N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 556
Exercise a lot and avoid outing za ushawishi
Exercise a lot and avoid outing za ushawishi
Yanaleta ugonjwa wa kuchekacheka na kupagawa.
Exercise a lot and avoid outing za ushawishi
....Heri ya nusu shari kuliko shari kamili.....teh! tehhh!!have u ever thought of the word masturbation?... yes it can be handy
i have got bad news for you;
first of all, hujasema mko apart kwa muda gani na hali hiyo itadumu kwa muda gani;
you need to tell your husband huu udhaifu wako, infact alitakiwa akujue na asikuache nyuma au msiachane maana siajabu yeye naye anahali yako
Pili dada, wew unajijua na nina imani solution ya matatizo yako unayo unless wewe una 16 years...
eniwei... jaribu kujisahaulisha kwa kusali au kufanya mazoezi au kuwa karibu na ddugu, ikishindikana fanya unayoona yatakusaidia
Ok! Haya yote nilijaribu lakini ndiyo nilitumbukia zaidi
1)Mazoezi- Nilianza mazoezi nikawa sawa for some time kwa sababu nilikuwa ninachoka kupindukia lakini mwili ukazoea sasa hizo feelings zikawa zime double.Nikitoka mazoezi ninawaka moto kabisa hata zaidi ya hapo awali.
2) Nilienda kumwona Pastor after kuteseka sana na mambo haya lakini akaanza kutaka kunitembeleya kwangu nyumbani ili aniombe nikamshuku,so nikayawacha hayo.Hata nikisali haisaidi.Lakini sikuwa hivi hadi nilipo olewa kwa sababu nilikuwa bikira na siku hisi taama yoyote before niolewe sasa kaniwasha moto halafu ameniwacha nikiumia.
Ok! Haya yote nilijaribu lakini ndiyo nilitumbukia zaidi
1)Mazoezi- Nilianza mazoezi nikawa sawa for some time kwa sababu nilikuwa ninachoka kupindukia lakini mwili ukazoea sasa hizo feelings zikawa zime double.Nikitoka mazoezi ninawaka moto kabisa hata zaidi ya hapo awali.
2) Nilienda kumwona Pastor after kuteseka sana na mambo haya lakini akaanza kutaka kunitembeleya kwangu nyumbani ili aniombe nikamshuku,so nikayawacha hayo.Hata nikisali haisaidi.Lakini sikuwa hivi hadi nilipo olewa kwa sababu nilikuwa bikira na siku hisi taama yoyote before niolewe sasa kaniwasha moto halafu ameniwacha nikiumia.
Hebu mwambie mumeo kuhusu hilo aisee. A kid who has never tasted another woman's food believes that his mother is the best cook in the World. I am afraid you may taste another man and find out that your husband was only doing half of what you need in bed and that will ruin your marriage!
WE hujamuelewa huyu.
kila mbinu aliyopewa kasema haimsaidii..
anachotaka ni the real thing.but ana woga
Hebu m-PM kwanza ili tujue msimamo wake, inaelekea anahitaji tiba mbadala!
Ok! Haya yote nilijaribu lakini ndiyo nilitumbukia zaidi
1)Mazoezi- Nilianza mazoezi nikawa sawa for some time kwa sababu nilikuwa ninachoka kupindukia lakini mwili ukazoea sasa hizo feelings zikawa zime double.Nikitoka mazoezi ninawaka moto kabisa hata zaidi ya hapo awali.
2) Nilienda kumwona Pastor after kuteseka sana na mambo haya lakini akaanza kutaka kunitembeleya kwangu nyumbani ili aniombe nikamshuku,so nikayawacha hayo.Hata nikisali haisaidi.Lakini sikuwa hivi hadi nilipo olewa kwa sababu nilikuwa bikira na siku hisi taama yoyote before niolewe sasa kaniwasha moto halafu ameniwacha nikiumia.
Lakini hii si ni dhambi?