Stori: Uko wapi rafiki? Kuna cha kujifunza hapa?

Stori: Uko wapi rafiki? Kuna cha kujifunza hapa?

aaaaaahhh jameni,mi nilijua ndio part ya mwisho.......nahisi mlikuja kuwa wapenzi
 
jaaamaaniij yaani unaniachia nusuuu..ni km nimeandaliwaaaa hlf nkaachwa bila tiba..uuwwiii..
 
nilishasema hii muvi nouma, ila jamaa sijui katuona sie mazombi, yani anakatakata, sinunui tena part 6. halafu eti wadau strike back no 4 imeshatoka?
 
nilishasema hii muvi nouma, ila jamaa sijui katuona sie mazombi, yani anakatakata, sinunui tena part 6. halafu eti wadau strike back no 4 imeshatoka?

Kijana usijali, tutafika tuu!
 
jaaamaaniij yaani unaniachia nusuuu..ni km nimeandaliwaaaa hlf nkaachwa bila tiba..uuwwiii..

Nisamehe mimi, lakini si hata kuandaliwa pia ni raha, hata kama mwisho wa mapishi hukuuona! aaah, aaah, aaah!
 
nilishasema hii muvi nouma, ila jamaa sijui katuona sie mazombi, yani anakatakata, sinunui tena part 6. halafu eti wadau strike back no 4 imeshatoka?

Hapana, sijawaona Mazombi! Si unajua Mkuu, kule EPL sasa ni dirisha kubwa!
 
Watu8 bado mimi mwenyewe slim5 ndiye ninaesimuli, hajatokea mwingine wa ku-hack!

Haya mkuu hebu fanya mambo, nishafika kijiweni hapa na jamaa wanataka niendelee kuwasimulia stori
 
Back
Top Bottom