Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Utake usitake kuwa na mpenzi kuna Stress nyingi kuliko kuwa Hitman, mtu anaechakata akiwa na hamu baada ya hapo anafanya mambo yake,
Mi ni muumini wa mapenzi ya haina hiyo ya Pili Hitman, Sinaga muda wa kukaa na kuanza kufikiria mapenzi, Nikibanwa na Hamu, naita zaga langu nachakata. Kama nikiona wote hawaeleweki natafuta mwingine chap nafanya yangu.
Hakika kuanzia niwe muumini wa mapenzi ya aina hii nimejikuta naishi kwa Amani zaidi maishani mwangu. Kwanza sina stress kabisa,pili naishi bila kuwaza wala kupewa lawama lawama zisizo na msingi. Sina wa kunisumbua kumtafuta tafuta kila muda.
Mimi naweza kuamka asubuhi kama sina mudi naweza shinda kutwa nzima mpaka kesho nisimtafute mwanamke yeyote, na ata wao wakinitafuta naweza nisijibu na inakuwa fresh tu.
Kikubwa ni kwamba huwa nawaweka wazi kabisa kuanzia kwenye mtongozo kabla ata ya kuchakatana nao kwamba
"mimi sio kwamba nakupenda nikisema kwamba Nakupenda nitakuwa nakuongopea ila natamani sana kuwa nawe,
we kama una mpenzi wako serious baki nae mi ninachoitaji kwako ni kitu kimoja tu mapenzi. Hii dunia tupo tunaishi muda mchache tu nikiwa mpenzi wako nitakupa stress kitu ambacho mimi sipendi. Wewe kama hutojari fanya tuwe kwenye mahusiano ambayo tukimisiana, we ukinimisi nitafute funguka tunakutana tupeane Raha, mi nikikumisi hivyo hivyo nakutafuta tunakutana tunapeana Raha. Tukitoka hapo kila mtu anafanya yake tunakuwa kama marafiki wa kawaida tu "
Kuhusu shida usinifiche ukibanwa kama naweza kukusaidia nitakusaidia tu , inakuwa imeisha hiyo. Hamuwezi amini kwa maneno yangu haya na ile kuwaambia ukweli wengi wao huwa wanakuwa tayari. Na pia nimegundua wengi wanakuwa kwenye mahusiano lakini wanakuwa hawana furaha, hawapati kile walikuwa wanategemea kukipata,
Sasa wakikutana na baharia kama mimi na hivyo huwa naongea ukweli tupu huwa hawapingi kazi yangu ni kuwapa Furaha tu kwa kuwatifua
.
Huku mimi nikibaki Single nisiekuwa na Stress mr HITMAN.
Mi ni muumini wa mapenzi ya haina hiyo ya Pili Hitman, Sinaga muda wa kukaa na kuanza kufikiria mapenzi, Nikibanwa na Hamu, naita zaga langu nachakata. Kama nikiona wote hawaeleweki natafuta mwingine chap nafanya yangu.
Hakika kuanzia niwe muumini wa mapenzi ya aina hii nimejikuta naishi kwa Amani zaidi maishani mwangu. Kwanza sina stress kabisa,pili naishi bila kuwaza wala kupewa lawama lawama zisizo na msingi. Sina wa kunisumbua kumtafuta tafuta kila muda.
Mimi naweza kuamka asubuhi kama sina mudi naweza shinda kutwa nzima mpaka kesho nisimtafute mwanamke yeyote, na ata wao wakinitafuta naweza nisijibu na inakuwa fresh tu.
Kikubwa ni kwamba huwa nawaweka wazi kabisa kuanzia kwenye mtongozo kabla ata ya kuchakatana nao kwamba
"mimi sio kwamba nakupenda nikisema kwamba Nakupenda nitakuwa nakuongopea ila natamani sana kuwa nawe,
we kama una mpenzi wako serious baki nae mi ninachoitaji kwako ni kitu kimoja tu mapenzi. Hii dunia tupo tunaishi muda mchache tu nikiwa mpenzi wako nitakupa stress kitu ambacho mimi sipendi. Wewe kama hutojari fanya tuwe kwenye mahusiano ambayo tukimisiana, we ukinimisi nitafute funguka tunakutana tupeane Raha, mi nikikumisi hivyo hivyo nakutafuta tunakutana tunapeana Raha. Tukitoka hapo kila mtu anafanya yake tunakuwa kama marafiki wa kawaida tu "
Kuhusu shida usinifiche ukibanwa kama naweza kukusaidia nitakusaidia tu , inakuwa imeisha hiyo. Hamuwezi amini kwa maneno yangu haya na ile kuwaambia ukweli wengi wao huwa wanakuwa tayari. Na pia nimegundua wengi wanakuwa kwenye mahusiano lakini wanakuwa hawana furaha, hawapati kile walikuwa wanategemea kukipata,
Sasa wakikutana na baharia kama mimi na hivyo huwa naongea ukweli tupu huwa hawapingi kazi yangu ni kuwapa Furaha tu kwa kuwatifua
.
Huku mimi nikibaki Single nisiekuwa na Stress mr HITMAN.