Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,742
- 21,875
Yeah nami nawaza hivo hivo.
haya katume dedication sasa...teh teh teh
Yeah nami nawaza hivo hivo.
haya katume dedication sasa...teh teh teh
ugonjwa wangu na@HornetHahahahahaaaa maneee, utafanya nitoe siri looh.
Dadii ni nanihiii hehehehhehee.
(Atanifinya nikiendelea kusema aahahahahahaa...)
🎼 Oh, I'm leaving on that midnight train tomorrow, And I know just where I'm going....So hard to see... That a woman like you can wait around for a man like me.. Guess I'm ooonn my waaayyy..
Mighty glad you stayed.. [emoji4]
kumbe tupo wengi..mimi ile kuona Heading tu....kabla hata ya kusoma content nikau tafuta nkauplay then nkarudi kwenye thread sasa..Imebidi niusikilize kabisa.
Asante kwa burudani
Raha ya huu wimbo hata uwe na fujo vipi Wimbo haukuruhusu kusumbua watu...Ni melody na beat tamuuuuu, ukiongeza tu sauti kwa fujoooo Lionel anakutuliza anaanza upya...
stuck on youuuu kali sana
🎼 Oh, I'm leaving on that midnight train tomorrow, And I know just where I'm going....
I've packed up my troubles and I've thrown them all away,'Cause this time little darling
I'm coming home to staaaaaaaay......🎼
alafu leo unavyompania ndio atarudi atakuchefua hadi mizuka itayeyuka..ngojea tu arudi nakwambia Kesho utatuambia mnuno wake 😂 😂 😂Yaani leo Dadii atapata tabu sana maana mzuka unapanda hadi nasisimkwa.....
Hili jiwimbo ni Mahaba mahabani hehehee.
Mzuka ukipanda unaweka singeli..unashuka wenyeuuweeeee...msaga sumu hapoooo😂😂😂😂Hahahahhaaahahahaa hapo kwenye rangi umenipa tabasamu mwanana.....
Yaani jinsi nnavosoma comment za watu mzuka unazidi kupanda.....
Tabasamu halikauki na macho yanakaa nusu mlingoti.
Umeongea sawia kabisakumbe tupo wengi..mimi ile kuona Heading tu....kabla hata ya kusoma content nikau tafuta nkauplay then nkarudi kwenye thread sasa..
Raha ya huu wimbo hata uwe na fujo vipi Wimbo haukuruhusu kusumbua watu...Ni melody na beat tamuuuuu, ukiongeza tu sauti kwa fujoooo Lionel anakutuliza anaanza upya...
stuck on youuuu kali sana
Unaijua Miti ya Khaligraph Jones?Usiku zinanoga zipi..Ukuje uniimbie
Ndo nimeisikia kwa Mara ya kwanza..Naomba nikudedicate hiyo..Icheze ukinimiss teh.Unaijua Miti ya Khaligraph Jones?
Teh teh..Ye akinuna wenzake watakula..Hahahahaha Kasie bingwa wa kujihami, nimejiwahi Dadii asijeninunia akidhani namdediketia mtu kumbe nataka uchambuzi tuu.
Lugha inanichanganya Mahaba yananikoroga....
K' Matata.
Asante kwa kumleta huyu gwiji la muziki wa kubembeleza! Siku nyingine tuletee kibao chake cha "Do it to Me" nitakusaidia kuchambuaYaani nasubiria watu watiririke hapa uchambuzi wa hizi lyrics....
Sauti sasa ya Lionel..... Guess am on my way.....
Aweeeee. Thank you my loveNdo nimeisikia kwa Mara ya kwanza..Naomba nikudedicate hiyo..Icheze ukinimiss teh.
Oscar/Golden Globe Award winning SequelHahahahahahaa unajua nini, alipousoma huu uzi tuu akanijia wasap....
Akaandika hivi, " Stuck on You (***)......
Nami nikamjibu hivii, "And I love you Dadii.... Mmmuaah...."
Ntampigia baadae nimbebishe, dedication matata wiki ijayo...