Story behind your date of birth

Story behind your date of birth

Duh hii ramli ina kaaukweli Fulani ila kwa jina la yesu naikataa nakuvunja nguvu zote juu yangu
 
Mzizi mkavu,nimezaliwa te rehe 25-2-1979 mwanaume haya chimba.nijijue kabisa
 
Last edited by a moderator:
Mzizi mkavu,nimezaliwa te rehe 25-2-1979 mwanaume haya chimba.nijijue kabisa
 
Last edited by a moderator:
Pole kwako wewe usiyeijua thamani ya Yesu na ukuu wake

Unaweza ukawa unajiuliza kwanini naongelea kubadil wakat uliopita!mtalamu hapo amekupa tabia zako ulizokua unafanya wakati uliopita na unaona kabisa hajakosea ila bado unakemea kwa jina la yesu.unataka bluu iwe kijan.huwez kubadili wakati uliopita hata ukimwita yesu.
 
Najua ukuu wake lakini sijawahi kusikia akibadili wakati uliopita.kama una uthibitisho naomba utoe nami nikiri ukuu wake


Duh! Walau sasa namshukuru Mungu nimeelewa kumbe hujui wala hujaelewa nachokipinga ungekuwa mtu mwerevu ungeniuliza mezaliwa trh ngapi na hayo yalionenwa kwangu yanahusu maisha yangu yalopita au hadi yajayo?? Bro usiwe unakurupuka kupinga usiyoyajua unajishushia heshima.
 
Duh! Walau sasa namshukuru Mungu nimeelewa kumbe hujui wala hujaelewa nachokipinga ungekuwa mtu mwerevu ungeniuliza mezaliwa trh ngapi na hayo yalionenwa kwangu yanahusu maisha yangu yalopita au hadi yajayo?? Bro usiwe unakurupuka kupinga usiyoyajua unajishushia heshima.

Nadhani hujaelewa nilichoandika,mi nimeongelea wakati uliopita na kama yesu anaweza kubadili wakati uliopita sijaongelea wakati ujao
 
Nadhani hujaelewa nilichoandika,mi nimeongelea wakati uliopita na kama yesu anaweza kubadili wakati uliopita sijaongelea wakati ujao

ok nimeshakuelewa unaudhaifu wa kutokubali ukweli pale unapokuwa umekosea badilika kila binadamu ana mapungufu yake hivyo kukosea kwa namna yoyote si jambo jipya.

Moja ya maneno yaliyonenwa na ambayo namuomba Mungu yasiwe kweli ni kwamba naweza kumpoteza mzazi mmoja na majukumu yatabaki kwangu sasa mimi nipo shuleni na nina wazazi wote wawili hadi sasa hivi. Je si vyema nimwombe Mungu aiepushe familia yangu na majonzi hayo yasinifike??? Je mi nitakuwa sina akili timamu hadi niombee mambo ya wakati uliopita?

Badilika kuanzia sasa acha kutafuta vijisababu ili tu unikosoe just be positive
 
Back
Top Bottom