Story: Side Chic & Main Chic ~ A Forever Battle

Story: Side Chic & Main Chic ~ A Forever Battle

Numbisa
lara 1
Valentina

Nimewaletea mrejesho mliokuwa mnausubiri kwa miezi 3

CHAPTER 1: SIDE CHIC AND PROUD

Hi Hoe:
Karibuni karibuni sana wapendwa wangu kwenye kikundi chetu, karibuni wapiganaji, tutiane moyo
Sisi sio malaya sisi tunasaidia jamii idumu naku survice vema

Sisi sio Malaya, sisi ni customer service representative, kazi yetu ni kutumikia wateja na sio vinginevyo
Hata kama dunia haituelewi lakini sisi tunajielewa tunaongea lugha moja, shoooo! Hata Mungu anatuelewa kwaiyo ni Mungu mwenyewe atatuhukumu, vinginevyo Mungu yupo impressed na kazi zetu
Kelis: preeeeach sister, preeeeach
Irene: amen sister amen
Khadija: word word!

So niambieni changamoto mnazokutana nazo huko kwa wateja tuanze kuwekana sawa

Nani ataanza kuelezea
Wote kimyaaa
Basi me naanza kuongea alafu mtafuata na nyie
Hi Hoe:
Mimi ndio boss wenu, nimekaa kwenye hii kampuni ya side chic kwa muda wa miaka 15, naijua hii field vibaya mno, hata CV yangu ninayo ya kuwahudumia wateja wakubwa wa kubwa sio hawa vidagaa
Nimeanza hii kazi nikiwa na miaka 15, hapa hapa Daslam
Nimetembea na watu wote unaowajua maarufu
Nimetembea na vibopa wooote
Nimetembea na makonda wa daladala, madereva wa waheshimiwa, madereva wa magari ya mikoani
Madereva wa maji taka na maji safi
Kondakta wa daladala
Waume za watu ndio usiseme
Ma pilot wa ndege, cabin crews, waandishi wa habari, madaktari wa aina zote, wa kichwa, watoto, mifupa, meno, neurosurgery, wakina mama, shooo! you name it
Daslam najulikana kama Hihoe ila home wananiita Meow!
Kwahiyo muwe huru kuongea hapa mimi nina PHD ya kuwa side chic wala msiogope
Nina connections kibao africa, asia, europe, nyie tu labda mnatakaje kufanya kazi na mimi kama una maswali nikaribishe muulizd

Khadija: hi me naitwa Khajida
Hihoe na wenzie: hi Khadija
Khadija: madam me nina swali, nina miaka 25, mpaka sasa hii naongea nimelala na wanaume 10 tu
Hihoe: 10 sio wengi my dia, mimi nimelala na zaidi ya elfu 1
Khadija: so hii sekta mimi niseme bado ni bikra sijui kitu, tuelezee hii sekta yako tunatakiwa kufanyaje kazi?!
Hihoe:
Well huku mtakutana na wanaume wa aina tofauti tofauti, weupe weusi zeruzeru, waliojichubua, weusi kama mkaa, wakubwa, wadogo, wenye madushe, wenye vibamia, wanene, wembamba, warefu wafupi
Wateja wengine wakorofi, wengine wana huruma na hofu ya Mungu, wengine washenzi, inabidi tu uwe mpole kama mhudumiaji

Usipolipwa hela baada ya mchezo poaaa
Ukilipwa poaaa ila wao wakija wananilipa mimi hela ndio nakuita umhudumie

Sasa nataka kila mtu aandike hela anayotakiwa kulipwa kwa kila huduma anayotoa, we taja kima cha juu na cha chini me nipo hapa kuwasaidia mjaze hizo form baadae mnirudishie

Kelis: hata wa mil 10 wapo?! Mil 5 mil 3 wapo?! So wewe ndio utakuwa meneja wetu sio
Je kupigwa?! Maana naskia wengine wanawapiga watu kama sisi

Hi hoe: mil 10 bado hatujafika, ila mil 5 inawezekana tu so mjaze hapo kwenye no 3 kiasi gani mnataka mlipwe dau ndogo na kubwa
Kuhusu kupigwa hilo nalifanyia kazi ila jitahidi msiwaboe wateja sawa?!
Ulinzi hapa kwenye nyumba yangu upo mkubwa tuu ila sasa kama amekuita hotelini ndio hapo nitashindwa ku guarantee usalama wako ila naandaa ma body guard niwalipe waje wawasibirie ndio najipanga hapa

Irene: je kuna pesa ya kila tendo au matendo yote pesa moja
Namaanisha
1. Tukitumia condom wanalipa ndani
2. Akinipa mechi ya mbele hela ngapi?!
3. Akini poke kwa nyuma ananipa pesa ngap?!
4. Blow job je bei gan

Hi hoe: oh thank you love
Unajua hii kazi ukiashaianza inabidi ujitoe mhanga kuwa wewe ndio basi tena kwahiyo hata ukipigwa cha masikio au pua kubali tu. Si umeshajitoa mhanga kama Yesu alivyoangikwa msalabani?! So kubali yote
Hawa wanaume wengi wanaokuja wameoa ni waume za watu, wana stress zao za familia, kazi, mke, mama mkwe, watoto wakija kwako usianzishe maswali mpe tu raha atafunguka mwenyewe
Kwa mapenzi yake na akifunguka sio kumgaaanda skunyingine akija mpotezee kwa maongezi yaliopita unless labda kama amekuambia tena ndio uongee jaribuni kuwa na maneno machache au usiwe na maneno kabisaa

Wanaume wote lazima wanatumia kinga ila kama ni mshenzi ndio atakeambia anataka kavu usikubali mpaka mkapime maana haumjui na haya ni maisha yako
Mkishapima mkakuta ni swafi haya well and good
Ila mkitumia condom wanalipa mwisho mil 1
Bila condom hata mil 2 - 3 unapewa
Mechi za mbele hata laki 5 unapata
Bomba la mgongo wanalipa mpaka mil 5 wengine sio wote lakini

Kelis: samahani hizo hela unapewa wewr alafu sisi unatulipaje labda?!

Hihoe: wakinipa mil 5 naweka bank, nyie mnachukua asilimia40 ya kwenu asilimia 60 yangu
Namaanishaje kuwa nikipewa hela naenda kuandaa hotel, usafiri wa huyo client, kuwanunulia nyie vifaaa kama nguo, instruments za game, kuwapeleka seminar na kumwita kungwi awafundishe etc etc
Mkiumwa me ndo nawalipia, nawakatia insurance ya afya, mambo mengi tu nawafanyia kuwalipa ma body guard wawalinde sio mambo ya kitoto. Kuwasafirisha kwenda ulaya kwenye ma strip club kujifunza you know
Kelis: ah sasa nimeelewa na tutajuaje kama mteja amelipa pesa ngapi je ukidanganya umelipwa laki 2 kumbe umepewa mil 5?! Tunajuaje labda

Hi hoe: mteja akija tunajaza form kabisaa na mteja namwonyesha picha zenu na nini, akimchagua mmoja wenu namwita waje waonane aone na form alivyojaza na hela alafu baadse mnakutana nae kwenye hotels
Kelis: ok nimeelewa
Irene: je kuna pension zozote unatukatia maana hii ni ajira tayari
Hihoe: mnataka mkatiwe na pension, haya basi nitawakatia ila itabidi tuandikiane mkataba wa miaka 2 max sipendi kumbana mtu saana nataka uwe huru
Na huo mkataba ukisaini hamna kuchomoka mpaka uishe
Usipoandikisha mkataba ina maana sikukatii pension, sawa?! Ina maana muda wowote naweza kutemana na wewe nikachukua chombo kipya
Nawashauri mkae kwenye mkataba maana benefits zengine za kusafir nje lazima nionyeshe mkataba kwenye visa kuwa huyu ni mfanyakazi wangu kama hauna mkataba itakuwa ngumu

Wote: ahaaa tumeelewa

Khadija: kwaiyo unao madada wa ngapi mpaka sasa au ndio sisi 4 tu?!
Unaweza kutupa mfano wa wadada ambao walifanya kazi na wewe maisha yao wapo wapi?! Kuna wenye watoto, wenye ndoa ee maana we umekaa kwenye hili game kwa muda sasa utakuwa unajua mengi
Je kama tukipata bwana akataka kukuoa ukiwa ndani ya mkataba itakuwaje sasa?!

Hi hoe;
Nina wafanyakazi 24 pamoja na nyie
Ila wengine wanakuja kwa siku zao kuonana na mimi kama mlivyo nyie

Ukipata bwana ukaolewa nakuchomoa kwenye contract, ndivyo mkataba unavyosema

Ukipata mtoto na haukuolewa na bado ukawa unataka kuendelea na kazi basi me sina neno na hilo, wapo wadada 3 wanawaleta watoto hapa wanalelewa na dada wa kazi nimewaajiri alafu wakirudi kazini asbh wanakuta watoto wao wameangaliwa vzuri

Wapo walioolewa wapo waliopata watoto, wapo waliozaa tuu hawataki kuolewa.kifupi ni kwamba kuolewa au mtoto isikufanye maisha yako yakasimama
Hata ukimpata mtu amekuoa na unataka kuendelea na kazi kea siri me nakukaribisha ila kwenye mkataba sikubani saaana

Kuna walioolewa na wazungu, wapo ulaya huko wanamaisha na ndoa zao zina miaka 5 wengine 7 wengine 8.. wapo kama 10 ni marafikizangu wengine watakuja kuwafundisha

Khadija: sasa kwa akina sisi ambao hatujui english na mzungu namtaka alafu hajui kiswahili itakuwaje?!
Hihoe: nitawafundisha hapa hapa ukikaa sawa ndio nakuingiza kazini kabla ya hapo wala siwezi kukuaibisha ila uking'ang'ania basi nakuweka ukakome mbele hehe
Maana ahadi nyingi za wanaume zinatoka kwenye mechi, sasa ukuambiwa i will buy you a house na haujui anaongea nini, utafaidika nini

Wote wakacheka

Irene: hizi hela tunalipwa baada ya mechi sio au unatuweka benki?!
Hihoe: vyovyote unavyotaka mpenz me nitakupa cash au niweke bank nyie tu

Kelis: hizo trip za ulaya vepee?! Like tunaenda kwa mwaka mara ngap?!
Tunaenda kupumzika au na ni nchi gani tunazoenda

Hi hoe: kabla sijaongelea safari labda niwaambie hivi
Ukifanya kazi kwa bidii na clients wako wakakupenda kila mara wanakutaka wewe, ina maana mwisho wa mwaka nakugaia bonus kuuubwa kama zawadi, inaweza ikawa kiwanja, nyumba, hela, etc etc
Well kwa mwaka tunasafiri mara 2, inategemea na biashara ilivyoenda kwa nusu mwaka au mwaka mzima
Biashara ikiwa mbaya hatutokei nje ya tz ikiwa nzuri tunatoka tu

Khadija: sasa tutajuaje kama biashara imekuwa mbaya au nzuri wakati wewe umeshikilia mpini na makali

Hi hoe: mteja akijaza form nakupa copy so hizo kopi mzitunze, Yaani kila baada ya miezi 3 nakuita unakuja tunajua umepata hela ngapi, umetengeneza clients wangapi, etc etc so mjitahidi kwenye kutoa huduma mchangamkee, mue wabunifuuu pia mnaweza kutuelezea ubunifu wako hapa na matatizo unayopata hapa hapa kwenye kikao, sisi ni familia tunasaidiana
Kuna kufumaniwa jamaa so tutawafundisha jinsi ya kukwepa fumanizi ukaondoka bila kuchubuliwa au kupigwa au kuwekwa ilemavu au kulala ndani
Msikubali kukamatwa kiboya boya, sawa ee lazima muwe wajanga

Wote: sawa madam
Basi mjaze hizo form me nipo hapa nawasimamia, mkimaliza tuangalie hii video nianze darasa

Wakawa buzy wanajaza form zao za miakata ya kazi, kweli u side chic ni noumer!



MAIN CHICS:

Amberose: karibuni jaman, karibuni sana leo tukae hapo kwenye maua, huju ndani kuna joto karibuni mkae hapa, we nanihii peter embu ongeza viti 2 hapa haraka
Karibuni jaman akina mama karibuni mkae

Kikao kikaanza si unajua tena vile vikao vyetu vya vikundi vya akina mama, wakasalimiana pale na kuongea mambo yao ya kikundi walipokaribia kumaliza mmoja akatingisha dish
Tamia: watoto hawajambo Amberose?!
Amberose: hawajambo wapo boarding, nimewapeleka boarding St. Francis girls ndio wapo form 4 sasa
Tamia: oh safi sana watafaulu vizuri sana
Amberose: yah namwamini Mungu anawasaidia sana, vipi Amina au Mina maana kila siku inabadilisha majina,
Mina: ah me naitwa mina bwana hili amina hata sijui kwanini silipendi
Amberose: ok watoto hawajambo?!
Mina: hawajambo wanasoma hapo Almuntazir wamenaza last week mmoja grade 1 mwengine nursery
Amberose: that's nice
Vipi Tamia any luck na kupata mtoto?!
Tamia: yani we acha tu nimefanya kiila kitu lakini wapi, sasa sijui nafanyaje, na ndoa ya miaka 5 mama mkwe ana maneno kweli ananipigia keleee utadhani me ndo natoa watoto nimeichoka ile nyumba me akija naendaga kulala hotelini, si unajua mama wakwe wa kihaya walivyo, ni sheedah hapa alikuwa hataki mwanae anioe mie mkabila
Amberose: kwani wewr kabila gan
Tamia: me mmeru my dia
Mina: ndio maana mzuri nilikuwa najiuliza wahaya wanakuwaje wazuri namna hii?!
Wakacheka
Tamia: ndo ivyo my dias, nahangaika sana kupata watoto, ila Mungu atanipa tu naamini
Wote: amen.
Amberose: ina maana mume hajazaa nje kwelu miaka 5 ni mingi haujawahi kumfuma hata na mchepuko wowote?!
Mina: ah we Amber na wewe mbea embu mwache mama wa watu
Tamia: hamna bwana Mina, me sijui hata sijafuatilia na wala sitashangaa akiwa na watoto nje
Amberose: msema kweli mpenz wa Mungu unisamehe Tamia kama nakosea kukwambia, juzi kati nimetoka na mume tumeenda date night mara namwona mumeo amekaa kwenye kona na demu m1 nikashtuka alikuwa hajaniona nikamwambia mume unamwona mume wa Tamia yule pale tuondoke hapa buana me staki ushahidi
Tamia: huyo dada ulimjua ni nani kwa kumwangalia
Amberose: hapana asee ilikuwa giza tukaondoka zetu sikutaka matatizo, uwe mwangalifu my love, usikute mumeo ndio mwenye matatizo wanataka kuku frustrate buree sio vzuri
Tamia: ah tuachane na hayo bwana asante kwa kuniambia
Vipi Mina mumeo hajambo?! Yeye hakitembezi?!
Mina: mmh mume wangu hanaga hayo mambo namwaminia asilimia 100
Amberose: che! Unamwekea mwanaume asilimia zote izo kwanini labda?!
Mina: namwamini sana mume wangu anakuja hm saa 12 jioni yupo na watoto
Tamia: aisee, ivi anafanya kazi gani
Mina: ni mfanya biashara tu kazi hizi za kilimo, kuuzia wachuuzi analeta mchele toka morogoro, mbeya, mahindi, maharage toka moshi, tanga, anauza ndivyo tunavyoishi na mie nipo hapo benk NMB basi maisha yanaenda
Tamia: that's great hongera sana, jaman me naondoka naenda home nikampikie mume leo dada wa kazi yupo off haya kwaherini, akaondoka na Mina nae akaondoka
Alipofika njiani akampandia hewani Amberose, shoga umemsikia rafkiako Mina alivyo bwege?!
Amberose: yani huyu ni kaizi mbatata, anavyomsifia Sande wake utadhani Sande malaika wakati si tunamjua sande kitombi wa kufa mtu, mpare tena? Uuuwi alafu nimeileta ile stori ya mumeo makusudi, yeye ndio alikuwa na mumeo skuile nimewakuta hotelini wamejibanza
Tamia: kumbe ndio yeye mshenzi kabisa ngoja nikamkomesha next time mpaka ataniomba msamaha kwa kutambaa kwa tumbo
Amberose: skunyingine tunamsuta pale pale na kumdunda shenzi kabisa
Hili grup linatakiwa liongezeke maana nahisi linaboa sasa
Tamia: haya nitaleta mtu m1 next time tupate challenges kidogo. Haya g9t love asante sana
Simu ikakatwa
Amberose: du usilolijua ni kama usiku wa giza Mina angejua me natembea na mumewe Sande wala asingejishaua namna hii. Akampandia hewani
Mina mamaa nimeona kuwa next time tukionana ulete mtu mmoja tuwe na kikundi hata cha watu 5-7 mwisho sawa ee?!
Mina: sawa mami, nitaleta, wasalimie wote kwako asante kwa host ya leo
Amberose: asante na karibu tena
Simu ikakatwa
Mina: zoba kweli hili Amber angejua me ndio msaidizi wa mumewe asingeongea. Stupid!

TUONANE SAA 3 Nanusu USIKU


Wow , what a nice story....!!
 
CHAPTER 1

2. HAKUNA MCHAGA LAFA!

Baada ya miezi 6 ya kazi za side chics, na trainings na kunolewa msasa na ticha HiHoe, na mafundisho lukuki, warembo wakawa wamizoea field yao, wakawa wamei master
Unajua shule ya mechi na world cup inakuwaga rahisi sana kuliko shule ya chuo kikuu, yani naturally inakuwa tu rahisi tu, nadhani Mungu ndivyo ametuumbia.


Kelis:
Ni Mchaga wa machame, juu mnene chini mwembamba, wanaita shape ya kabati, akawa buzy anachagua vitendea kazi mwa Cassandra Lingerie na mwenzake Irene

Eh, jamani hii bra mbona haikai, embu Irene nisaidie

Irene:
Bwana na wewe una maziwa makubwa kama tikiti maji, kakate uko kha, huku anamsaidia bra ikae vizuri, du! Sasa ndo nini namna hii bra imekubaaaanaaa iache buana chukua nyingine


Kelis: eti dada kuna bra nyingine Size kubwa kidogo

Dada: hata hamna hiyo ndio size ya mwisho iliobakia

Irene: basi chagua nyingine bwana, hio utashindwa kupumua

Kelis: ah hii hii nimeipenda nataka niivae kesho valentine kwa client wa kesho amelipa hela nyingi sitaki kum dissapoint, maziwa ni yangu, nayapeeenda, clients wanayapeeenda wewe pilipili usioila inakiwashia nini labda?! These boobs au tunaziitaga milkshake ndio zimenipa ku saini kesho mil 1 na client, yaache kabisaa nayapenda kama yalivyo



Irene: haya ma! Ekamae!

Mara Simu ikaingia:
Irene: halo
HI HOE: mama kesho ni buzy day, clients wanawasubiria mko wapi mje mpigwe darasa?!


Irene: tupo kwa Casandra lingerie hapa Kelis ananunua viwalo, namsindikiza

Hi hoe: nunua na vyako pesa mtapata baadae mkija, clients ni experts toka marekani msiniaibishe jioni mje tupange ratiba, na wewe umepata client wako

Irene: poa madam asante sana tutakuja tukitoka class kwenye saa 3 usiku basi

Keli: hi hoe huyoo sio?!

Irene: eh mamangu tutatumika mpaka papuchi zipate u celebrity, me nimechooooka hapa afu j3 kuna pepa dadeki, sijasoma afu kesho naenda kufanya kazi basi nachoka mara 2 hii shule ya IFM iishe tu kwakweli

Kelis:
Ivi boom limeingia?!


Irene: hata sijui, kwani wewe bado unaishi kwa boom?!

Kelis: nataka nitume hela kwa bimkubwa moshi, si unajua me ndo wa kwanza lazima niangalie nyumbani na mzee alishatutoka basi shida tupu, IFM yenyewe nimeipata kwa shida we acha tu nadhani babangu, rest his soul in peace ananipiganiaga sana, hata hili nalofanya sidhani kama anapenda ila ataielewa juu kwa juu, the struggle is real mehn!

Shule iishe kwakweli me nishachoka mapemaaa, natamani kuaajiriwa zangu nipate hela.
So boom sijaangalia nina miezi kama 6 nataka baada ya valentine nikawarushie salio


Irene: du pole, basi ngoja na mimi niangalie cha kuvaa, tukitoka hapa tukasome, maana me kupigwa sapu au repeat hata staki

Kelis: nikimaliza shule hii kazi kwa Hi Hoe naacha, maana nafkiria kuwa namaisha zaidi ya haya tunayoishi, nimechoka kuwa student by day na changu by night, sasa nimesoma shule ya nini labda?! Naamini nina maisha zaidi ya haya nayoishi sasa hivi

Irene: me and you both lakini kama utapata bwana anakupenda huko we nenda nae,

Lakini nasahau kukuuliza kila siku, vipi mwenzangu hela za chini ya meza unazipataga baada ya ligi?!

Kelis: mwanzo nilikuwa napata sio sana kama dola 100 sometimes laki 1 sijui Hi Hoe anawapiga hela nyingi au hata sielewi skuhizi napata elfu 50 au dola 50 au dola 20 huyu Hi hoe lazima kuna namna anafanya maana tips zimeshuka kabisaa

Irene: meona ee sasa tunafanyaje

Kelis: hapa lazima tutafute meneja mpya, turaise our bar ambayo itatusaidia kukutetea na kuongeza hela, huyu Hi Hoe hafai,

Afu nimesahau kukwambia, juzi kati nimekaa zangu namsubiria client Moven Pic, akanifuata kaka m1 ananiambia mrembo ukihitaji huduma yangu ni call nitakupromote vizuri kwa hela kubwa kubwa kubwa sio ndogo ndogo laki 3 mnaona hela me naongelea mil 5 mpaka 10, mara akaja client are you kelis?!
Kelis: Yes
Client: ok follow me
Kelis: haya kaka kwaheri
Promoter: hii hapa bness card yangu ni call
Kelis: sawa
Basi nikaingia mzigoni ile card sikuifuatilia tena mpaka umeongea leo, tena bora embu ngoja niiangalie kwenye pochi, akafukua pochi aaah hii hapaaa ngoja tumpandie hewani
Akampigia promoter


Ring tone: mama had a Chicken
Mama had a cow
Daddy was proud
He didnt care how
ting ting ting ting tiiing,
ting ting ting cow
Ting ting ting ting tiiiing
Ting ting ting ting chicken
Ting ting ting ting tiiing
Ting ting ting ting cow and chicken
Ting ting ting ting ting tiiiing
Ting ting ting
Papapapapapapa paaa
Ahahahaha ahahahahah haaaa
Piiiiiiu!
Irene: eh hizi rington jaman, huyu meneja mtoto wa nursery nini mpaka rington ya katuni ya cow and chicken mbona me nachoka kablsa sijamsikia akiongea?!


Ikapokelewa: haloo Sande hapa
Kelis: habari kaka me naitwa Kelis
Sande: nambie
Kelis: ulikutana nami moven pic ukanipa bness card yako juzi


Sande: ah! mrembo nambie mami ushafikiri
Kelis: ndio nipo na rafkiangu hapa tumeona tukutafute
Sande: basi tuonane j2 tuongee vizuri ngoja valentine ipite kwanza maana clients wangu wamejaza sina pa kuwaweka so ntasave no yako jumamosi usiku nipigie kunikumbusha poa?!
Kelis: poa kaka asante sana
Simu ikakatwa


Irene: doh afadhali bwana tupate management mbili me nahamia kwa Sande kama pazuri ila Hi Hoe ametutoa mbali atamind sio kitoto, alafu hata mwaka hatujamaliza mchaga unataka kuhamisha kambi, yeleuuuwi kweli mchaga wa mwendo kasi wewe!

Kelis: kimpango wake, atajiju, me naangalia maisha yangu sio kupigwa tu tunatumikia bibi hi hoe, afu kwanza nimeskia kanunua discovery 3 katoa wapi hela?!mbona sisi tunapanda daladala na taxi?!
Me nina mpango maalum nitaufanya kwanza alafu nitakwambia lazima nimenejiwe na managers wawili, sikubali kukaa chini ya queen bee Hi Hoe, wanawake wana attitude sana mwisho wa siku tutapigana tuondoke na nyonyo la kila mmoja mkononi, bullshit bulshit Staki kusikia tena! Hapa nachunguza connectiom zangu mpya then nambwaga hihoe.
Alafu hili jina la Hi hoe sijui kalipata wapi, ahahaha a hoe?! Ma kubwaa!
Wote wakacheka


Kelis: Embu tumalizage hapa, tusepe tuwahi class ya saa 11 jioni
Wakamaliza haooo IFM mojaaa!


HOE AND PROUD:
Eddie: Buuuuaaaana Yesu asifiwe sana

Hihoe: please cut that shitty crap its me hihoe
Eddie: ah baby nambie


Hihoe: nina nyege kwaiyo?!

Eddie: leo ngumu kutoka mke kajaa na baba mkwe toka kijijini ndio namwintertain leo ngumu dia labda kesho

Hihoe: kwaiyo nyege zangu nani anamalizana nazo labda?!

Eddie: aloo sikuskii unakatika katika, haloo halooo halooo! Akakata simu

Hihoe: shit, sa sijui nafanyaje ngoja akapiga simu ikaita weee ikakata, akapiga tena ikaitaaa tenaaa
Papaa hey babe nambie
Hihoe: nimekumiss kweli
Papaa: asante me pia
Hihoe: ukowapi nina nyege
Papaa: kwenye foleni hapa upanga narudi zangu goba
Hihoe: nakusubiria hapa protea hotel we njoo me ntapasuka
Papaa: nakuja baby fasta ngoja nichukue plastic hapa pharmacy nakujaa


MINA THE SNITCH:

Tamia: kesho kuna harusi ya wale ndugu zako wa upande wa baba usisahau inaanza saa 1 jioni
Mutashobya: ah nimesahau kabisa asnate kwa kunikumbusha mke wangu, basi sawa nikichelewa wewr nenda tu na watoto me ntakuja si unajua haya mambo ya foleni mpenz
Tamia: mmmhhh naelewa sana sawa hamnaneno bebi. Simu ikakatwa


Mina: nani huyo anakupigia
Mutashobya: mke wangu Tamia
Mina: ana taka nini labda?!
Mutashobya: kuna harusi tunatakiwa kwenda kesho ya kifamilia
Mina: ok, alafu mkeo hajazaa ee?!
Mutashobya: kwanini
Mina: Tulikuwa nae kwenye kikundi like 6 months ago, akawa analalamika hana baby ina maana wewe umeshindwa kumpa mkeo mtoto jaman?!
Mutashobya: naweza sana ngoja nikupe leo uone
Mina: akacheka, an serious baby shida iko wapi
Mutashobya: labda yeye ndio mwenye shida me hata sina
Mina: basi prove it usiku wa leo unionyeshe kama kweli wewe hauna shida
Mutashobya kwa midadi ya mapenzi sijui mechi akaanza kujifukua toa shati toa suruali mhaya ana sifa balaa, leo nataka nikukamua katerero mpaka uombe poo


Mina: bring it on daddy! Ur soo classy!

Itawa usiku ikawa asbh siku ya 2

MUENDELEZO UPO HUKU SIDE CHIC vs. MAIN CHIC - .

 
Back
Top Bottom