me still on the ileee process! nkikamilisha ntakupa mrejesho as u requested....
Aisee kwani nini shida kaka???!!!
Namshukuru sana muumba mi mzima, nimefarijika kukusikia kaka!!!!Nipo Brother, nafurahi tena kukusikia. Uliadimika sana Mkuu. Hoping you are very fine Bro.
Many Thanks.
Atakupendaje mtu banaaa halafu asiwe na wivu nawe? Hata Wanyama wana wivu, itakuwa binadamu?
me still on the ileee process! nkikamilisha ntakupa mrejesho as u requested....
Boasting
Jealous
Thinking they are the best
Thinking they are truly loved
They never learn from previous mistakes
Cheaters
Nyekundu Mume wangu Mputu ! Blue bado nafanyia kazi yaani Jamani Kerooooooooooooooooooo.com
Hahahahaaaa anaifahamu hii ID yako hapa jamvini? Au yeye sio member?
Namshukuru sana muumba mi mzima, nimefarijika kukusikia kaka!!!!
Salamu nyiiingi sana huko
Tized sijanasa popote napita pita kupata mchepuko wa weekendNikushukuru sana kaka kwa salamu. Yote mema mkuu Mungu anasaidia.
All the best to you kaka. Naona Mr Rocky amejificha na Karucee wangu. Ntuzu analibutua kwa akina Khantwe, Kaizer bado yuko mafichoni, Kasinde kapigwa na dolari kila pande kachafuka noti tu. miss chagga naona kanasa kwa Tembo.., yule mrembo Dena Amsi ndio shemejio mkuu rasmi. Miss Kim atokewa na mwekundu bila mafanikio huko kazini kwao, kiwatengu akataliwa posa kwa akina shansarie, mwallu apeleka mashitaka ukweni kuwa bado kombe la dunia halijaisha kwa mumewe Mentor maana hadi sasa huaga anaenda kuangalia mechi na kurejea usiku mnene sana. n.k.
Japo kwa uchache nimeona nikubrief yaliojiri siku chache zilizopita mkuu.
Nikushukuru sana kaka kwa salamu. Yote mema mkuu Mungu anasaidia.
All the best to you kaka. Naona Mr Rocky amejificha na Karucee wangu. Ntuzu analibutua kwa akina Khantwe, Kaizer bado yuko mafichoni, Kasinde kapigwa na dolari kila pande kachafuka noti tu. miss chagga naona kanasa kwa Tembo.., yule mrembo Dena Amsi ndio shemejio mkuu rasmi. Miss Kim atokewa na mwekundu bila mafanikio huko kazini kwao, kiwatengu akataliwa posa kwa akina shansarie, mwallu apeleka mashitaka ukweni kuwa bado kombe la dunia halijaisha kwa mumewe Mentor maana hadi sasa huaga anaenda kuangalia mechi na kurejea usiku mnene sana. n.k.
Japo kwa uchache nimeona nikubrief yaliojiri siku chache zilizopita mkuu.