Mbishi 4 real
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 616
- 548
Kuna ex girlfriend wangu mmoja kwasasa tupo mikoa tofauti ingawa hakuna umbali sana katika ya mkoa aliopo yeye na mimi.
Simuhitaji tena na ndio maana hata naweza nikakaa hata miezi mitatu au sita bila kumtafuta na namba zake za simu nilishafutaga na kichwani pia hazipo mana sina kawaida ya kukalili namba za mpenzi wangu ninaekua nae kwenye mahusiano.
Tatizo huyu binti ndie huwa ananitafuta mimi hata tukikaa miezi mitatu au sita lazima atanitafuta wakati mimi sina time nae tena.
Juzi alinitafuta na kunisalimia na nikamjibu fresh tu ila nikaona nimuweke wazi kwa kumuambia kwamba asinitafute katika kipindi chote cha maisha yake yaliyobaki mana ni kama atakua anajipotezea tu muda wake wakati mimi sina interest nae tena.
Nimemwambia hivyo just for good ili aweze ku focus zaidi kwenye maisha yake.
Je kwa kufanya hivyo nitakua nimekosea kumchana ukweli ili asipoteze muda wake au nitakua nimeupiga mwingi?
Simuhitaji tena na ndio maana hata naweza nikakaa hata miezi mitatu au sita bila kumtafuta na namba zake za simu nilishafutaga na kichwani pia hazipo mana sina kawaida ya kukalili namba za mpenzi wangu ninaekua nae kwenye mahusiano.
Tatizo huyu binti ndie huwa ananitafuta mimi hata tukikaa miezi mitatu au sita lazima atanitafuta wakati mimi sina time nae tena.
Juzi alinitafuta na kunisalimia na nikamjibu fresh tu ila nikaona nimuweke wazi kwa kumuambia kwamba asinitafute katika kipindi chote cha maisha yake yaliyobaki mana ni kama atakua anajipotezea tu muda wake wakati mimi sina interest nae tena.
Nimemwambia hivyo just for good ili aweze ku focus zaidi kwenye maisha yake.
Je kwa kufanya hivyo nitakua nimekosea kumchana ukweli ili asipoteze muda wake au nitakua nimeupiga mwingi?