Steven Wassira atahadharisha wasomi

Steven Wassira atahadharisha wasomi

kilombero yetu

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2011
Posts
1,004
Reaction score
117
Vijana wasomi wa vyuo vikuu nchini wameonywa kuwa wasipotumia taakuma yao kupambanua ukweli na uwongo wa vyama vya kisiasa, wataendelea kuwa wateja wa wanasiasa uchwara na wanaochumia matumbo.

Wassira aliyagungumza hayo alipokuwa amealikwa kwenye kongamano lililofanyika mwanza na kushirikisha vyuo mbalimbali kama SAUTI- MWANZA,CBE-MWANZA.

Pia kutambua kuwa hakuna uhusiano kati yafedha na akili hivyo watumie elimu na maarifa katika kupata viongozi bora wanaojali watu, nasio ukoo au ukanda.

Wasira akieleza kuwa fedha zinawezesha kupata elimu lakini hazina mahusiano na akilina kuwa hakuna anayeweza kuziiba.

Wassira ni waziri wa nchi ofisi ya rais mahusiano na uratibu ni moja kati ya viongozi waliowahi kuteuliwa na HAYATI baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere. akiwa mkuu wa wa wa mkoa wa Pwani.
 

Attachments

  • IMG_4786971208152.jpeg
    IMG_4786971208152.jpeg
    20.3 KB · Views: 558
  • wasira.JPG
    wasira.JPG
    33.3 KB · Views: 503
vijana wasomi wa vyuo vikuu nchini wameonywa kuwa wasipotumia taakuma yao kupambanua ukweli na uwongo wa vyama vya kisiasa, wataendelea kuwa wateja wa wanasiasa uchwara na wanaochumia matumbo.

wasira aliyagungumza hayo alipokuwa amealikwa kwenye kongamano lililofanyika mwanza na kushirikisha vyuo mbalimbali kama SAUTI- MWANZA,CBE-MWANZA.

Pia kutambua kuwa hakuna uhusiano kati yafedha na akili hivyo watumie elimu na maarifa katika kupata viongozi bora wanaojali watu, nasio ukoo au ukanda.

Wasira akieleza kuwa fedha zinawezesha kupata elimu lakini hazina mahusiano na akilina kuwa hakuna anayeweza kuziiba.

wasira ni waziri wa nchi ofisi ya rais mahusiano na uratibu ni moja kati ya viongozi waliowahi kuteuliwa na HAYATI baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere. akiwa mkuu wa wa wa mkoa wa pwani.

Angewaonya pia juu ya tabia ya ubaguzi na wasiige tabia yake mbaya iliyomfikisha kwenye hatua ya kuikana familia yake .Waziri wa mahusiano anayeshindewa hata kuweka misingi ya mahusiano ndani ya familia na ukoo wake

What a shame?

NB: Mleta mada jielimishe pia juu ya kuandika majina ya watu.Herufi kubwa hutumika mwanzoni mwa jina la mtu

Mfano Mwl.Julius Kambarage Nyerere.

Pia Wassira alisahau kukuasa wewe na wasomi wenzako kuhusu hili
 
Vijana wasomi wa vyuo vikuu nchini wameonywa kuwa wasipotumia taakuma yao kupambanua ukweli na uwongo wa vyama vya kisiasa, wataendelea kuwa wateja wa wanasiasa uchwara na wanaochumia matumbo.
...vipi, uko sawa!?

 
Angewaonya pia juu ya tabia ya ubaguzi na wasiige tabia yake mbaya iliyomfikisha kwenye hatua ya kuikana familia yake .Waziri wa mahusiano anayeshindewa hata kuweka misingi ya mahusiano ndani ya familia na ukoo wake

What a shame?

NB: Mleta mada jielimishe pia juu ya kuandika majina ya watu.Herufi kubwa hutumika mwanzoni mwa jina la mtu

Mfano Mwl.Julius Kambarage Nyerere.

Pia Wassira alisahau kukuasa wewe na wasomi wenzako kuhusu hili

Ben siunajua haraka ya vijana wa Lumumba FC kuleta udaku jf.....cyo kosa lake huo ndiyo uwezo wake anavyoandika ndivyo anavyoongea.
 
Vijana wasomi wa vyuo vikuu nchini wameonywa kuwa wasipotumia taakuma yao kupambanua ukweli na uwongo wa vyama vya kisiasa, wataendelea kuwa wateja wa wanasiasa uchwara na wanaochumia matumbo.

Kutoka kwenye UNABII hadi kuporomosha matusi (hapo juu kwenye bold)

Lakini kabla ya hajaacha shughuli yake anayoipenda sana ya UNABII, mimi ninaomba ajitabirie siku ya KIFO chake, maana alishatabiri CDM itakufa kabla ya 2015.

NABII Wassira jitabirie pia KIFO chako, ili tuamini kwamba kweli wewe ni GWIJI LA NABII Afrika Masharika na Kati!
 
Hakuna kitu hatari kama kulisha watu sumu
 
Vijana wasomi wa vyuo vikuu nchini wameonywa kuwa wasipotumia taakuma yao kupambanua ukweli na uwongo wa vyama vya kisiasa, wataendelea kuwa wateja wa wanasiasa uchwara na wanaochumia matumbo.



Pia kutambua kuwa hakuna uhusiano kati yafedha na akili hivyo watumie elimu na maarifa katika kupata viongozi bora wanaojali watu, nasio ukoo au ukanda.

Wasira akieleza kuwa fedha zinawezesha kupata elimu lakini hazina mahusiano na akilina kuwa hakuna anayeweza kuziiba.

Wassira ni waziri wa nchi ofisi ya rais mahusiano na uratibu ni moja kati ya viongozi waliowahi kuteuliwa na HAYATI baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere. akiwa mkuu wa wa wa mkoa wa Pwani.

Sina cha kusema hapo
 
Angewaonya pia juu ya tabia ya ubaguzi na wasiige tabia yake mbaya iliyomfikisha kwenye hatua ya kuikana familia yake .Waziri wa mahusiano anayeshindewa hata kuweka misingi ya mahusiano ndani ya familia na ukoo wake

What a shame?

NB: Mleta mada jielimishe pia juu ya kuandika majina ya watu.Herufi kubwa hutumika mwanzoni mwa jina la mtu

Mfano Mwl.Julius Kambarage Nyerere.

Pia Wassira alisahau kukuasa wewe na wasomi wenzako kuhusu hili

Mkuu mbona hajatuambia kwamba aliwahi pia kuwa mkuu wa mkoa huko kanda ya ziwa na akaingilia uhuru wa Mahakama kumuamrisha Hakimu awafunge watu waliotofautiana naye kwa wasiomjua huyu mtu wasome Kesi ya Hamisi Masisi and 6 others VRS Republic ya Mwaka 1985 kama sikosei.

Huyu bwana aliudhalilisha sana utawala wa Mwl.Nyerere huyo mleta uzi angejua asingemuhusisha kabisa huyu bwana na Nyerere hawa ndo wachache katika ya wale waliomchafua Mwalimu katika utawala wake pale alipokuwa mkuu wa mkoa wa mara .Hana Legacy yeyote na wala huwa hapendi kujiheshimu wala kuheshimu wengine kwani anazungumza mambo ambayo hayaendani na Cheo , nafasi pamoja na umri wake we have very little to learn and gain from him. Ajirekebishe kwanza ndipo aanze kushauri wengine vinginevyo akae kimya nadhani yeye ndiye mwenye kuhitaji kusaidiwa zaidi..
 
Sasa kuna wachumia tumbo kama hiki chama cha kifamilia Ccm? huyu mzee vipi jamani? Ccm baba akstaafu mama anachukua nafasi mama akitoka mtoto nk Wasomi wanaendelea kunyanyasika kwa bla bla za uongozi wa magamba.
 
Mtu anayelisha watu sumu ni mchawi a.k.a witchcraft,... At youngest age u dare to kill ur friend just for political favor? Shameless u idiot ...
 
Angewaonya pia juu ya tabia ya ubaguzi na wasiige tabia yake mbaya iliyomfikisha kwenye hatua ya kuikana familia yake .Waziri wa mahusiano anayeshindewa hata kuweka misingi ya mahusiano ndani ya familia na ukoo wake

What a shame?

NB: Mleta mada jielimishe pia juu ya kuandika majina ya watu.Herufi kubwa hutumika mwanzoni mwa jina la mtu

Mfano Mwl.Julius Kambarage Nyerere.

Pia Wassira alisahau kukuasa wewe na wasomi wenzako kuhusu hili

silly comment
 
Angewaonya pia juu ya tabia ya ubaguzi na wasiige tabia yake mbaya iliyomfikisha kwenye hatua ya kuikana familia yake .Waziri wa mahusiano anayeshindewa hata kuweka misingi ya mahusiano ndani ya familia na ukoo wake

What a shame?

NB: Mleta mada jielimishe pia juu ya kuandika majina ya watu.Herufi kubwa hutumika mwanzoni mwa jina la mtu

Mfano Mwl.Julius Kambarage Nyerere.

Pia Wassira alisahau kukuasa wewe na wasomi wenzako kuhusu hili

tuwalaani sana vijana wanaolisha wenzao sumu
 
Angewaonya pia juu ya tabia ya ubaguzi na wasiige tabia yake mbaya iliyomfikisha kwenye hatua ya kuikana familia yake .Waziri wa mahusiano anayeshindewa hata kuweka misingi ya mahusiano ndani ya familia na ukoo wake

What a shame?

NB: Mleta mada jielimishe pia juu ya kuandika majina ya watu.Herufi kubwa hutumika mwanzoni mwa jina la mtu

Mfano Mwl.Julius Kambarage Nyerere.

Pia Wassira alisahau kukuasa wewe na wasomi wenzako kuhusu hili

katika vijana wachache ambao tumewapoteza na wametumia rasilimali za nchi hii ikiwa sio riziki/ bahati mbaya ni pamoja na wewe. Huwezi kusimama mbele za watu ukajisifu kuwa wewe ni msomi halafu ukawa unalisha watu sumu, tena vijana wenzako
 
Hahaha....Mlisha Sumu amefanikiwa kuvuruga thread!

Vijana wa CCM ni nadra sana kutumia brain na ni rahisi kuingia mtegoni.Nimewamaliza !
 
Mkuu mbona hajatuambia kwamba aliwahi pia kuwa mkuu wa mkoa huko kanda ya ziwa na akaingilia uhuru wa Mahakama kumuamrisha Hakimu awafunge watu waliotofautiana naye kwa wasiomjua huyu mtu wasome Kesi ya Hamisi Masisi and 6 others VRS Republic ya Mwaka 1985 kama sikosei.

Huyu bwana aliudhalilisha sana utawala wa Mwl.Nyerere huyo mleta uzi angejua asingemuhusisha kabisa huyu bwana na Nyerere hawa ndo wachache katika ya wale waliomchafua Mwalimu katika utawala wake pale alipokuwa mkuu wa mkoa wa mara .Hana Legacy yeyote na wala huwa hapendi kujiheshimu wala kuheshimu wengine kwani anazungumza mambo ambayo hayaendani na Cheo , nafasi pamoja na umri wake we have very little to learn and gain from him. Ajirekebishe kwanza ndipo aanze kushauri wengine vinginevyo akae kimya nadhani yeye ndiye mwenye kuhitaji kusaidiwa zaidi..

Mkuu Kajunjumele: SI hilo tu Steven Wassira is a CONVICTED CRIMINAL BEFORE THE COURT OF LAW. Ni Tanzania tu ambapo a convicted criminal anaweza tena kuwa KIONGOZI wa NNCHI baada ya kumaliza ADHABU yake.

Steven Wassira alisahapatikana na HATIA MBELE YA MAHAKAMA ya kutoa RUSHWA wakati wa uchaguzi. Mahakama ikatengua UBUNGE wake na kumpatia adhabu ya kutogombea nafasi yeyote ya UONGOZI wa nchi hii kwa kipindi cha miaka 5. WATANZANIA WOTE MAKINI MNAWEZA KUPATA REFERENCE YA KESI HII HIGH COURT.

Eti leo mtu mwenye WASIFU HUU kati ya WATAZANIA 45 milioni ndiyo WAZIRI WA UTAWALA BORA! What a mockery of Democracy!.
 
Wasira hajitambui, mpenda madaraka alipokuwa NCCR Mageuzi aliikosoa sana CCM amerudi CCM anakosoa upinzani , naye ni mtu huyo ?
 
Mkuu mbona hajatuambia kwamba aliwahi pia kuwa mkuu wa mkoa huko kanda ya ziwa na akaingilia uhuru wa Mahakama kumuamrisha Hakimu awafunge watu waliotofautiana naye kwa wasiomjua huyu mtu wasome Kesi ya Hamisi Masisi and 6 others VRS Republic ya Mwaka 1985 kama sikosei.

Huyu bwana aliudhalilisha sana utawala wa Mwl.Nyerere huyo mleta uzi angejua asingemuhusisha kabisa huyu bwana na Nyerere hawa ndo wachache katika ya wale waliomchafua Mwalimu katika utawala wake pale alipokuwa mkuu wa mkoa wa mara .Hana Legacy yeyote na wala huwa hapendi kujiheshimu wala kuheshimu wengine kwani anazungumza mambo ambayo hayaendani na Cheo , nafasi pamoja na umri wake we have very little to learn and gain from him. Ajirekebishe kwanza ndipo aanze kushauri wengine vinginevyo akae kimya nadhani yeye ndiye mwenye kuhitaji kusaidiwa zaidi..

Kwa kuongezea tu ni kwamba mleta Hoja aende pale Diamond Motors akaulize ni kitu gani Wassira aliwatishia juu magari ? Huyu si mtu tunamjua vyema .
 
Back
Top Bottom