Fimbo ya Musa
Member
- Jul 21, 2012
- 94
- 13
Habari za jioni, jamani kwa mwenye uelewa naomba anisaidie. Nilitaka kukopa bayport na process karibia zote nikawa nimekamilisha. Wakala wa baypot akaniambia ameshatuma document zangu makao makuu ila wamemwambia atume bank statement zangu ili waendelee na process ya mkopo. Sasa napenda kujua kuwa kama nisipopeleka hiyo bank statement watanikata? Kwasababu shida yangu imeisha hivyo sina haja ya mkopo tena! Naomba mwenye uelewa anisaidie.