sakapal
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,804
- 1,424
- Thread starter
- #81
Na mjaribu saa ingine kuja na story za kuongeza kipato ili familia imee sio mastori ya harusin na maofisini mwenu tu kila siku bana yaaani uje na say mpango wa biashara na jinsi ya operationalization mimi ntakusikiliza kila siku hata wa manane ila ya Mke; Honey nikwambie kitu..........
Mume; Enheee........
Mke; Jana ofisini ile kikao yooote mpaka jioni ile tukatoka secretary na bosi tumewaacha ofisin ana inasemekana wana uhusiano wa kimapenzi
Mume; Bad Habit.........
Mke; Inauma sanaaa
At Home......
Mke; Mume wangu
Mume; Naam......
Mke; Hivi unajua this weekend ndo ile send-off
Mume;Owk....ntakupeleka then ukiwa tayari ntakufuata mke wangu.....
Mke; Sasa utakuta kwenye send-off watu huwa wanajikandika mipoda kama wachawi yaani mi sipendagi...........
Mume; Ngrrrrrrrrrrrrrrr.........................ngrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr kalala zamaaaaani as mistory yako inaboa saaaaanaaaaaaa na ni non-constructive
Tafakari................chukua hatua
heheheee umenchekesha na scene yako thanx, ila mapenz ni kuheshimiana, kuvumiliana,....etc. Kwani nyie wanaume hamna maongezi ambayo yanaboa? au yanamboa mkeo? mbona huwa anakusikiliza tena akiwa macho kodo bila hata kupiga kope? just emagine unastory yako then wakati unaisimulia mkeo anachat bbm na tabasamu mwisho anaangua kicheko kikubwa wakati story unayopiga wewe ni ya kuhuzunisha utajiskiaje? si kwamba alikuwa hakusikilizi? au utapata picha kwamba unampigia kelele na siajabu ukatumia mabavu yako na kuanza kumpiga biti hebu wnaume lainikeni kidogo hata kwa nusu saa tu loh!!!
kweli aliyesema think like a man act like a lady hakukosea