unknown animal
JF-Expert Member
- Jul 18, 2012
- 337
- 51
first of all don't salute us coz we have no ranks,okay ni kwamba hamchez na alama za nyakati,hujui mume wako amekumbana na mishe gani instead unaanza kuleta story zako za ajabu ooooh sijui yule mama wa keki leo amezidisha unga wa ubuyu kwenye soda ya bosi aliyokunywa leo ilikuwa na kichupa ndani(hueleweki)unategemea kusikilizwa?na mfumo ndo huo mpaka mtakapokuwa smart,na kwa bahati nzuri na kwenye katiba mpya lipo,no chance for non sense stories.