kodi si mamlaka husika zilisamehe? Ni kodi ngapi zina samehewa na hatuhoji?

Kafulila si muungwana. Hili nimeliamini katika sakata hili la fedha ya escrow. Muda wote akipewa nafasi anauambia umma kuwa tumeibiwa bil 306. Wakati PAC imetuambia ni arround bil 21. Hii imethibitika kuwa ni uongo wa wazi. Na kafulila anatafuta ushindi wala hajali ukweli

Ingawa sijawahi kuwa na chama, siwashauri tuweke akili zetu mifukoni na tukawaruhusu wapotoshaji wafikirie kwa niaba yetu. Haijalishi kama wazungumzaji nibakina lisu, kunjombe au kafulila. Kama hawasemi ukweli tuwapuuze.

Inasikitisha kuona suala la msingi kama hili linageuzwa kuwa kioja cha ubishani.

Nashauri wataalam wa TRA, Takukuru, polisi na mahakama watusaidie kufumbua hili. Wabunge wameshindwa.

Wizi nao unahalalishwa? Hata akiiba nani ni wizi tu. Warudishe hela watu wapate dawa hospitalini.
 
Bil 21 sio nyingi? Dah mtoa mada unanifikirisha ww ni mmoja wa Majizi ya Taifa,hivi huyu jamaa sijui nani Mlamba mmempeleka mahakamani kwa ishu ya kusamehe kodi ya Bil 10 hii ndogo yupo Mahakamani hiyo Bil 21...
 
Back
Top Bottom