Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #41
Mjingawewe unajitendea haki.
Mjingawewe unajitendea haki.
Hakika mkuu.kama hawawezi kulipa waondoke
Mkilipwa hela zenu,nishtue.mimi uwa natazama mbali zaidi,mnapoteza muda tu.Mjingawewe unajitendea haki.
Umeshaamka, nashauri kaendelee kulala!Wewe kwenye mambo yanayohitajika kutumia akili kaa nayo mbali sana
In God we trust
Acha kujiainisha mkuu ficha ujinga wakoWewe kwenye mambo yanayohitajika kutumia akili kaa nayo mbali sana
In God we trust
Kwa njaa ulizo nazo hata kuandika unatetemeka,KUENDELEW ?Umeshaamka, nashauri kaendelew kulala!
Wajinga woote mmejazana lumumbaAcha kujiainisha mkuu ficha ujinga wako
great thinker
Adhabu si kusema maneno ya kuashiria shari wengine ni wepesi wa kuyatendea kazi. Hujui Rwanda mauaji yale ya kimbari yalianzia kwa wauaji kuwaita wenzao "mende"?Naam, kweli maoni yake ni makali lakini kuna vijana wengine unashindwa hata kujua akili zao zinawaza nini kazi yao ni kuchafua mijadala.
Ungekuwa na akili usingepiga picha kwenye magari ya watuAcha kujiainisha mkuu ficha ujinga wako
great thinker
Ushahidi tunao wa dhati kwamba wamekuwa wakikwepa kodi? Kama serikali inao, ni kwa nini imeacha wananchi waendelee kibiwa kwa miaka yote hiyo?Wanajua dhahiri katika kupigana vita hii serikali ina siri na ushahidi mwingi wa hayo. Ieleweke tu tabia ya makampuni makubwa kukwepa kodi si mpya inafanyika kwa ujanja wa kupindisha mahesabu ''manipulation and transfer pricing''. Siku zote hukuonyesha kuwa wanachopata ni kidogo mno hivyo wanahitaji huruma zaidi kuendesha shughuli zao.
Si rahisi Acacia wakakiri hadharani tena mapema kwamba wamekosea, wanajaribu mbinu nyingi tu kushawishi serikali chini kwa chini. Hata kujiuzulu kwa Mwapachu kumechangiwa na yeye kutokuwa na ushawishi katika Utawala huu wa Magufuli
Kama wewe ni wakiume nawapa pole wazazi wako.Acha maneno ya shombo kijana hopeless kabisa weweUngekuwa na akili usingepiga picha kwenye magari ya watu
In God we trust
Wee kweli uwezo wako ni levo ya bavicha, hata kukopi nilichoandika umeshindwa? Yaani umekolezea na rangi ila wapi!!Kwa njaa ulizo nazo hata kuandika unatetemeka,KUENDELEW ?
In God we trust
Naam, tuachane na hayo, ni ya kupingwa kwa nguvu zote kwa mjadala wa kipekee. Endelea na mjadala wa Rasilimali.Adhabu si kusema maneno ya kuashiria shari wengine ni wepesi wa kuyatendea kazi. Hujui Rwanda mauaji yale ya kimbari yalianzia kwa wauaji kuwaita wenzao "mende"?
Itoshe kukutakia maisha mema ya uchokoKama wewe ni wakiume nawapa pole wazazi wako.Acha maneno ya shombo kijana hopeless kabisa wewe
great thinker
Itoshe kukutakia maisha mema ya uchokoKama wewe ni wakiume nawapa pole wazazi wako.Acha maneno ya shombo kijana hopeless kabisa wewe
great thinker
Itoshe kukutakia maisha mema ya uchokoKama wewe ni wakiume nawapa pole wazazi wako.Acha maneno ya shombo kijana hopeless kabisa wewe
great thinker
great thinker=Great thinkerKama wewe ni wakiume nawapa pole wazazi wako.Acha maneno ya shombo kijana hopeless kabisa wewe
great thinker
great thinker=Great thinkerKama wewe ni wakiume nawapa pole wazazi wako.Acha maneno ya shombo kijana hopeless kabisa wewe
great thinker
Lazima mtaolewa tu safari hii maana utawala huu wa ngosha hautoi buku 7 kama mlivyozoeshwa na mkwereWee kweli uwezo wako ni levo ya bavicha, hata kukopi nilichoandika umeshindwa? Yaani umekolezea na rangi ila wapi!!
Hii ni ishara kuwa umekimbia mji.
Aina ya hoja mufilisi kama hizi ndizo zinaondoa heshima ya jukwaa. Rudi kwenye FB na Insta.Itoshe kukutakia maisha mema ya uchoko
In God we trust