Stiegler’s Gorge hydroelectric power plant said to affect World Heritage site hetitage

Leo baada ya kusoma post hii ndio naaanza kuona dhamira ya dhati ya uchumi wa viwanda, naungana na mchangiaji mmoja kwamba ningekuwa JPM ningesitisha hata mrad wa reli ya Standard gauge! jambo hili limekuwa likinitia uchungu mkubwa, leo ethiopia nchi iliyokumbwa na balaa kubwa la njaa itaanza kuuza umeme nchi nyingine na kuuza mbogamboga ulaya baada ya kumalizika Rennissance Dam litakalotoa megawat 6000. kuwa na uhakika wa power ndio chanzo cha maendeleo ya nchi, mradi wa reli, bandari,njia za juu, viwanda n.k tutaujenga na kuendesha kizalendo kizalendo zaidi kama tutakuwa na uhakika wa power,

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Kuhusu dhana ya uchafuz wa mazingira haina mashiko kwa miradi kama hii kwa sababu unaweza ukaathir kidogo viumbe hai katika eneo fulani lakini ukaleta neema kubwa na kuzalisha viumbe wengine wengi katika eneo lingine, vivyohivyo kwa mimea. Tathmini ya mazingira ikifanywa kizalendo itaibuka na athar zinazoweza kutatuliwa kirahisi sana. Ikumbukwe kuwa kwa kujenga bwawa tu ni kama umejenga kiwanda cha kuzalisha samaki! mf. bwawa la nyumba ya Mungu.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom