Huyo ni Steven Mengele sio steven Nyerere. Wenye jina lao wamempiga marufuku kutumia jina lao. Hadi mwanae eti anajiita Alex Nyerere..Wakuu
====
Haya ni maneno aliyoyaandika Ndugu yetu Steven Nyerere anafaa kuwa msemaji nambari 2 wa serikali Kwa namna Moja ama nyingine na picha utakazoona ndizo alizoweka Bwana Steven katika maandishi haya.
Wapo watu leo hawata lala Maana walitumia Nguvu nyingi kuandika kwenye mitandao kijamii kufanya vikao na wajinga wenzao Na walifika mbali zaidi kusema Kanda Ya ziwa Fyoko.
Naimani mpaka Muda huu watakuwa Wamepata majibu Ya Dr Samia Suluhu Hassan Anakubarika kwa vitendo sio braaaa braaaaaa.
Leo ni karibu Mama Na dhahiri wanasema Mama Tuachie October Tunatiki kila kona wanaongea ni Aibu sana kuendelea kubishana wakati Ukweli mnauwona.
Haya ni mafuriko ya Watu wanaompenda Rais wao Tena huku huku kanda ya ziwa Naimani wale Mapimbi Wameamua kunywa dawa za sukari presha Mapema leo.
Kanda ya Ziwa Asanteni Mmewajibu kwa vitendo wale waroho wa Madaraka Wenye kamdomo Kamdomo kamdomo.
View attachment 3377027
View attachment 3377028
View attachment 3377029
Interesting!I will comment later, I'm in the hospital right now... My cousin swallowed 512Gb memory card and he is singing all songs in it. We are praying and hoping it doesn't reach the video 📂 ☺️
Wajinga ndiyo watamuelewa Steve. Ni yupi mwenye akili timamu hajui upuuzi ulifanyika Mwanza na simiyu?Wakuu
====
Haya ni maneno aliyoyaandika Ndugu yetu Steven Nyerere anafaa kuwa msemaji nambari 2 wa serikali Kwa namna Moja ama nyingine na picha utakazoona ndizo alizoweka Bwana Steven katika maandishi haya.
Wapo watu leo hawata lala Maana walitumia Nguvu nyingi kuandika kwenye mitandao kijamii kufanya vikao na wajinga wenzao Na walifika mbali zaidi kusema Kanda Ya ziwa Fyoko.
Naimani mpaka Muda huu watakuwa Wamepata majibu Ya Dr Samia Suluhu Hassan Anakubarika kwa vitendo sio braaaa braaaaaa.
Leo ni karibu Mama Na dhahiri wanasema Mama Tuachie October Tunatiki kila kona wanaongea ni Aibu sana kuendelea kubishana wakati Ukweli mnauwona.
Haya ni mafuriko ya Watu wanaompenda Rais wao Tena huku huku kanda ya ziwa Naimani wale Mapimbi Wameamua kunywa dawa za sukari presha Mapema leo.
Kanda ya Ziwa Asanteni Mmewajibu kwa vitendo wale waroho wa Madaraka Wenye kamdomo Kamdomo kamdomo.
View attachment 3377027
View attachment 3377028
View attachment 3377029
Kwa hiyo huyu mtu, moja ya jina lake ni Omary; toka Muheza, Tanga. Kuna anayejuwa majina yake mawili mengine?Huyu mtu mmoja aliitwa Omary pale Mhueza Tanga enzi za mzee wetu Kikwete sina shaka kwamba hamfahamu, so dogo akae kwa tulia , maisha hubadilika
Kwani si wamelipwa🙄🙄Wakuu
====
Haya ni maneno aliyoyaandika Ndugu yetu Steven Nyerere anafaa kuwa msemaji nambari 2 wa serikali Kwa namna Moja ama nyingine na picha utakazoona ndizo alizoweka Bwana Steven katika maandishi haya.
Wapo watu leo hawata lala Maana walitumia Nguvu nyingi kuandika kwenye mitandao kijamii kufanya vikao na wajinga wenzao Na walifika mbali zaidi kusema Kanda Ya ziwa Fyoko.
Naimani mpaka Muda huu watakuwa Wamepata majibu Ya Dr Samia Suluhu Hassan Anakubarika kwa vitendo sio braaaa braaaaaa.
Leo ni karibu Mama Na dhahiri wanasema Mama Tuachie October Tunatiki kila kona wanaongea ni Aibu sana kuendelea kubishana wakati Ukweli mnauwona.
Haya ni mafuriko ya Watu wanaompenda Rais wao Tena huku huku kanda ya ziwa Naimani wale Mapimbi Wameamua kunywa dawa za sukari presha Mapema leo.
Kanda ya Ziwa Asanteni Mmewajibu kwa vitendo wale waroho wa Madaraka Wenye kamdomo Kamdomo kamdomo.
View attachment 3377027
View attachment 3377028
View attachment 3377029
Mkuu 'Magufuli05', wewe unauita "upuuzi"; wenzio huo ndio mpango mzima utakao wahakikishia kubaki madarakani kwa njia za kidanganyifu (kipuuzi) kama hizo!Wajinga ndiyo watamuelewa Steve. Ni yupi mwenye akili timamu hajui upuuzi ulifanyika Mwanza na simiyu?
Hamna haja ya kumuonea huruma, ndio ugali wake ulipo, hawezi kumpinga mama wala yoyote kwenye utawala wa CCM, watakuja wataondoka ila huyi mwamba mpaka ondoke ataganya kazi za ccmMuoneeni huruma kisha mwambieni akajifunze kwa Musiba
Huyu kuwadi naye eti ni think tankMuoneeni huruma kisha mwambieni akajifunze kwa Musiba
Unakuta ameyaongea hayo akiwa kanda ya ziwa na si mkaz wa kanda ya ziwaWakuu
====
Haya ni maneno aliyoyaandika Ndugu yetu Steven Nyerere anafaa kuwa msemaji nambari 2 wa serikali Kwa namna Moja ama nyingine na picha utakazoona ndizo alizoweka Bwana Steven katika maandishi haya.
Wapo watu leo hawata lala Maana walitumia Nguvu nyingi kuandika kwenye mitandao kijamii kufanya vikao na wajinga wenzao Na walifika mbali zaidi kusema Kanda Ya ziwa Fyoko.
Naimani mpaka Muda huu watakuwa Wamepata majibu Ya Dr Samia Suluhu Hassan Anakubarika kwa vitendo sio braaaa braaaaaa.
Leo ni karibu Mama Na dhahiri wanasema Mama Tuachie October Tunatiki kila kona wanaongea ni Aibu sana kuendelea kubishana wakati Ukweli mnauwona.
Haya ni mafuriko ya Watu wanaompenda Rais wao Tena huku huku kanda ya ziwa Naimani wale Mapimbi Wameamua kunywa dawa za sukari presha Mapema leo.
Kanda ya Ziwa Asanteni Mmewajibu kwa vitendo wale waroho wa Madaraka Wenye kamdomo Kamdomo kamdomo.
View attachment 3377027
View attachment 3377028
View attachment 3377029