Steven Wassira atahadharisha wasomi

Steven Wassira atahadharisha wasomi

Angewaonya pia juu ya tabia ya ubaguzi na wasiige tabia yake mbaya iliyomfikisha kwenye hatua ya kuikana familia yake .Waziri wa mahusiano anayeshindewa hata kuweka misingi ya mahusiano ndani ya familia na ukoo wake

What a shame?

NB: Mleta mada jielimishe pia juu ya kuandika majina ya watu.Herufi kubwa hutumika mwanzoni mwa jina la mtu

Mfano Mwl.Julius Kambarage Nyerere.

Pia Wassira alisahau kukuasa wewe na wasomi wenzako kuhusu hili
Kinachokusumbua Bwana mdogo ni siasa za majitaka za kujadili watu na sio hoja.........embu chambua hii hoja;DR. Slaa: ''Tukishika Dola tutaruhusu utengenezaji wa pombe ya gongo kisheria''.Huwezi kuwa mwanasiasa kwa haya mambo yako ni mtu wa jazba na siasa majitaka. Jitahidini muunde chama kitaasisi zaidi na sio kifamilia (rejea mtikila chadema chumbani na chadema sebuleni),Sasa kwenye hiyo post yako umeejadili nini?makosa ya spelling kila mtu hufanya hata wewe mara kwa mara hufanya ila watu wanaacha sababu ni kawaida. Kuhusu Wasira kwa maoni yangu na ya wengi ni kwamba amejadili mambo ya msingi sana au ndio unataka JF ijae mambo ya DVD za Lema, ambazo hasemi kilichomo. Acha mambo yako dogo!!
 
Hahaha....Mlisha Sumu amefanikiwa kuvuruga thread!

Vijana wa CCM ni nadra sana kutumia brain na ni rahisi kuingia mtegoni.Nimewamaliza !

ImageUploadedByJamiiForums1387200513.635959.jpg
 
Kinachokusumbua Bwana mdogo ni siasa za majitaka za kujadili watu na sio hoja.........embu chambua hii hoja;DR. Slaa: ''Tukishika Dola tutaruhusu utengenezaji wa pombe ya gongo kisheria''.Huwezi kuwa mwanasiasa kwa haya mambo yako ni mtu wa jazba na siasa majitaka. Jitahidini muunde chama kitaasisi zaidi na sio kifamilia (rejea mtikila chadema chumbani na chadema sebuleni),Sasa kwenye hiyo post yako umeejadili nini?makosa ya spelling kila mtu hufanya hata wewe mara kwa mara hufanya ila watu wanaacha sababu ni kawaida. Kuhusu Wasira kwa maoni yangu na ya wengi ni kwamba amejadili mambo ya msingi sana au ndio unataka JF ijae mambo ya DVD za Lema, ambazo hasemi kilichomo. Acha mambo yako dogo!!

Kuhusu Gongo?

Rejea ukweli huu wa Entrepreneur

"Suala si kumtetea mtu, bali kujadili hoja zilizopo mezani. Hata kama hoja hizo zmetolewa na mpinzani wako kisiasa ni vyema kukubaliana nazo kama zina mashiko.

Sasa ukweli ni HUU,
Alichokisema Dr. Slaa si kipya ktk Taifa hili kwani tayari kina msingi wa
kisheria, tena zilizoandaliwa chini ya Serikali ya CCM.

Rejea; The Moshi (Manufacture and Distillation) Act, 1966 na The Traditional Liquor (Control and Distillation) Act Cap 385.

Sheria hizo zimeweka msingi wa namna ya kutengeneza, kusambaza na kuuza
pombe hiyo (Gongo/Piwa/Moshi)

Sheria hiyo pia inaunda Mamlaka ya Usimamizi na Utoaji leseni. Kama
serikali yetu sikivu ya CCM ingeamua kutekeleza sheria hizi kwa wakati huenda Taifa letu lisingeshuhudia vifo vinavyotokana na unywaji wa Pombe ambazo ubora wake unatiliwa mashaka kwani zingekuwa zinapimwa kwanza.

Kwa Taarifa tu ni kuwa Chief Quality Assurance kutoka TBS amewahi kuthibitisha ubora wa Pombe ya Gongo kutokea Kagera kupitia kipimo cha
Portable Spirit Specification TZS 468:1992 na kusema haina matatizo
yoyote kiafya"
 
Mtu anayezungumzia vijana wakati vyama ndio vinawatumia kama mtaji na hakuna kinachofanywa na Taifa kuwanyanyua mimi wala simuelewi kabisa!!!!!


Hayo mashina ya vijana vyamani ni ya nini kama sio "catchment area"???!!!!!!!
Sema na vijana kama wana.mawe vichwani wazito kuelewa na kusoma alama za nyakati!!!!
 
Kuhusu Gongo?

Rejea ukweli huu wa Entrepreneur

"Suala si kumtetea mtu, bali kujadili hoja zilizopo mezani. Hata kama hoja hizo zmetolewa na mpinzani wako kisiasa ni vyema kukubaliana nazo kama zina mashiko.

Sasa ukweli ni HUU,
Alichokisema Dr. Slaa si kipya ktk Taifa hili kwani tayari kina msingi wa
kisheria, tena zilizoandaliwa chini ya Serikali ya CCM.

Rejea; The Moshi (Manufacture and Distillation) Act, 1966 na The Traditional Liquor (Control and Distillation) Act Cap 385.

Sheria hizo zimeweka msingi wa namna ya kutengeneza, kusambaza na kuuza
pombe hiyo (Gongo/Piwa/Moshi)

Sheria hiyo pia inaunda Mamlaka ya Usimamizi na Utoaji leseni. Kama
serikali yetu sikivu ya CCM ingeamua kutekeleza sheria hizi kwa wakati huenda Taifa letu lisingeshuhudia vifo vinavyotokana na unywaji wa Pombe ambazo ubora wake unatiliwa mashaka kwani zingekuwa zinapimwa kwanza.

Kwa Taarifa tu ni kuwa Chief Quality Assurance kutoka TBS amewahi kuthibitisha ubora wa Pombe ya Gongo kutokea Kagera kupitia kipimo cha
Portable Spirit Specification TZS 468:1992 na kusema haina matatizo
yoyote kiafya"


Haina madhara yoyote kiafya na inaitwa pombe?????!!!!!
Hebu mku nifafanulie hapo??!!!!
 
tzs 468:1992

Kwa hiyo pale ndio wamesema haina madhara????!!!!!!!
Alcohol haina madhara kwenye mwili!!!!!
Au ndio mambo ya "Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako" huku unapandisha na kifurahia makusanyo juu ya athari ya afya kwa kisingizio cha ku discourage watumiaji?????!!!!!


Wanasiasa nyie wauaji kabisa!!!!!!
 
Tumekuelewa mzee wetu kwa ushauri mzuri kwetu sisi wasomi. kwani umekuwa mhimili kwetu kutukumbusha kuwa tuachane na chama cha wezi,wachumia tumbo,chama cha kifamilia kuanzia babu,bibi,mjomba,shangazi,mpaka mtoto hilo sisi kama wasomi tulishaliona miaka mingi na ndio maana kwa usomi huu wewe unaoamini kuwa tunao na ni kweli tunao tumeamua kuwa upande wa watetezi wa kweli CHADEMA.
 
Vijana wasomi wa vyuo vikuu nchini wameonywa kuwa wasipotumia taakuma yao kupambanua ukweli na uwongo wa vyama vya kisiasa, wataendelea kuwa wateja wa wanasiasa uchwara na wanaochumia matumbo.

Wassira aliyagungumza hayo alipokuwa amealikwa kwenye kongamano lililofanyika mwanza na kushirikisha vyuo mbalimbali kama SAUTI- MWANZA,CBE-MWANZA.

Pia kutambua kuwa hakuna uhusiano kati yafedha na akili hivyo watumie elimu na maarifa katika kupata viongozi bora wanaojali watu,



Ndio nini hapo kwenye red??
 
Nyie wanafamilia mshaurini huyu mzee wenu atulie zama zake ndio hivyo tena zimepita jama!
 
Jambo hili alilolizungumzia huyu mh. ni sahihi kwa kweli na kwa upande wangu nazidi kushangaa jinsi vijana wa leo Tz tunavyoendesha siasa zetu na jinsi tunavyotegemea maisha yetu kuongozwa au kuendeshwa na wanasiasa.Jambo la ajabu zaidi ni kwa wale ambao wanaitwa ama wanajiita wasomi vijana ndio wanaoongoza katika kuchezeshwa muziki wa wanasiasa bila hata kufikiria kama wako sahihi ama la.
Mheshimiwa kaonge jambo la msingi sana na nampa like ya juu hata kama ana mambo mengi ambayo mimi binafsi siyakubali,na ndio inavyotakiwa mtu akiongea kitu ambacho kweli kina maslahi kwa umma wa watanzania,basi ni vyema kumpa haki yake na si kuonyesha dharau na matusi maana hata yeye hakuwa akiongelea watu wa itikadi,chama ama mrengo fulani bali alikuwa anazungumzia vijana wasomi wote na si wa CDM,CUF ama NCCR pekee.
Chuki binafsi hazitaweza kujenga nchi hii maana inavyoonekana kuna watu fulani wakiwa na nyadhifa fulani basi hawataweza kupokea maoni ya watu fulani ambao wapo upande tofauti nao,hata kama maoni hayo au ushauri wao una manufaa makubwa sana.
VIJANA TUBADILIKE KWA KWELI
 
Wassira huyu huyu aliyetelekeza familia akakimbilia kwa mke wa marehemu Ndege. Au
 
Sasa kuna wachumia tumbo kama hiki chama cha kifamilia Ccm? huyu mzee vipi jamani? Ccm baba akstaafu mama anachukua nafasi mama akitoka mtoto nk Wasomi wanaendelea kunyanyasika kwa bla bla za uongozi wa magamba.

ww ndo -------- kabisaaa! Hata akili za darasani huna hata za mazingira pia huna kweli chadema weng wenu matahila.
 
Wananchi wa Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara, Wamekumbwa na Baa la Njaa tangu Mwishoni mwa Mwezi wa Oktoba Mwaka huu, huku MBUNGE wa Jimbo hilo la Serengeti aitwaye DR. STEVEN KEBWE akiendelea Kukaa Kimya ndani ya Bunge bila Kuchukua hatua Stahiki za Kukabiliana na tatizo hilo Kama Mwakilishi wa Wananchi hao. Akijibu Swali la Mzee "Mabochi Isambwe" Wa Kijiji cha Mbalibali Kata ya Kitunguruma Wilayani humo Kwa Njia ya Simu, Mbunge Kebwe alisema "Swala la Njaa nilitoa Maagizo Kwa Watumishi wa Ofisi yangu ya Mbunge huko Serengeti Kuwa Wawape taarifa ya Kupanda Viazi Vitamu haraka Kwa Kuwa Vinakomaa haraka ili Mkabiliane na tatizo hilo, na Kuhusu Msaada wa Serikali, Bajeti iliyotengwa ilikuwa ni Fedha ya Ruzuku ya Halmashauri tu... Labda tusubiri Labda Serikali Itatenga Fedha za Chakula cha Msaada Ingawa sina Uhakika Kwa Sababu hivi Sasa tunandaa Mipango ya Uchaguzi Ujao, Mzee Wangu nakushukuru sana Kunipigia, Wasalimie Wazee wa huko Mbalibali Uwambie ntakuja Kuwaona, Ahsante". Nawasilisha Wakuu!


silly comment
 
Vijana wasomi wa vyuo vikuu nchini wameonywa kuwa wasipotumia taakuma yao kupambanua ukweli na uwongo wa vyama vya kisiasa, wataendelea kuwa wateja wa wanasiasa uchwara na wanaochumia matumbo.

Wassira aliyagungumza hayo alipokuwa amealikwa kwenye kongamano lililofanyika mwanza na kushirikisha vyuo mbalimbali kama SAUTI- MWANZA,CBE-MWANZA.

Pia kutambua kuwa hakuna uhusiano kati yafedha na akili hivyo watumie elimu na maarifa katika kupata viongozi bora wanaojali watu, nasio ukoo au ukanda.

Wasira akieleza kuwa fedha zinawezesha kupata elimu lakini hazina mahusiano na akilina kuwa hakuna anayeweza kuziiba.

Wassira ni waziri wa nchi ofisi ya rais mahusiano na uratibu ni moja kati ya viongozi waliowahi kuteuliwa na HAYATI baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere. akiwa mkuu wa wa wa mkoa wa Pwani.

attachment.php
 
Vijana wasomi wa vyuo vikuu nchini wameonywa kuwa wasipotumia taakuma yao kupambanua ukweli na uwongo wa vyama vya kisiasa, wataendelea kuwa wateja wa wanasiasa uchwara na wanaochumia matumbo.

Wassira aliyagungumza hayo alipokuwa amealikwa kwenye kongamano lililofanyika mwanza na kushirikisha vyuo mbalimbali kama SAUTI- MWANZA,CBE-MWANZA.

Pia kutambua kuwa hakuna uhusiano kati yafedha na akili hivyo watumie elimu na maarifa katika kupata viongozi bora wanaojali watu, nasio ukoo au ukanda.

Wasira akieleza kuwa fedha zinawezesha kupata elimu lakini hazina mahusiano na akilina kuwa hakuna anayeweza kuziiba.

Wassira ni waziri wa nchi ofisi ya rais mahusiano na uratibu ni moja kati ya viongozi waliowahi kuteuliwa na HAYATI baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere. akiwa mkuu wa wa wa mkoa wa Pwani.

Kukurupuka hakutaisha kamwe! Bado mna safari ndefu mno!
 
Angewaonya pia juu ya
tabia ya ubaguzi na wasiige tabia yake mbaya iliyomfikisha kwenye hatua
ya kuikana familia yake .Waziri wa mahusiano anayeshindewa hata kuweka
misingi ya mahusiano ndani ya familia na ukoo wake

What a shame?

NB: Mleta mada jielimishe pia juu ya kuandika majina ya watu.Herufi
kubwa hutumika mwanzoni mwa jina la mtu

Mfano Mwl.Julius Kambarage Nyerere.

Pia Wassira alisahau kukuasa wewe na wasomi wenzako kuhusu hili

Duh!yani wewe unaijua familia yake kuliko yeye mwenyewe,,,,wewe lazima ni ukoo wa saccos pale ufipa st.
 
Back
Top Bottom