Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,229
- 36,245
Habari za mchana waungwana.
Naombeni wenye mahaba na miziki ya malavi davi mnisaidie. Kasie Napenda sana mziki na nyimbo bin kuimba, na huwa natumia sana maneno ya nyimbo kama ujumbe as kumpelekea mtu wimbo ausikilize.
Huu wimbo (Stuck on You) ni wa Mahaba maana miaka ile ya 80 ilikuwa kawaida maharusi kufungua mziki na huu wimbo.
Mara nyingi Huu wimbo nimekuwa nikiusikiliza na kuimba huku nikiigilizia sauti ya Lionel Richie....(sauti tamu kama ya Dadii hehehehe).
Ila nimekuwa nikijiuliza, knobs maneno (lyrcs) za huu wimbo zinaonesha kama mwanaume aliikimbia nyumba akamuacha mkewe au mpenziwe na kwenda kutangatanga na wapenzi wengine. Sasa anamuimbia mpenziwe kuwa anarudi nyumbani na Kuwa safari hii atakaa au hatoondoka tena na mavurugu yote anaacha huko.
Kama niko sawa mwanaume Ndo anaomba radhi kubembeleza penzi arudi kwa mkewe.... Bado sijaelewa naombeni uchambuzi wa kimahaba.
Si kuwa nataka mtafsiri laah nataka tuu uchambuzi....
Na kama uko kama ninvyoelewa hapo juu, iweje maharusi wanautumia kufungulia mziki? Au wanacheza beats za mziki na si maneno....??
Stuck on me by Lionel Richie...
Huu sijautuma kama dedication kwa mtu yeyote yule, wala hakuna aliyenitumia huu wimbo.
Kasie Mahaba Matata.
Naombeni wenye mahaba na miziki ya malavi davi mnisaidie. Kasie Napenda sana mziki na nyimbo bin kuimba, na huwa natumia sana maneno ya nyimbo kama ujumbe as kumpelekea mtu wimbo ausikilize.
Huu wimbo (Stuck on You) ni wa Mahaba maana miaka ile ya 80 ilikuwa kawaida maharusi kufungua mziki na huu wimbo.
Mara nyingi Huu wimbo nimekuwa nikiusikiliza na kuimba huku nikiigilizia sauti ya Lionel Richie....(sauti tamu kama ya Dadii hehehehe).
Ila nimekuwa nikijiuliza, knobs maneno (lyrcs) za huu wimbo zinaonesha kama mwanaume aliikimbia nyumba akamuacha mkewe au mpenziwe na kwenda kutangatanga na wapenzi wengine. Sasa anamuimbia mpenziwe kuwa anarudi nyumbani na Kuwa safari hii atakaa au hatoondoka tena na mavurugu yote anaacha huko.
Kama niko sawa mwanaume Ndo anaomba radhi kubembeleza penzi arudi kwa mkewe.... Bado sijaelewa naombeni uchambuzi wa kimahaba.
Si kuwa nataka mtafsiri laah nataka tuu uchambuzi....
Na kama uko kama ninvyoelewa hapo juu, iweje maharusi wanautumia kufungulia mziki? Au wanacheza beats za mziki na si maneno....??
Stuck on me by Lionel Richie...
Huu sijautuma kama dedication kwa mtu yeyote yule, wala hakuna aliyenitumia huu wimbo.
Kasie Mahaba Matata.