STJ 974 Iko cocobeach imeleta wanakwaya kurekodi video

STJ 974 Iko cocobeach imeleta wanakwaya kurekodi video

Sioni ubaya wake, ila pia yawezekana limeshauzwa jamaa hawajabadili namba, nishaendesha Cruiser ya Serikali for 1 year na number Yao mpaka majembe walipozidi Sumbua nikalipa kodi Basi.

serikali kweli DHAIFU
 
kwa hili lazima afande kova ataita waandishi.......hata hivyo najua hizi ni porojo tuu toka kwa mtoa mada.
 
Mimi ssidhani kama kuna kosa kuazima gari la selikali,kwani wanakwaya sio wananchi? matumizi mabaya ni kama kwenda kwenye ulevi umalaya nk,lakini kuwezesha wananchi kunadhambi gani hapo.
Una akili sana wewe
 
Matumizi sahihi ingekuwa uikute kilabuni, guest na mabwepande??????????????????
 
Matumizi sahihi ingekuwa uikute kilabuni, guest na mabwepande??????????????????

kuna tofauti kati ya kuikuta klabu na kuikuta coco imebeba kwaya? thinking outside the box!
 
gari za serikali zina beba wana kwaya kwenda ku shoot video ...! ... haijatulia hiii! bora uswe umeongea weye! ningesema mimi ningeambiwa mdini as usual
 
gari za serikali zina beba wana kwaya kwenda ku shoot video ...! ... haijatulia hiii! bora uswe umeongea weye! ningesema mimi ningeambiwa mdini as usual

Objectivity
, wanaowaza udini kila wakati wanakosa hii kitu
 
THose are some salient features of the Selikali legelege
 
Hiyo namba yaweza kuwa feki. Itanoga iwapo utakuta nalo kesho limebeba watu wanaokwenda kwenye maulidi ya Mtume. Nchi ya sanaa ndivyo ilivyo. Mleta hoja aweza kuwa kaona au kafanya sanaa au alichoona kikawa sanaa kama siyo sanaa kweli kweli.
 
Are we sure hiyo ni kwaya ya kanisani?

100% sure! nilikuwepo eneo la tukio, nimeshuhudia tukio zima, watu wengi tu walikua wakitizama recording ilivokua inaendelea

 
Kuna kila sababu wahusika kutueleza inakuwaje gari ya serikali kupeleka watu kurekodi kwaya, naamini hii haija kaa sawa
 
Kuna kila sababu wahusika kutueleza inakuwaje gari ya serikali kupeleka watu kurekodi kwaya, naamini hii haija kaa sawa


haiko sawa hata kidogo, tukumbushane ile gari ilikua na plate number STJ 974
 
Gari ya serikali, Defender yenye usajili STJ 974 iko cocobeach imeleta wanakwaya ku-shoot video, imewaleta imewasubiri wamefanya shooting na sasa ninapoandika hii wanapakia mizigo yao kwenye gari tayar kwa safari ya kuondoka.

Haya ni matumizi sahihi ya haya magari?


hizi picha nilipiga kwa simu, na sikusogea karibu sana bse nilijua itaniletea dhurumai, lakini mnaweza kuona


View attachment 59430View attachment 59431View attachment 59432
Tumeziona nyingi tu kama hizo zinabeba majani ya ng'ombe, kufuata mkaa porini na kupeleka house girls sokoni, ninapoona nakumbuka makato ya kodi ktk salary yangu kila mwisho wa mwezi.
 
inatekeleza dhana ya ulinzi shirikishi
 
Back
Top Bottom