TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,846
- 11,210
De Novo aksante.
ni kweli swali lako ni la msingi sana na tungetegemea kuwa kwa kipindi cha mpaka kuoana watakuwa wameshafahamiana huku shemeji akijua fika kuwa dada hahimili kukaa bila kudumishiwa chama cha wasioona. Kuna walakini hapa unless aatwambie ni boyfriend ambaye hawajafahamiana sana.
Lakini pia inategemea na mtu na mtu De Novo- mwingine wezamwambia madhaifu yako akakufrustrate zaidi. Namfahamu dada mmoja aliyekuwa muwazi sana kwa mumewe kiasi cha kumweleza kuwa anasumbuliwa sana na Ex- wake yaani boyfriend wake. Badala ya mume kumsaidia, kila mara akawa anamshutumu kuwa anagawa kwa Ex. Pengine the same applied kwa hapa anaogopa akimwambia Mr. hali yake Mr. anaweza akawa anajijengea taswira kichwani kuwa mwenzi wake anadungwa. Na kama ujuavyo hisia huua mapenzi.
Hiyo ya kuelezea mapungufu nakubali, ila pia tukubali kwamba mtu anapojua mapungufu (na si lazima uweke wazi kila kitu) huwa inasaidia hata yeye anavyojipanga. I am sure huyo jamaa angejua hali ya dada, angeondoka nae au wangepanga ratiba ya namna fulani...
Lakini ngoja kidogo... jinsi huyo dada anavyoelezea kuhusu akiona wanaume wazuri, mikoni, mwili wa mazoezi nk. nahisi kabisa kwamba hata jamaa angekua hapa bado angemegwa kwani she is alredy letting the sexy attracts in her very own eyes with acknowledgemet
Believe me, kitendo cha kuanza kuangalia na kutamani ni addictive na ukishaanza huwezi kuacha hata iweje, na bahati nzuri sana siku hizi vijana wako makini na miili yao na wanavutia sana tu. I am resigning kabisa kama huyo dada atasurvive, mijenenge ya vijana