mwallu
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 6,787
- 4,215
Mentor rudi nyumbaniiiiiiiiiiiNikushukuru sana kaka kwa salamu. Yote mema mkuu Mungu anasaidia.
All the best to you kaka. Naona Mr Rocky amejificha na Karucee wangu. Ntuzu analibutua kwa akina Khantwe, Kaizer bado yuko mafichoni, Kasinde kapigwa na dolari kila pande kachafuka noti tu. miss chagga naona kanasa kwa Tembo.., yule mrembo Dena Amsi ndio shemejio mkuu rasmi. Miss Kim atokewa na mwekundu bila mafanikio huko kazini kwao, kiwatengu akataliwa posa kwa akina shansarie, mwallu apeleka mashitaka ukweni kuwa bado kombe la dunia halijaisha kwa mumewe Mentor maana hadi sasa huaga anaenda kuangalia mechi na kurejea usiku mnene sana. n.k.
Japo kwa uchache nimeona nikubrief yaliojiri siku chache zilizopita mkuu.
Last edited by a moderator: