Stiegler’s Gorge hydroelectric power plant said to affect World Heritage site hetitage

serikali ilifanyie kazi suala ili ; mambo ya mazingira tuna miaka 56 uhuru wenzetu miaka 890 -560.
serikali itengeneze jopo kama la makinikia.
 
UNESCO Watuache tuzalishe Umeme, Kama hawataki basi watupe wao kwa gharama zao source nyingine ya umeme
wewe sisi siyo kama Korea ya Kaskazini- wakiwa na shida tu wamagusa vinu vya nuklia na dunia inawasikiliza
 
Issue siyo Selous
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Waziri wa Maji, Umwagiliaji na Umeme wa Ethiopia Dkt. Seleshi Bekele na ujumbe kutoka kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo iliyopo nchini kusaidia mchakato wa ujenzi wa Dam (bwawa la kuzalisha umeme) la Steigler’s Gorge Ikulu jijini Dar es salaam

JOHANNESBURG – The United Nations has called it one of Africa's biggest remaining wilderness areas. Now a dispute over a planned hydropower dam in Tanzania's Selous wildlife reserve pits the country's president against conservationists who say the project could cause irreparable damage to the UNESCO World Heritage site.

On Tuesday, a few days after President John Magufuli said the Stiegler's Gorge dam will be built "come rain, come sun," the WWF conservation group said in a report that the project threatens an important wetland as well as the livelihoods of more than 200,000 people in impoverished areas, reliant on fishing, that would be downstream.

The Selous, which covers nearly 50,000 square kilometers (19,300 square miles), has been under pressure from poachers who have decimated its elephant population to supply the illegal ivory market. Mining concessions and other industrial projects are also a concern as the East African nation's campaign to boost its economy conflicts with international efforts to preserve habitats and their wildlife.

Speaking Saturday in Dar es Salaam, Magufuli said the dam and resulting reservoir will cover only about 3 percent of the Selous.

"We are not going to listen to people who speak about impacts on environment without facts on the ground," Magufuli said, according to Tanzania's Daily News newspaper.

However, conservationists say the project could have a negative impact on a much bigger area, for example by cutting off wildlife migration routes. The WWF has asked for an environmental assessment in line with Tanzanian law and wants the government to consider alternative ideas for generating power.

The plan at Stiegler's Gorge has been discussed for decades. Once completed, the project would increase Tanzania's power generation from 1,450 megawatts to at least 4,000 megawatts, according to the Daily News.

___
issue pale au hapa ni Climate and the whole ecosystem ya nchi. Abhishek vyote lakini hata Mother Nature....????
 
Hawa wazungu ni wapuuzi, bado wanaendelea na mawazo yao ya kikoloni. Wanasema wananchi 200,000 wataathirika, je wao wana uchungu na watanzania kuliko sisi? Mbona hawasemi wananchi watakaonufaika tulinganishe na watakaoathirika. Ukitaka maendeleo lazima uwe mkali, Trump kawagomea Climate change. Sasa ije zamu ya wale wanaokataza tusitumie ziwa viktoria. Uzuri raisi wetu hana hata mpango wa kwenda kwa wazungu so hawatupati kokote. Tunajenga misingi ya kujitegemea hapo baadaye, lazima waumie
 
Nipo pamoja mheshimiwa rais come rain,come sun ila lazima tujenge

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Hapa naungana na Uncle Magu, wasitupangie. Wanyama wanajua kuendana na mazingira. Bwawa likijengwa watajua namna ya kuishi nalo tu.
 
UN agencies , world Bank na IMF ni wahuni na wanafanya mambo kama Obama alivyomuua Gaddafi.

Wazungu koko, nao si wapande misitu na watengeneze wanyanma kwenye laboratory zao huko wafuge kwenye miji yao. Wao walikata miti wakajenga vitu kama hivyo halafu leo wanatuwekea uzibe akili zao ni mioyo yao ni unafiki umewajaa. Wana ngozi nyeupe ila roho zao nyeusi kama oil chafu ya kujengea barabara ya lami.

Mifano, pale Ethiopia walikataa kuwapa hela Ethiopia ndipo Ethiopia ikatumia fedha zao zote za reserve kujenga, leo hii Ethiopia haitegemei tena umeme kutoka kwa wazungu koko. Hivyo , roho inawauma kuona Ethiopia iko huru kwenye swala la umeme ndiyo maana hawataki kabisa nasi tujenge HEP project.

Mfano, mwingine ni Kule nchini Gambia walikataa kuwapa serikali ya Gambia mkopo wajenge barabara baadaye, Gambia ikajenga ile barabara kutoka eneo la baharini/bandarini kuingia mjini ao hao wazungu koko wakawa wa kwanza kuitumia na kuomba PPP project kwenye hiyo barabara.

President, Dr. Magufuli, mbunga na misitu ni yetu na sisi ndiyo tunaojua thamani yake, hivyo tujengeee hiyo HEP ili tupate umeme wa kutosha.

Wazungu koko, wanataka tusijenge viwanda ili tuendelee kuwa tegemezi kwao na soko la bidhaa zao.

President, Dr. Magufuli, go, go.

Don't listen to hypocrite whitemen because, they have light skin while inside they have souls and hearts which are dark like soot and smoke from a diesel engine.

Yaani, binafsi wazungu koko hawa wananiboa sana, mfano, USA na Europe wanafiki sana, walimua Gaddafi ivi hivi hiki Kiobama kijaluo kipuuzi Sana sijawahi kuona mjaluo mjinga bali Obama pekee tangia nazaliwe.
 
TANZANIA is one of the countries laying across the Indian Ocean and climatic weather conditions and water availability is the key to this country to develop very fast. But ask yourself why;
1. Tanzania is close to the Congo forest?
2. Tanzania is rated to, still have a lot of fresh water reserve in Africa
3. One of the most attractive countries in the world
4. The most important ecosystem in Tanzania was made and created along the Rufiji river and its catchments
1. Economy is over balancing the other two angles Social equity and environmental sustainability

Enough for now, let's see what is next
thanks.


Avoiding pushing problems ahead of you and don't say that "we will see what's next" remember, at the moment we are catching up with capitalist world by doing whatever they did to us where the results is an extreme poverty despite of the facts you mentioned above.

We are in an economic war. Prof. Yash Tendon wrote a book titled "Trade is War" read this book you will see what is next. While, Babu, wrote The "Economic Liberation"
 
Lakini Mh rais aliona hili na kusema kabisa hataomba hela za mkopo wala msaada maana anajua watamletea mambo ya environmental impact. Na pia tunachukua eneo dogo sana.
Lakini kwa ufahamu tu mdogo, nchi ni yetu, ardhi ni yetu, wanyama ni wetu, maji ni yetu kwanini tupangiwe matumizi??
Tunaamua kutokana na vipau mbele vya nchi sio vya watu wa nje, wao waliwahi kusaidia nini hii nchi?? Wapite hivi....

Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app
 
Lakini Mh rais aliona hili na kusema kabisa hataomba hela za mkopo wala msaada maana anajua watamletea mambo ya environmental impact. Na pia tunachukua eneo dogo sana.
Lakini kwa ufahamu tu mdogo, nchi ni yetu, ardhi ni yetu, wanyama ni wetu, maji ni yetu kwanini tupangiwe matumizi??
Tunaamua kutokana na vipau mbele vya nchi sio vya watu wa nje, wao waliwahi kusaidia nini hii nchi?? Wapite hivi....

Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app


Ndiyo hivyo mkuu,
Wazungu koko ni wanafiki sana wanataka tuendelee kuwa tegemezi kwao.

Rais, Dr. Magufuli, fanya kazi.

Hapa Kazi Tu.
 
Nipo pamoja mheshimiwa rais come rain,come sun ila lazima tujenge

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app

Ndiyo hivyo mkuu .

Lazima tujenge.

Wazungu koko ni wanafiki sana wanataka tuendelee kuwa tegemezi kwao.

I am with my President, Dr. Magufuli.
 
Nipo pamoja mheshimiwa rais come rain,come sun ila lazima tujenge

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app

Mkuu, ndiyo hivyo.

Lazima tujenge hii HEP project kwa ajili ya viwanda na uchumi wetu.

Wazungu koko ni wanafiki sana wanataka tuendelee kuwa tegemezi kwao.

I am with my President, Dr. Magufuli.
 
Avoiding pushing problems ahead of you and don't say that "we will see what's next" remember, at the moment we are catching up with capitalist world by doing whatever they did to us where the results is an extreme poverty despite of the facts you mentioned above.

We are in an economic war. Prof. Yash Tendon wrote a book titled "Trade is War" read this book you will see what is next. While, Babu, wrote The "Economic Liberation"
I do respect your views, and this is your good and wise one but really I'm not sure if I can dispute too much longer, I better end here and bye for now.
 
Mimi ningeachana na mradi usio na tija wa serikali kuhamia Dodoma makao makuu na kuelekeza fedha za mradi huo wa kuhamisha serikali katika mradi huu mkubwa wa umeme Afrika wa Stiegler's Gorge ili umalizike kwa kasi na ndani ya muda mfupi.

Dodoma ibaki kuwa makao ya mhimili wa Bunge na Dar-es-Salaam mhimili wa Serikali. Serikali ya awamu ya tano imebaki kuzindua kukamilika miradi mikubwa iliyofanywa na serikali ya awamu ya tano ya Mh. Jakaya Kikwete.

Ni wakati wa serikali ya awamu ya tano kujikita katika miradi kama huu wa umeme ili ikiondoka iache kitu kinachoonekana na chenye manufaa kwa uchumi wa taifa hili mambo ya kutafuta sifa kuhamia Dodoma watumie ile falsafa ya Mwalimu Nyerere ''Tujisahihishe na kuachana na makosa'' ya kutaka kuhamia Dodoma.
Umesema ingekuwa wewe. Hatuna mpango wa "ninge" wala "tunge" hapa "tuna"......
Afterall we don't have time to waste,to test and to rest.

Who says it's impossible should not interrupt who's doing it.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Waziri wa Maji, Umwagiliaji na Umeme wa Ethiopia Dkt. Seleshi Bekele na ujumbe kutoka kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo iliyopo nchini kusaidia mchakato wa ujenzi wa Dam (bwawa la kuzalisha umeme) la Steigler’s Gorge Ikulu jijini Dar es salaam

JOHANNESBURG – The United Nations has called it one of Africa's biggest remaining wilderness areas. Now a dispute over a planned hydropower dam in Tanzania's Selous wildlife reserve pits the country's president against conservationists who say the project could cause irreparable damage to the UNESCO World Heritage site.

On Tuesday, a few days after President John Magufuli said the Stiegler's Gorge dam will be built "come rain, come sun," the WWF conservation group said in a report that the project threatens an important wetland as well as the livelihoods of more than 200,000 people in impoverished areas, reliant on fishing, that would be downstream.

The Selous, which covers nearly 50,000 square kilometers (19,300 square miles), has been under pressure from poachers who have decimated its elephant population to supply the illegal ivory market. Mining concessions and other industrial projects are also a concern as the East African nation's campaign to boost its economy conflicts with international efforts to preserve habitats and their wildlife.

Speaking Saturday in Dar es Salaam, Magufuli said the dam and resulting reservoir will cover only about 3 percent of the Selous.

"We are not going to listen to people who speak about impacts on environment without facts on the ground," Magufuli said, according to Tanzania's Daily News newspaper.

However, conservationists say the project could have a negative impact on a much bigger area, for example by cutting off wildlife migration routes. The WWF has asked for an environmental assessment in line with Tanzanian law and wants the government to consider alternative ideas for generating power.

The plan at Stiegler's Gorge has been discussed for decades. Once completed, the project would increase Tanzania's power generation from 1,450 megawatts to at least 4,000 megawatts, according to the Daily News.

___


Post sent using JamiiForums mobile app
 
Huu mradi utaleta kelele sana kutoka kwa watu wa mazingira, mbaya zaidi hata baadhi ya NGOs zimeshaanza kuupinga bila hata Kujua athari zipi zitatokea. Inasikitisha. Ambacho hawajui ni kwamba Environmental Impact Assessment itafanyika na itaonyesha athari gani zinaweza jitokeza kisha njia sahihi zitapendekezwa jinsi ya kuzizuia au kuzikwepa. Haya mambo yanafanyika kwenye mradi yote mikubwa hata ndani ya mbuga zetu. Kinachofanya kelele kuwa nyingi wakati Huu ni kwamba mradi Huu utatupa energy sufficiency hivyo kusitisha uhitaji wa umeme wa dharura au gesi unaotengenezwa na makampuni ambayo yanatoka nchi zilizoendelea. Ila Mungu wa ajabu, katupa Magufuli na Nina imani mradi utaenda mbele. Hizi kelele za mazingira hazina mashiko kwani tathmini ya mazingira itafanyika na athari kama zinaweza jitokeza zitashughulikiwa.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom