kuna dem mmoja nilimtongoza kitaa, kabla sijamla wakahama uo mtaa, basi nikamshawishi aje gettoh, akakubali akaja, siku anakuja alivyofika getini akanipigia nikamfungulie, naenda kufungua nakutana na dem kavaa kama ninja, full hijabu yamebaki macho tu, nikamkaribisha ndani ndo akavua ayo manguo, namuuliza kwann kavaa akaniambia alitaka watu wasimjue pale mtaani, nika note kua wanatumia ayo mavazi ndivyo sivyo waliawaaribia wale wengine wanao tumia kwa usahihi, ndo maana baadhi ya maeneo wanapiga marufuku ayo mavazi.