Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 26,833
- 50,015
Lipia tangazo.
Kamakipaji cha kujieleza kweli unacho maana inaobekana unaweza jaza dibaji ya Love Stories Encyclopedia kwa
kazi ulizoziandika. Hongera kwa kipaji mkuu Money Penny
Ila James Bond alikuwa anambandua!
Well narrated...!
Hujaeleweka ,kujifungia chumbani kuangalia movie/series mpaka majirani wanahisi umesafiri..
Imekaaje hiyo, wakati una watoto wapo university... Why ukae chumbani kuangali movie, kwanini usikae sitting room na la familia...?
Nahisi kama wewe ni msela tu wa gheto, sema una vipaji vingine..!
Kumbe ni wewe jirani dah!
Wewe mtoto unatutia genye sie wazee ....
Nipo serious, nikukute nyumban
Kumbe ni wewe jirani dah!
Njooni huku mumsaidie marehemu alieshindwa kutongozaaa Stori: Jinsi ya Kumtongoza MwanamkeOoh kumbe, umetisha
Njooni huku mumsaidie marehemu alieshindwa kutongozaaa Stori: Jinsi ya Kumtongoza MwanamkeOkey
VEPE MY DIA?Jamani!
Let me reserve my Comment!VEPE MY DIA?
Njooni huku mumsaidie marehemu alieshindwa kutongozaaa Stori: Jinsi ya Kumtongoza Mwanamke
Na huku dadaenu anafumaniwaaa STORY: FUMANIZI LA UKUBWANI
Let me reserve my Comment!
Ntarudi tu ngoja nipate cm mpya hii mzinguo
unakataa nini sa? sema naogopa tu ban
Uko musuri wewe
Nimekufuma leo.
Aya.
Jirani unanikana
wivu namuonea huyo jamaa aliyekufataki maana nilikuacha darasa moja shule, huyo jamaa lazima alikula kwa chumvi
Mmmmhhhh... still loading...
Unasema umezaliwa March 8 wakat humu jf umeandika May 10
Kwel we mtu mzma sabab tuu unapokea dyu dyu
HAYA MKUJEEEE NIMESHUSHA NGOMA MUPYAAABan huwezi kupewa sema tu wanaweza kubadili au kuhamishia kwenye jukwaa la wakubwa.
sawa shemejiMoney Penny kabla sijamaliza kusoma naconnect dots mstari unakuja kabisa ntakuuliza swali la kizushi
Cc Smart911
ah we na bwana wako mnanichanganyaaa ... haya wifi karibuu
Sijamaliza bado ngoja nikuswalike kwanza!sawa shemeji
eh makubwaa!Sijamaliza bado ngoja nikuswalike kwanza!
1. Mimi ni msomaji na mfuatiliaji mzuri sana wa Lara,, katika story story zake if am not mistaken Kuna sehemu alitoa wasifa wake wa kipaji chake may be because she was born on 8 March, international women day na talents nyingi sana zinazoendana nahizo zako! ( ni katika kutetea point ya kuwa lara wani)
2. Vivo hivo katika story story za lara if am not mistaken husema Sisi wachagga, mchaga sitakagi ujingaa kabisaaa nawewe ni mchagga haya naendelea
3 hio sifa ya upole kwa kukuangalia tu aaaaaaaaaaaaaaaaaaa hata hapo kwenye avatar unaonekana kabisa mlokole tena mama mchungajiiii mke mwema alieshushwaa toka mbinguniiii tehteh on the other side yoooomawee sifa kama za KLM ( kidding)
4 hio talent ya kuandikia story your friends colleagues koh koh koh wacha nimalizie kusoma
Cc Smart911
shem wa kuryaaa umeona vitu baba kubwaaaaNimeahafika mke wangu
Nilivyosoma comment zake nahis bado ni mtoto mbichi kabisa...30s iv kwa kumpendeleaAcha utani ujue mimi nilishawek mitego ya kumng'oa tunakatishana tamaa bwana