jamani habari zenu wanajamii,
Hivi jamani hizi stika za fire ni kwa ajili ya usalama wa magari au ni biashara?mbona magari ya serikali hayana stika na hayakaguliwi.Haya hayawezi kuungua moto?
Pilli,wiki ya nenda kwa usalama mbona magari ya serikali hayana stika? lakini gari binafsi unaambiwa uweke stika za
Bima,fire,road license,wiki ya nenda kwa usalama.
Hivi jamani hizi stika za fire ni kwa ajili ya usalama wa magari au ni biashara?mbona magari ya serikali hayana stika na hayakaguliwi.Haya hayawezi kuungua moto?
Pilli,wiki ya nenda kwa usalama mbona magari ya serikali hayana stika? lakini gari binafsi unaambiwa uweke stika za
Bima,fire,road license,wiki ya nenda kwa usalama.