Stupid things men do in relationship

Mentor rudi nyumbaniiiiiiiiiii
 
Last edited by a moderator:
Miss Kim ATAKUA NA BAHATI SANA AISEE amepata bwana material
 
Last edited by a moderator:
WAKIKATAA kupokea naenda bila mahari
 
Hahahahaaaa..... Kwa dadazangu ndio unatakiwa unijange zaidi.... maana utakutana na wale wazee wanaovaliaga miwani kchini ya macho (wanakuangalia kwa juu ya miwani) wanaoko mbaya!!!

ha ha ha ha mkuu hapo sasa hii familia ya profesa wakikataa mahari yangu.
nakuja kwako aisee
 
Hahahahaaaaaa.... Mkuu was in ref. with you. not her tittle anyway...
Ha ha haaaa maadam wewe upo yote heri mkuu!!!!
Huyu shemeji MKUU rasmi ni cheo kipya na kimezingatia ugatuzi wa madaraka naona!!!!!
 
Kasinde kapigwa na dolari kila pande kachafuka noti tu.

Japo kwa uchache nimeona nikubrief yaliojiri siku chache zilizopita mkuu.

Okeee kumbe ndo weweee ........................ bass nshajua
 
Kama ndio yule dada niliemuona pale... binti mashallahhh!!!! You are very created.

Nop, hujanipata. Nilimaanisha kuwa kumbe ni wewe unayeripoti habari za Kasinde na watu wengine mahala palee okeee. Na si kuwa ni wewe uliyenidondoshea madolari nop, kwani wewe ni kijana? wewe si mzee..........!!!??? looh!! Nilipokuwa beach sikuona wazee wa rika lako halafu from toyo bodaboda to range new model.............. mmmhhhhh sio wewe bana, the dude was Nyani Ngabu na nimeshamlipizia kisasi alikomajee, hana ham na mimi. Pamoja na kuwa nililigonga gari lake na kumpiga ngumi ya kwenye bega bado alinifata polisi kituoni nilikokuwa nimejipeleka kujishtaki na kunitoa, akafuta kesi kisha akanimwagia dolari nyingine.
 

Uligonga gari yake kwa mbele au?
 
Uligonga gari yake kwa mbele au?

nilikosa greda hivo nilikuwa na nyundo nikaigonga gari ya Nyani Ngabu kwenye bonnet mbele, kwa nyuma na kwenye milango yote ubavuni. Alikuwepo eneo la tukio nilipomuangalia usoni alionesha kuchukia ila akajistukia akajidai kucheka na kutoonesha kukasirika.
 

Hahahaaaa umetumia tafsida kali mimi nilidhani ni hivi
 
Hahahaaaaa.. wala sijamaanisha ndio niliekugonga aisee... I meant I saw you. Wee na uzee huu wote nikupe dollar zote hizo wajukuu wangu nawawekea akiba gani? you cant be serious... hahahahahahaaaaa!!!!

I am Mzeee? Any way I very much enjoys who am perceived to be. Had you know. like! like! like!!!!!!!

Uione Mr Rocky ila usiseme neno mzee mwenzangu.

 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…