jaffari yogo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 685
- 148
Katika kufunga kampeni hapa Bunda mjini kwa wagombea ubunge kati ya Wassira na Esther ni pambano Kali sana.
Siku nyingine kabla ya kupost hebu shirikisha ubongo kwanzaWasira piga huyo dogooooo....
Hana adabu...hawezi kushindana na chama dumeee
dume mmeshindwa kumkamata lowasa na richmond?labda chama mfuWasira piga huyo dogooooo....
Hana adabu...hawezi kushindana na chama dumeee