Story: Kutega(Seduction)

Story: Kutega(Seduction)

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
18,204
Reaction score
17,560
SEHEMU A - KABAMBWA



Sherehe ya chakula cha jioni .....kivazi chake kiliukuwa Mask ya uso kwa wote wanaume na wanawake,

Mrembo Bella Bunny alionekana amependeza kuliko wote, moyoni alikuwa mpweke ingawa hakuonyesha usoni

Akawa anashangaa shangaa watu waliokuwepo kwenye sherehe ile, kila mtu yupo na mpenzi wake na yeye yupo pekeyake, akazidi kuboreka zaidi akaamua kuwachora wanavyoongea, wanavyofurahi, wanavyopendana huku akimsubiria aliyemualika ambaye alikuwa buzy na mambo ya sherehe

Kwa jinsi Bella alivyokuwa anawaona wageni waalikwa wenzake, wengine wanaonekana wanapendana kwaku show off, wametoka nyumbani kimenuka

Wengine wanaonekana wamevurugana makwao basi tu wapo pale wanaongea kuficha madhambi yao

Wapenzi wengine wanaonekana wanapendana kweli kweli mpaka akawa anawaonea wivu

Wapenzi wengine ni wazee wameshachoka, wamekuja kwa heshima ya waliowaalika, lakini wanatamani chakula kiishe wakalale

Wazee wengine walikuwa wanasinzia, wakashtushwa na mtu aliyecheka kwa nguvu ktk sherehe

Bella Bunny akiwa katika mshangao wa hapa na pale, akajilaumu kuja mwenyewe, bora angemchukua hata shoga yake mmoja waje wazuge
Maana sherehe haina show anayoitaka hata kidogo lakini kwa kuwa aliombwa sana aje akaamua kuitikia wito

Mtu aliyemwalika alikuwa side man wa Bella Bunny, walikutana Shoprite Supermarket Mlimani city, MR. PIT!

Mr. Pit, alikuwa handsome kweli kweli, tangu alipomwona Bella Bunny alimpenda ghafla, akaamua kumfukuzia kwa muda wa miezi 5 bila mafanikio, ulipofika mwezi wa 6, Bella Bunny akaamua kupangusa bega kama kupangusa uchafu fulani, na hivi ilikuwa mwisho wa mwaka akakubali mwaliko wa sherehe ya ofisini kwa Mr. Pit!

Mr Pit alijaribu sana kumwomba Bella Bunny, awe mpenzi wake, akamweleza ukweli kuwa ameoa na ana mke anayeishi Africa Kusini, lakini hawana watoto, hapa Tz anaishi mwenyewe amekuja kikazi ila yeye sio Mtz ni Mwafrika Kusini

Mr Pit: ndoa yangu haipo vizuri mwaka wa 3 sasa, kabla mke wangu hajawa mke nilitembea nae kwa hasira maana girlfriend wangu aliolewa na best friend wangu, kuja kushtuka naitwa kanisani kushuhudia kufika nakuta ndoa ishafungwa nilichoka sana sana. Nikaamua kwenda bar kunywa na kunywa na kunywa kupunguza maumivu, wakati nakunywa Kakaja kademu nikatembea nacho hata sikajua

Ile nimetembea nae siku 1 eti ameshakuwa mjamzito, na mimi nikaona isiwe shida nikaamua kumuoa lakini sio kwamba nampenda hapana nilimhurumia ile mimba, tumekaa baada ya miezi 9 mtoto akazaliwa akakaa baada ya masaa 5 akafa.

Basi tukazika mpaka leo mwaka wa 3 mke wangu hajawahi kupata mtoto na madaktar wameshatuangalia wamegundua ile mimba ilimharibu kizazi maana alikuwa na fibroid zikawa zinakua na mimba zikamla wakabidi waondoe kizazi so huwa tupo tu kama watu tusiojuana, hatukuwahi kufunga ndoa, tulichukuana tu tukawekana ndani! si unajua ukishakaa ndani na mwanamke zaidi ya mwaka anakuwa ni mke?kwahiyo kimila na kisheria ni mke ila hatujawahi kufunga ndoa kabisaa!

Hapa nina mwaka sijamjua mke wangu mara atembee na bf wake wa zamani akidhani mimi sijui, baadae nikaacha kumfuatilia, kila mtu akawa anafanya mambo yake na mimi yangu

Bella Bunny: akamsikiliza tu maana alishachoshwa na fujo za Mr Pit na hivi anachokiongea hakiendani na maneno hayajumlishiki, akaamua kumwangalia kama mahindi ya kuchoma tu! Waume za watu kudanganya wanaongoza, wewe umeona wapi mume akaishi na mkewe nyumba moja alafu usilale nae, Wa-South walivyo wahuni hapa kwangu naona anatwanga maji kwenye kinu, cha kufanya sana sana nitamtumia kunipooza genye zangu basi, sina shida na hela zake kabisaa!


Baada ya maongezi marefu wakaamua kuwa marafiki wa mbali, Mr Pit kila siku anajiongeza kwa kumtoa out Bella kwenye ma hotel makubwa makubwa Dar, Mwanza, Zanzibar, Bagamoyo, Arusha, kila sehemu, lakini Bella kamkazia hampi mautamu wala nini na Mr Pit sijui ndio kujifanya gentlemen akawa haulizii wala halazimishi apewe mautam ya Bella

Siku ya sherehe ya ofisi bella Bunny alipendeza sana, ilikuwa vigumu kutomtambua
Alivaa gauni refu rangi ya Kijani Kibichi cheusi lina waka waka kwa mbali, mpasuo mpaka kwenye paja, na viatu virefu (6inch hills)

Bella Bunny kwa mwonekano amekata nywele, nywele zake ni natural ameweka rangi ya purple, mrembo sana na shape kama Vera Sidika wa Kenya kiuno nyigu, mguu wa bia wa kizungu, rangi ya maji ya kunde na baby face, urefu wake wazungu wanasema 5'5 tall alimchanganya sana Mr pit usiku ule

siku ya sherehe Mr Pit kila akitaka kuweka move kwa totoz Bella anashindwa maana alishaji-commit hatomchezea wala kumgusa Bella bunny


Bella Bunny: alishamsoma jinsi gani Mr Pit amekolea kwake na anamtamani vibaya mno
Kwakuwa Mr Pit ni mtu wa maneno yake akaona sio mbaya yeye Bella akianza 1st move kwake.
Najua nitakuwa nimemtenda sana Mungu dhambi lakini huyu mwanaume anaonyesha kunipenda na kunijali, amenigharamikia mahoteli makubwa makubwa, amenifukuzia miezi 6 sasa sijawahi kumpa mautamu wala hajawahi kuniforce, ngoja leo nione jinsi gani nitamtunuku aonje asali ya kiTz, akikaa au akikimbia hainihusu!

walipokuwa wanakula mezani, Bella akaanza kumwangalia Mr. Pit kwa mahaba ambayo yalimchanganya sana Mr.Pit hakuelewa kama Bella Bunny amelewa mvinyo au hajalewa?!

Bella akiwa amejaa magenye! akaamua kufanya move kwa Mr Pit, kumfanya awe comfortable

Akavua kitu chake cha mguu wa kulia akawa anaupandisha kutoka kwenye pindo la suruali ya Mr. Pit kwa ndani taratiiiibu huku anaushusha, ikawa kama kama mchezo kwa Bella Bunny ila Mr. Pit kesha genyeka!
mwisho akaamua kuupandisha mguu wake mpaka kwenye boxer panapokaa dyu dyu.

Mr Pit akanogewa kwa mautamu yale, Bella Bunny akawa anamkonyeza, anamwangalia kwa kumrembulia huku anatabasamu, wageni wenzao wapo buzy na kuongea na mastori na kula msosi, Bella na Pit wapo buzy nakutegana, wamezama kwenye ulimwengu wao wenyewe, saa hio chakula hakikuwa cha maana kwao,

Bella Bunny akaamua kujisogea sehemu ya juu ya nguo yake iliyo kifuani iwe wazi zaidi ya mwanzo, Mr Pit macho yanamtokaaa haelewi hii ya leo ni ndoto ama kweli, Mr. Pit hapo ameshakolea, dyu dyu imeamka

Bella Bunny
Akainuka kimahabaaa na kuondoka huku anageuka na kumkonyeza Mr Pit ishara ya kumwita

Bila kupoteza neema ile Mr Pit akainuka huku anajificha ficha asionekane amesimamisha kwa kuweka mikono kwenye suruali, si unazijua zile za wanaume wanavyojikaushaga machine ikisimama?! Hehe

Bella akaenda kujibanza kwenye kona ya choo cha kike na kiume Mr Pit alipokuja akamkuta Bella Bunny Amejibinua kama mdoli wa kwenye katuni za magazeti ya Sani unaweza ukadata kwa pozi lile

Mr Pit akamshika Bella Bunny nyuma ya kiuno huku anamchumu mgongo ambao ulikuwa wazi
Busu busu na wewe Bella akaona isiwe shida tutaishia kumalizana hapa hapa, akapiga mahesabu ya haraka aingie choo kipi cha kike au cha kiume

Akamvuta Mr Pit kwa tai aliovaa kuelekea choo cha kiume maana wanaume hawaendi endi chooni kama wanawake

Mr Pit keshakolea akili hamna inawaza mautam tu hata akipelekwa kuzimu sawa tu ilimradi show iendelee isikatike!

Bella Bunny akaenda kujisimamisha kwenye sinki nje ya choo akawa anakatika Mr Pit anaona maluwe luwe na manyota nyota akamdandia bella bunny kwa nyuma uzalendo ukamshinda Mr Pit akatoa gobole lake gademit, msouth ana mashine balaaa
Akamgeuza Bella Bunny kwa mbeleee huku anakamua boobies kumlainisha

Bella akawa anazipokea raha za msouth, masudu shingoni mara kwenye kitovu utamu kolea

Mr Pit akaamua kumbeba juu juu Bella Bunny mpaka kwenye gari yake, akalaza seat ya nyuma na kumlaza Bella bunny ambae alikuwa amekolea mbaya anaona anachelewa, Mr Pit akazama baharini n kuisaka chumvi
Gari imelokiwa na A/c inawaka, mziki mnene kwenye gari!
Shikamoo parking lot za watu!

Mr Pit alimshuhulikia kisawa sawa Bella Bunny maana sio kwa kumdatisha na kumsubiria kule miezi 6 demu hapatikani, kwenye ndoto karibu kila siku anazini nae mpaka kuja kupewa mzigo mwe Bella alijuta kumtunuku!

Mlinzi kuja anaona gari linanesa nesa na makelele kwa mbali akaamua kuondoka

Goal la 1 likafungwa na Mr Pit mpenz msomaji mpaka sasa goal la kwanza limechukuliwa na watu wa bondeni

Bella Bunny akaona isiwe shida, lazima arudishe mashambulizi ila uwanja haumtoshi
Akaomba mechi ihamie hotelini, wakachukua chumba hapo hapo kwenye sherehe room no 9

Bella Bunny bado mbishi anataka kulipiza kisasi, akakamatia gololi za Mr pit kuamsha genye lake
Mr Pit kakolea analia kizulu eeee ooo oh aaaaah weeeenaaa shooooo mamaaa mpaka maneno yameisha

Bella akahamia kwenye kuimba nyimbo za uswahili, mwanaume machine, oooh mwanaume machine! huku Mr Pit anashangilia mkuu hooo hooo heee haaaa yeeees yeeees nooo nooo good goooo goooo aleeeee aleeee aleeeeee

Bella akamfunga Mr Pit magoli 2, kombe likarudi nyumbani kwetu Tanzania

KUENDELEA NA UHONDO WA HADITHI HII BONYEZA HAPA KUTEGA ~ 1 – Money Star Stories

 
hii story kama mziki umeanzia bas kwenye high pitch, Acha niishie njian ntasoma usiku.

Ila natafuta mtu wa kusoma nae kwa pamoja
 
kwa aliyesoma hii stori yote naomba anielezee hata kidogo mana ni ndefu mnooo
 
SEHEMU A - KABAMBWA



Sherehe ya chakula cha jioni .....kivazi chake kiliukuwa Mask ya uso kwa wote wanaume na wanawake,

Mrembo Bella Bunny alionekana amependeza kuliko wote, moyoni alikuwa mpweke ingawa hakuonyesha usoni

Akawa anashangaa shangaa watu waliokuwepo kwenye sherehe ile, kila mtu yupo na mpenzi wake na yeye yupo pekeyake, akazidi kuboreka zaidi akaamua kuwachora wanavyoongea, wanavyofurahi, wanavyopendana huku akimsubiria aliyemualika ambaye alikuwa buzy na mambo ya sherehe

Kwa jinsi Bella alivyokuwa anawaona wageni waalikwa wenzake, wengine wanaonekana wanapendana kwaku show off, wametoka nyumbani kimenuka

Wengine wanaonekana wamevurugana makwao basi tu wapo pale wanaongea kuficha madhambi yao

Wapenzi wengine wanaonekana wanapendana kweli kweli mpaka akawa anawaonea wivu

Wapenzi wengine ni wazee wameshachoka, wamekuja kwa heshima ya waliowaalika, lakini wanatamani chakula kiishe wakalale

Wazee wengine walikuwa wanasinzia, wakashtushwa na mtu aliyecheka kwa nguvu ktk sherehe

Bella Bunny akiwa katika mshangao wa hapa na pale, akajilaumu kuja mwenyewe, bora angemchukua hata shoga yake mmoja waje wazuge
Maana sherehe haina show anayoitaka hata kidogo lakini kwa kuwa aliombwa sana aje akaamua kuitikia wito

Mtu aliyemwalika alikuwa side man wa Bella Bunny, walikutana Shoprite Supermarket Mlimani city, MR. PIT!

Mr. Pit, alikuwa handsome kweli kweli, tangu alipomwona Bella Bunny alimpenda ghafla, akaamua kumfukuzia kwa muda wa miezi 5 bila mafanikio, ulipofika mwezi wa 6, Bella Bunny akaamua kupangusa bega kama kupangusa uchafu fulani, na hivi ilikuwa mwisho wa mwaka akakubali mwaliko wa sherehe ya ofisini kwa Mr. Pit!

Mr Pit alijaribu sana kumwomba Bella Bunny, awe mpenzi wake, akamweleza ukweli kuwa ameoa na ana mke anayeishi Africa Kusini, lakini hawana watoto, hapa Tz anaishi mwenyewe amekuja kikazi ila yeye sio Mtz ni Mwafrika Kusini

Mr Pit: ndoa yangu haipo vizuri mwaka wa 3 sasa, kabla mke wangu hajawa mke nilitembea nae kwa hasira maana girlfriend wangu aliolewa na best friend wangu, kuja kushtuka naitwa kanisani kushuhudia kufika nakuta ndoa ishafungwa nilichoka sana sana. Nikaamua kwenda bar kunywa na kunywa na kunywa kupunguza maumivu, wakati nakunywa Kakaja kademu nikatembea nacho hata sikajua

Ile nimetembea nae siku 1 eti ameshakuwa mjamzito, na mimi nikaona isiwe shida nikaamua kumuoa lakini sio kwamba nampenda hapana nilimhurumia ile mimba, tumekaa baada ya miezi 9 mtoto akazaliwa akakaa baada ya masaa 5 akafa.

Basi tukazika mpaka leo mwaka wa 3 mke wangu hajawahi kupata mtoto na madaktar wameshatuangalia wamegundua ile mimba ilimharibu kizazi maana alikuwa na fibroid zikawa zinakua na mimba zikamla wakabidi waondoe kizazi so huwa tupo tu kama watu tusiojuana, hatukuwahi kufunga ndoa, tulichukuana tu tukawekana ndani! si unajua ukishakaa ndani na mwanamke zaidi ya mwaka anakuwa ni mke?kwahiyo kimila na kisheria ni mke ila hatujawahi kufunga ndoa kabisaa!

Hapa nina mwaka sijamjua mke wangu mara atembee na bf wake wa zamani akidhani mimi sijui, baadae nikaacha kumfuatilia, kila mtu akawa anafanya mambo yake na mimi yangu

Bella Bunny: akamsikiliza tu maana alishachoshwa na fujo za Mr Pit na hivi anachokiongea hakiendani na maneno hayajumlishiki, akaamua kumwangalia kama mahindi ya kuchoma tu! Waume za watu kudanganya wanaongoza, wewe umeona wapi mume akaishi na mkewe nyumba moja alafu usilale nae, Wa-South walivyo wahuni hapa kwangu naona anatwanga maji kwenye kinu, cha kufanya sana sana nitamtumia kunipooza genye zangu basi, sina shida na hela zake kabisaa!


Baada ya maongezi marefu wakaamua kuwa marafiki wa mbali, Mr Pit kila siku anajiongeza kwa kumtoa out Bella kwenye ma hotel makubwa makubwa Dar, Mwanza, Zanzibar, Bagamoyo, Arusha, kila sehemu, lakini Bella kamkazia hampi mautamu wala nini na Mr Pit sijui ndio kujifanya gentlemen akawa haulizii wala halazimishi apewe mautam ya Bella

Siku ya sherehe ya ofisi bella Bunny alipendeza sana, ilikuwa vigumu kutomtambua
Alivaa gauni refu rangi ya Kijani Kibichi cheusi lina waka waka kwa mbali, mpasuo mpaka kwenye paja, na viatu virefu (6inch hills)

Bella Bunny kwa mwonekano amekata nywele, nywele zake ni natural ameweka rangi ya purple, mrembo sana na shape kama Vera Sidika wa Kenya kiuno nyigu, mguu wa bia wa kizungu, rangi ya maji ya kunde na baby face, urefu wake wazungu wanasema 5'5 tall alimchanganya sana Mr pit usiku ule

siku ya sherehe Mr Pit kila akitaka kuweka move kwa totoz Bella anashindwa maana alishaji-commit hatomchezea wala kumgusa Bella bunny


Bella Bunny: alishamsoma jinsi gani Mr Pit amekolea kwake na anamtamani vibaya mno
Kwakuwa Mr Pit ni mtu wa maneno yake akaona sio mbaya yeye Bella akianza 1st move kwake.
Najua nitakuwa nimemtenda sana Mungu dhambi lakini huyu mwanaume anaonyesha kunipenda na kunijali, amenigharamikia mahoteli makubwa makubwa, amenifukuzia miezi 6 sasa sijawahi kumpa mautamu wala hajawahi kuniforce, ngoja leo nione jinsi gani nitamtunuku aonje asali ya kiTz, akikaa au akikimbia hainihusu!

walipokuwa wanakula mezani, Bella akaanza kumwangalia Mr. Pit kwa mahaba ambayo yalimchanganya sana Mr.Pit hakuelewa kama Bella Bunny amelewa mvinyo au hajalewa?!

Bella akiwa amejaa magenye! akaamua kufanya move kwa Mr Pit, kumfanya awe comfortable

Akavua kitu chake cha mguu wa kulia akawa anaupandisha kutoka kwenye pindo la suruali ya Mr. Pit kwa ndani taratiiiibu huku anaushusha, ikawa kama kama mchezo kwa Bella Bunny ila Mr. Pit kesha genyeka!
mwisho akaamua kuupandisha mguu wake mpaka kwenye boxer panapokaa dyu dyu.

Mr Pit akanogewa kwa mautamu yale, Bella Bunny akawa anamkonyeza, anamwangalia kwa kumrembulia huku anatabasamu, wageni wenzao wapo buzy na kuongea na mastori na kula msosi, Bella na Pit wapo buzy nakutegana, wamezama kwenye ulimwengu wao wenyewe, saa hio chakula hakikuwa cha maana kwao,

Bella Bunny akaamua kujisogea sehemu ya juu ya nguo yake iliyo kifuani iwe wazi zaidi ya mwanzo, Mr Pit macho yanamtokaaa haelewi hii ya leo ni ndoto ama kweli, Mr. Pit hapo ameshakolea, dyu dyu imeamka

Bella Bunny
Akainuka kimahabaaa na kuondoka huku anageuka na kumkonyeza Mr Pit ishara ya kumwita

Bila kupoteza neema ile Mr Pit akainuka huku anajificha ficha asionekane amesimamisha kwa kuweka mikono kwenye suruali, si unazijua zile za wanaume wanavyojikaushaga machine ikisimama?! Hehe

Bella akaenda kujibanza kwenye kona ya choo cha kike na kiume Mr Pit alipokuja akamkuta Bella Bunny Amejibinua kama mdoli wa kwenye katuni za magazeti ya Sani unaweza ukadata kwa pozi lile

Mr Pit akamshika Bella Bunny nyuma ya kiuno huku anamchumu mgongo ambao ulikuwa wazi
Busu busu na wewe Bella akaona isiwe shida tutaishia kumalizana hapa hapa, akapiga mahesabu ya haraka aingie choo kipi cha kike au cha kiume

Akamvuta Mr Pit kwa tai aliovaa kuelekea choo cha kiume maana wanaume hawaendi endi chooni kama wanawake

Mr Pit keshakolea akili hamna inawaza mautam tu hata akipelekwa kuzimu sawa tu ilimradi show iendelee isikatike!

Bella Bunny akaenda kujisimamisha kwenye sinki nje ya choo akawa anakatika Mr Pit anaona maluwe luwe na manyota nyota akamdandia bella bunny kwa nyuma uzalendo ukamshinda Mr Pit akatoa gobole lake gademit, msouth ana mashine balaaa
Akamgeuza Bella Bunny kwa mbeleee huku anakamua boobies kumlainisha

Bella akawa anazipokea raha za msouth, masudu shingoni mara kwenye kitovu utamu kolea

Mr Pit akaamua kumbeba juu juu Bella Bunny mpaka kwenye gari yake, akalaza seat ya nyuma na kumlaza Bella bunny ambae alikuwa amekolea mbaya anaona anachelewa, Mr Pit akazama baharini n kuisaka chumvi
Gari imelokiwa na A/c inawaka, mziki mnene kwenye gari!
Shikamoo parking lot za watu!

Mr Pit alimshuhulikia kisawa sawa Bella Bunny maana sio kwa kumdatisha na kumsubiria kule miezi 6 demu hapatikani, kwenye ndoto karibu kila siku anazini nae mpaka kuja kupewa mzigo mwe Bella alijuta kumtunuku!

Mlinzi kuja anaona gari linanesa nesa na makelele kwa mbali akaamua kuondoka

Goal la 1 likafungwa na Mr Pit mpenz msomaji mpaka sasa goal la kwanza limechukuliwa na watu wa bondeni

Bella Bunny akaona isiwe shida, lazima arudishe mashambulizi ila uwanja haumtoshi
Akaomba mechi ihamie hotelini, wakachukua chumba hapo hapo kwenye sherehe room no 9

Bella Bunny bado mbishi anataka kulipiza kisasi, akakamatia gololi za Mr pit kuamsha genye lake
Mr Pit kakolea analia kizulu eeee ooo oh aaaaah weeeenaaa shooooo mamaaa mpaka maneno yameisha

Bella akahamia kwenye kuimba nyimbo za uswahili, mwanaume machine, oooh mwanaume machine! huku Mr Pit anashangilia mkuu hooo hooo heee haaaa yeeees yeeees nooo nooo good goooo goooo aleeeee aleeee aleeeeee

Bella akamfunga Mr Pit magoli 2, kombe likarudi nyumbani kwetu Tanzania



Du Dada unatumua nguvu sana na hadith zako usipotoka basi tena kalime mihogo mana kwa sasa solo lake kubwa China, link kila Uzi unaweka, wenzako tunawafuata watsap wenyewe na tunalipia ila hawatumii nguvu kama wewe
 
Du Dada unatumua nguvu sana na hadith zako usipotoka basi tena kalime mihogo mana kwa sasa solo lake kubwa China, link kila Uzi unaweka, wenzako tunawafuata watsap wenyewe na tunalipia ila hawatumii nguvu kama wewe
mama Google yako unayoitumia inanilipa dola 5000 kwa wiki sasa

sina haraka na pesa za madafu,.... kaa nazo wewe tu
 
mama Google yako unayoitumia inanilipa dola 5000 kwa wiki sasa

sina haraka na pesa za madafu,.... kaa nazo wewe tu
Subutu, wanaopata dola 5000 sio kwa week hats kwa mwez hawaongei, hivyo kazana sana utazipata, kila kitu kina anza na ndoto
 
Subutu, wanaopata dola 5000 sio kwa week hats kwa mwez hawaongei, hivyo kazana sana utazipata, kila kitu kina anza na ndoto
mama sina haja ya kukuprovia

ongea na owner wa JF uone unamwingiza bei gani kwa kuchat chat tu

alafu uje kwa website yangu uone

utabakia ivyo ivyo tumia akili kuingiza pesa sio maneno

uje na huku

1. STORY: KUTEGA - SEDUCTION

2. Story: Bora Mchaga Mwizi Kuliko Mpare Bahili....

3. Story: Fumanizi la ukubwani

4. Stori: Jinsi ya Kumtongoza Mwanamke

5. SWALI: JE NI KWELI SIZE YA SEHEMU ZA SIRI INAPIMWA MDOMONI?
 
Back
Top Bottom