Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,039
- 3,486
Wakuu,
Limeibuka wimbi la baadhi ya viongozi wa kisiasa kukimbilia kwenye balozi zinazowakilisha nchi zao au mashirika ya ukimbizi kwa madai ya kuteswa (persecution). Kwa tafsiri ya jumla kwa kiingereza inaakisi yafuatayo: "...... is the act of harassing or oppressing a person or a group of people, especially because of their identity. Throughout history, people have faced persecution because of their religion, race, ethnicity, political beliefs, sexual orientation, and many other factors. ........ "
Hili suala lisichukuliwe juu juu kutokana na historia ya aina ya viongozi husika na malengo yao; hivyo kwa maoni yangu kama raia nashauri Serikali iwasiliane na taasisi ambazo zinawapokea wakimbizi hao kwa kuzingatia sheria za kimataifa, kidiplomasia, sheria za nchi na utamaduni kupitia wazee na viongozi wa kiroho ili kubaini sababu halisi kuliko hizi zinazotolewa na ufumbuzi utafutwe haraka iwezekanavyo kuepusha Taifa kuingizwa kwenye mfarakano wa kijamii, kiuchumi na kimahusiano na mataifa mengine.
Inatakiwa utafutwe ukweli ni akina wanawatishia hao viongozi wa kisiasa, kwanini na malengo ni yapi.
Sina uhakika kama Tanzania kuna hali ya hatari kisiasa endapo wahusika hawavunji sheria ambapo hata hivyo si kigezo cha kutishiwa. Serkali msifumbie macho kwa maana haba na haba hujaza kibaba mwishowe kunaweza kutengenezwa vikundi vya uasi na ugaidi na kuhatarisha wananchi wasio na hatia kwa sababu za wachache wanaotafuta kupata mamlaka ya utawala wa nchi kwa nia OVU.
[The great thinkers of this renowned transparent fora are solemnly appealed to thrive with constructive arguments to mend tthe ongoing animosity segragation which a few individuals are determined to plunge the nation into civil unrest without apparent and justifiable reasons to advance the longed ambitions at hooks and crooks.]
Nawasilisha
Limeibuka wimbi la baadhi ya viongozi wa kisiasa kukimbilia kwenye balozi zinazowakilisha nchi zao au mashirika ya ukimbizi kwa madai ya kuteswa (persecution). Kwa tafsiri ya jumla kwa kiingereza inaakisi yafuatayo: "...... is the act of harassing or oppressing a person or a group of people, especially because of their identity. Throughout history, people have faced persecution because of their religion, race, ethnicity, political beliefs, sexual orientation, and many other factors. ........ "
Hili suala lisichukuliwe juu juu kutokana na historia ya aina ya viongozi husika na malengo yao; hivyo kwa maoni yangu kama raia nashauri Serikali iwasiliane na taasisi ambazo zinawapokea wakimbizi hao kwa kuzingatia sheria za kimataifa, kidiplomasia, sheria za nchi na utamaduni kupitia wazee na viongozi wa kiroho ili kubaini sababu halisi kuliko hizi zinazotolewa na ufumbuzi utafutwe haraka iwezekanavyo kuepusha Taifa kuingizwa kwenye mfarakano wa kijamii, kiuchumi na kimahusiano na mataifa mengine.
Inatakiwa utafutwe ukweli ni akina wanawatishia hao viongozi wa kisiasa, kwanini na malengo ni yapi.
Sina uhakika kama Tanzania kuna hali ya hatari kisiasa endapo wahusika hawavunji sheria ambapo hata hivyo si kigezo cha kutishiwa. Serkali msifumbie macho kwa maana haba na haba hujaza kibaba mwishowe kunaweza kutengenezwa vikundi vya uasi na ugaidi na kuhatarisha wananchi wasio na hatia kwa sababu za wachache wanaotafuta kupata mamlaka ya utawala wa nchi kwa nia OVU.
[The great thinkers of this renowned transparent fora are solemnly appealed to thrive with constructive arguments to mend tthe ongoing animosity segragation which a few individuals are determined to plunge the nation into civil unrest without apparent and justifiable reasons to advance the longed ambitions at hooks and crooks.]
Nawasilisha