Strength/power of the women love!

Strength/power of the women love!

Warren T

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
664
Reaction score
409
Strength of the women love!
 

Attachments

  • 1452965071199.jpg
    1452965071199.jpg
    32.4 KB · Views: 164
Huyo bwana harusi ana kazi gani..Asije akawa ndo mwenye shule za Tusiime
 
Hahahaaaa!! Kwa maongezi yake ni kama ana mkwe wake kichwani tayari, so plz usijeniulia mume wangu mapema kwa suprise.
Teh baby wangu, afu presha apate mwingine khaaa. Wewe mbona ni reject lakini me sikuzimia alivyokuleta. Hapa Nipo busy naomba kweli kijacho asije akafanana na wewe jamani, usiniharibie mdogo angu jamani mweee
 
Mwambie atulie tu kwanza, maana hajui ntamletea mkwe wa namna gani teh
Teh baby wangu, afu presha apate mwingine khaaa. Wewe mbona ni reject lakini me sikuzimia alivyokuleta. Hapa Nipo busy naomba kweli kijacho asije akafanana na wewe jamani, usiniharibie mdogo angu jamani mweee
We piga porojo tu..Ila nadhani hili tulishaliongea tukamaliza...Sasa Ole wako
 
Teh teh...Mamito we unaongea hivyo leo..Au upo church now ndo mana?

Hahahaaaa!! Baada ya kunasa kwako nikajikuta tu nawaza kila kitu kinawezekana, japo ni kwa wengine, teh teh teeeh!!
 
Teh baby wangu, afu presha apate mwingine khaaa. Wewe mbona ni reject lakini me sikuzimia alivyokuleta. Hapa Nipo busy naomba kweli kijacho asije akafanana na wewe jamani, usiniharibie mdogo angu jamani mweee

Nashukuru nilishakubaliana nae kabisa nikamwambia asije nisuprise afanane tu na baba yake kwakweli, so ondoa shaka.
 
Hahahaaaa!! Baada ya kunasa kwako nikajikuta tu nawaza kila kitu kinawezekana, japo ni kwa wengine, teh teh teeeh!!
Teh teh..Kwenye mapenzi ya kweli kila kitu kinawezekana
 
Huyu akikuoa husumbuki wala kero hupati mtazika bila kutukanana ndivho alichoona huyu mw anamke Ni muelewa sana mungu amtanguliya na ndoa hiii iwe ni furaha
 
Mwananmke inachofata kwa mume ni kitandani basi kama ana mzigo waku shugulika inatosha
 
Back
Top Bottom