Suala la ESCROW limejaa hisia kuliko hoja

Suala la ESCROW limejaa hisia kuliko hoja

Kafulila katika hili si mkweli. Binafsi imeniuma kuona kuna watu wanatafutavushindi wala si ukweli. Katika hili mimi sioni mantiki. Ushaniki ni kitu kibaya sana hususan kwa mambo yanayoweza kuhatarisha amani ya taifa.

Kafulila, tuhurumieni wenzenu huku. Zungumzeni ukweli toka nafsini mwenu.
Hakika wewe ni mmoja wao!
 
Duh mleta mada kamdanganye mama yako hapa mda wowote tukiambiwa tufanye chochote tunafanya msituone wtz ni wajinga kama ndugu zako.na babu yako usije kutuuzi s££ngg£ na wewe na £@milia ¥ako
 
Back
Top Bottom