SUA mtatuua, mbona hamtupi boom?

Afu Kama uko NBC au NMB mnakuwa wa mwisho wanapewa CRDB wa kwanza tafuta rafiki wa CRDB umkope
 
dah yani Sua kero,wamesaini wachache na bado hawajapewa mkopo,
Nasikia kama umeng'ang'aniwa na probation/sup huwez sain booom
Ila nadhan wanataka kutoa kwa mkupuo coz jana wametoa batch ya mwisho walio chaguliwa hapo mjengin
Nmejiuliza maswal meng xn kama ifuatavyo
1/Hao wagen watafanya screen test?
2/ kama matokeo ya probation yametoka jana, je kuna harufu ya kupata boom wiki ijayo kpnd wengine hawaja sain?
3. Kama hali n hvyo vp kuhusu kubemendwa kwa dada zetu hapo mjengon na wana funz wa masters?
Polen madogo na kaka na dada zetu
Mm nashukuru nme maliza salama japo nna degree ya mazimbu nahis wadau mnajua nkisema degree ya mazimbu
I mean ukishikwa na ww jiachie kweny prob kazen kibish. Tuonane november 25 kwny graduation. Sua wote wagumu haina mabishoo wala ma sister duuh
1478928318767.jpg
 
SUA is among of best universities
Elimu kwanza boom baadaye sanaaa
Msichoke kuomba kila usiku na mchana.......thanks dear Gambe tulimaliza salama, pigeni gambe kama demu tafuta mboga saba, Fanya mishe mishe jombaaa zisake daily kesha MLTs haaaa....ukizipata tesaaa sanaaa kula nyama na bia gongeni cheers........

Gongeni cheers mchana na usiku kama watoto wa mafisadi.........
SUA+MZUMBE=UTAMU

Pata bumu unielewe ......
Akiri mbovu
 
Ishu hapo ni kuwashtua washkaji zako wanaosoma vyuo vingine wakukope fedha za kutumia nyakati hizi unazosubiria la kwenu liteme.

Tulikua na msemo wetu kipindi hicho,
"Wakipata tumepata".
Saiv mtu wa kukukopesha hela, labda awe ndugu yako
 
Dah Yan Hiki Chuo Ni Cha Kboya Kinyamaa:yaan Wadau Tunateseka Xana Na Njaa Na Dalili Za Kusain Ni F ,ni mwendo wa lampard tu coz NO LUNCH ,NO BREAKFAST ,najuta kuchaguliwa sua
 
SUA is among of best universities
Elimu kwanza boom baadaye sanaaa
Msichoke kuomba kila usiku na mchana.......thanks dear Gambe tulimaliza salama, pigeni gambe kama demu tafuta mboga saba, Fanya mishe mishe jombaaa zisake daily kesha MLTs haaaa....ukizipata tesaaa sanaaa kula nyama na bia gongeni cheers........

Gongeni cheers mchana na usiku kama watoto wa mafisadi.........
SUA+MZUMBE=UTAMU

Pata bumu unielewe ......

Nawewe ni graduate from best university? tokea u graduate umeshatatua changamoto ngapi kwa jamii inayokuzunguka? nimeuliza tu kutokana na maandishi haya
 
Nasikia kama umeng'ang'aniwa na probation/sup huwez sain booom
Ila nadhan wanataka kutoa kwa mkupuo coz jana wametoa batch ya mwisho walio chaguliwa hapo mjengin
Nmejiuliza maswal meng xn kama ifuatavyo
1/Hao wagen watafanya screen test?
2/ kama matokeo ya probation yametoka jana, je kuna harufu ya kupata boom wiki ijayo kpnd wengine hawaja sain?
3. Kama hali n hvyo vp kuhusu kubemendwa kwa dada zetu hapo mjengon na wana funz wa masters?
Polen madogo na kaka na dada zetu
Mm nashukuru nme maliza salama japo nna degree ya mazimbu nahis wadau mnajua nkisema degree ya mazimbu
I mean ukishikwa na ww jiachie kweny prob kazen kibish. Tuonane november 25 kwny graduation. Sua wote wagumu haina mabishoo wala ma sister duuhView attachment 432774
Misister duuh tulikuwepo na tulishagraduate miaka hiyoooo miwili iliyopita
 
Ishu hapo ni kuwashtua washkaji zako wanaosoma vyuo vingine wakukope fedha za kutumia nyakati hizi unazosubiria la kwenu liteme.

Tulikua na msemo wetu kipindi hicho,
"Wakipata tumepata".
Kabisa ilisaidia yaan ukisikia mzumbe wamepata basi SUA burudani ni kuwa tu na marafiki hapo
 
Dah Yan Hiki Chuo Ni Cha Kboya Kinyamaa:yaan Wadau Tunateseka Xana Na Njaa Na Dalili Za Kusain Ni F ,ni mwendo wa lampard tu coz NO LUNCH ,NO BREAKFAST ,najuta kuchaguliwa sua
Usijute tulikuwa tunaitaga pasi ndefu au unatengeneza mid point usijute utamaliza tu mwanzo unachangamoto ila ukishazoea utajua utaishije na mahesabu yako utapangilia
 
Nasikia kama umeng'ang'aniwa na probation/sup huwez sain booom
Ila nadhan wanataka kutoa kwa mkupuo coz jana wametoa batch ya mwisho walio chaguliwa hapo mjengin
Nmejiuliza maswal meng xn kama ifuatavyo
1/Hao wagen watafanya screen test?
2/ kama matokeo ya probation yametoka jana, je kuna harufu ya kupata boom wiki ijayo kpnd wengine hawaja sain?
3. Kama hali n hvyo vp kuhusu kubemendwa kwa dada zetu hapo mjengon na wana funz wa masters?
Polen madogo na kaka na dada zetu
Mm nashukuru nme maliza salama japo nna degree ya mazimbu nahis wadau mnajua nkisema degree ya mazimbu
I mean ukishikwa na ww jiachie kweny prob kazen kibish. Tuonane november 25 kwny graduation. Sua wote wagumu haina mabishoo wala ma sister duuhView attachment 432774

Majina yalio toka ni machache sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom