kilombero yetu
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,004
- 117
Vijana wasomi wa vyuo vikuu nchini wameonywa kuwa wasipotumia taakuma yao kupambanua ukweli na uwongo wa vyama vya kisiasa, wataendelea kuwa wateja wa wanasiasa uchwara na wanaochumia matumbo.
Wassira aliyagungumza hayo alipokuwa amealikwa kwenye kongamano lililofanyika mwanza na kushirikisha vyuo mbalimbali kama SAUTI- MWANZA,CBE-MWANZA.
Pia kutambua kuwa hakuna uhusiano kati yafedha na akili hivyo watumie elimu na maarifa katika kupata viongozi bora wanaojali watu, nasio ukoo au ukanda.
Wasira akieleza kuwa fedha zinawezesha kupata elimu lakini hazina mahusiano na akilina kuwa hakuna anayeweza kuziiba.
Wassira ni waziri wa nchi ofisi ya rais mahusiano na uratibu ni moja kati ya viongozi waliowahi kuteuliwa na HAYATI baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere. akiwa mkuu wa wa wa mkoa wa Pwani.
Wassira aliyagungumza hayo alipokuwa amealikwa kwenye kongamano lililofanyika mwanza na kushirikisha vyuo mbalimbali kama SAUTI- MWANZA,CBE-MWANZA.
Pia kutambua kuwa hakuna uhusiano kati yafedha na akili hivyo watumie elimu na maarifa katika kupata viongozi bora wanaojali watu, nasio ukoo au ukanda.
Wasira akieleza kuwa fedha zinawezesha kupata elimu lakini hazina mahusiano na akilina kuwa hakuna anayeweza kuziiba.
Wassira ni waziri wa nchi ofisi ya rais mahusiano na uratibu ni moja kati ya viongozi waliowahi kuteuliwa na HAYATI baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere. akiwa mkuu wa wa wa mkoa wa Pwani.