AkiliMingi AM
Member
- Jul 5, 2020
- 88
- 58
Demu wangu kila siku akija gheto anaanza kunipigia stori za Ex wake. Anaanza kuniambia kuhusu maendeleo yake mara ananiambia amenunua pikipiki mara anambie jamaa siku hizi anaingiza mpunga mwingi sasa mimi hayo yananihusu nini jaman?
Sasa jana alipo kuja nikampigia story ya Ex wangu kabla ya yeye nikamwambia ni namna gani alivyo kuwa mtaalamu wa kunipa mambo kitandani tangu aondoke hiyo jana mpaka sasa hapokei simu yangu wala hajibu text nikipiga kwa simu nyingine anapokea alafu akisikia ni mimi anakata.
sasa hapo wadau nichukue uamuzi gani?
Sasa jana alipo kuja nikampigia story ya Ex wangu kabla ya yeye nikamwambia ni namna gani alivyo kuwa mtaalamu wa kunipa mambo kitandani tangu aondoke hiyo jana mpaka sasa hapokei simu yangu wala hajibu text nikipiga kwa simu nyingine anapokea alafu akisikia ni mimi anakata.
sasa hapo wadau nichukue uamuzi gani?