Zigo nimeliona mwana. Dah! pole sana. Na hiyo avatar yako ni wewe au bado bado hujakoma!
coxdawa yao[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
Nishasoma nimecheka pia nikakuhurumia,lakin sasa hiv si mambo safi,kwa hiyo mtoto rahma humkula au alikuelewa
HahahaAminia. Ila kwa watoto wa mjini kucheza mapicha kama hayo ndo zao. Mi nakumbuka moja nilicheza nipo kwenye train ya Tazara. Kitu Dar - Mbeya. Mwanao nimekata tiketi kajamba nani halafu ni mchongoma wa kutosha. Kajambanani hapakaliki.....full misele 2nd class na 1st class. Si ndo nikakutana na bonge la toto mitaa ya 1st class, halafu likanishobokea tu. Story 2tatu akaniuliza uko behewa gani.....kama kawa, sikutaka kujishusha. Nikamwambia nipo 2nd class. Hahahaaaa....picha linaanza demu anasema ''twende room kwako''. Duh!
We acha tu mtu wangu. Ka ni wewe unafanyaje!. Basi mnyamwezi haikuwa shida hata kidogo. Kipindi hicho nilikuwa narejea zangu chuo pale kati MUST. Sa si unajuwa wanafunzi mnasafiri tagi hiloo. Kuna wana wawili watatu walikuwa mambo chedi nini. Wakawa wamejitungua 2nd class. Sasa demu aliposema twende room kwako haikuwa kesi. Mkali nakamata ngozi mkono, mdomdo nadrible safari kwenye room ya wana. Nafika room ya wana nakuta wamechill nini......kuniona tu na kinyuli changu basi full shangwe....mi si ndo mkare waooo, janja zaidi ya dogoo!!. Basi mtu mzima full kumtambulisha mbebez nini. Halafu mbebe ilikuwa ananyooka Zambia. Basi wana full kuni-admire nini......mimi bichwa hilooo.Hahaha
Hapo lazma uwe mdogo mkuuWe acha tu mtu wangu. Ka ni wewe unafanyaje!. Basi mnyamwezi haikuwa shida hata kidogo. Kipindi hicho nilikuwa narejea zangu chuo pale kati MUST. Sa si unajuwa wanafunzi mnasafiri tagi hiloo. Kuna wana wawili watatu walikuwa mambo chedi nini. Wakawa wamejitungua 2nd class. Sasa demu aliposema twende room kwako haikuwa kesi. Mkali nakamata ngozi mkono, mdomdo nadrible safari kwenye room ya wana. Nafika room ya wana nakuta wamechill nini......kuniona tu na kinyuli changu basi full shangwe....mi si ndo mkare waooo, janja zaidi ya dogoo!!. Basi mtu mzima full kumtambulisha mbebez nini. Halafu mbebe ilikuwa ananyooka Zambia. Basi wana full kuni-admire nini......mimi bichwa hilooo.
Basi mi nikakaa hapa...mtoto nae pembeni yangu, zero distance flani. Wana wamekaa opposite, si unajua 2nd class room za gogo la Tazara chai maarage flani. Basi shangwe zinaanza story. Ile zinaana story tu.....TT huyo, na daftari lake kama mwalimu wa zamu anaitarokoo. Sijui yule TT alikuwa ana-zoom michongo yangu kitambo!!........au Mungu tu aliamuwa kunionyesha ubabe!!!!.Mnajua yule TT alisemaje.....''ambae hana ticket ya chumba hichi atoke". Haki ya Mungu...Dah!
Hata hizi uzi zake ni za uongo na kufungua..rejea Ile aliyomfuata mwanamke aliyekuwa anachat nae Facebook akiwa Mbeya. Alimfuata Dar na kukuta ni changudoa.Ukiwa unadanganya, kaa ukijua kuwa unajidanganya mwenyewe. Na siku zote njia ya mwongo ni fupi mno. UWONGO UNAPOTEZA Uhuru wako MWENYEWE
Na ule Uzi wake mwingine eti Mke wake ni waziriHata hizi uzi zake ni za uongo na kufungua..rejea Ile aliyomfuata mwanamke aliyekuwa anachat nae Facebook akiwa Mbeya. Alimfuata Dar na kukuta ni changudoa.