Steven Nyerere: Kuna watu Leo hawatalala

Steven Nyerere: Kuna watu Leo hawatalala

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Wakuu

====
Haya ni maneno aliyoyaandika Ndugu yetu Steven Nyerere anafaa kuwa msemaji nambari 2 wa serikali Kwa namna Moja ama nyingine na picha utakazoona ndizo alizoweka Bwana Steven katika maandishi haya.

Wapo watu leo hawata lala Maana walitumia Nguvu nyingi kuandika kwenye mitandao kijamii kufanya vikao na wajinga wenzao Na walifika mbali zaidi kusema Kanda Ya ziwa Fyoko.

Naimani mpaka Muda huu watakuwa Wamepata majibu Ya Dr Samia Suluhu Hassan Anakubarika kwa vitendo sio braaaa braaaaaa.

Leo ni karibu Mama Na dhahiri wanasema Mama Tuachie October Tunatiki kila kona wanaongea ni Aibu sana kuendelea kubishana wakati Ukweli mnauwona.

Haya ni mafuriko ya Watu wanaompenda Rais wao Tena huku huku kanda ya ziwa Naimani wale Mapimbi Wameamua kunywa dawa za sukari presha Mapema leo.

Kanda ya Ziwa Asanteni Mmewajibu kwa vitendo wale waroho wa Madaraka Wenye kamdomo Kamdomo kamdomo.

-2098844803.jpg

-1877193266.jpg

2060649831.jpg
 
Wakuu

====
Haya ni maneno aliyoyaandika Ndugu yetu Steven Nyerere anafaa kuwa msemaji nambari 2 wa serikali Kwa namna Moja ama nyingine na picha utakazoona ndizo alizoweka Bwana Steven katika maandishi haya.

Wapo watu leo hawata lala Maana walitumia Nguvu nyingi kuandika kwenye mitandao kijamii kufanya vikao na wajinga wenzao Na walifika mbali zaidi kusema Kanda Ya ziwa Fyoko.

Naimani mpaka Muda huu watakuwa Wamepata majibu Ya Dr Samia Suluhu Hassan Anakubarika kwa vitendo sio braaaa braaaaaa.

Leo ni karibu Mama Na dhahiri wanasema Mama Tuachie October Tunatiki kila kona wanaongea ni Aibu sana kuendelea kubishana wakati Ukweli mnauwona.

Haya ni mafuriko ya Watu wanaompenda Rais wao Tena huku huku kanda ya ziwa Naimani wale Mapimbi Wameamua kunywa dawa za sukari presha Mapema leo.

Kanda ya Ziwa Asanteni Mmewajibu kwa vitendo wale waroho wa Madaraka Wenye kamdomo Kamdomo kamdomo.

View attachment 3377027
View attachment 3377028
View attachment 3377029
1750408976062.png
5678901.jpg
 
Wakuu

====
Haya ni maneno aliyoyaandika Ndugu yetu Steven Nyerere anafaa kuwa msemaji nambari 2 wa serikali Kwa namna Moja ama nyingine na picha utakazoona ndizo alizoweka Bwana Steven katika maandishi haya.

Wapo watu leo hawata lala Maana walitumia Nguvu nyingi kuandika kwenye mitandao kijamii kufanya vikao na wajinga wenzao Na walifika mbali zaidi kusema Kanda Ya ziwa Fyoko.

Naimani mpaka Muda huu watakuwa Wamepata majibu Ya Dr Samia Suluhu Hassan Anakubarika kwa vitendo sio braaaa braaaaaa.

Leo ni karibu Mama Na dhahiri wanasema Mama Tuachie October Tunatiki kila kona wanaongea ni Aibu sana kuendelea kubishana wakati Ukweli mnauwona.

Haya ni mafuriko ya Watu wanaompenda Rais wao Tena huku huku kanda ya ziwa Naimani wale Mapimbi Wameamua kunywa dawa za sukari presha Mapema leo.

Kanda ya Ziwa Asanteni Mmewajibu kwa vitendo wale waroho wa Madaraka Wenye kamdomo Kamdomo kamdomo.

View attachment 3377027
View attachment 3377028
View attachment 3377029
Nitafurahi sana kuona lami inajengwa Ifakara Malinyi Songea
 
Wakuu

====
Haya ni maneno aliyoyaandika Ndugu yetu Steven Nyerere anafaa kuwa msemaji nambari 2 wa serikali Kwa namna Moja ama nyingine na picha utakazoona ndizo alizoweka Bwana Steven katika maandishi haya.

Wapo watu leo hawata lala Maana walitumia Nguvu nyingi kuandika kwenye mitandao kijamii kufanya vikao na wajinga wenzao Na walifika mbali zaidi kusema Kanda Ya ziwa Fyoko.

Naimani mpaka Muda huu watakuwa Wamepata majibu Ya Dr Samia Suluhu Hassan Anakubarika kwa vitendo sio braaaa braaaaaa.

Leo ni karibu Mama Na dhahiri wanasema Mama Tuachie October Tunatiki kila kona wanaongea ni Aibu sana kuendelea kubishana wakati Ukweli mnauwona.

Haya ni mafuriko ya Watu wanaompenda Rais wao Tena huku huku kanda ya ziwa Naimani wale Mapimbi Wameamua kunywa dawa za sukari presha Mapema leo.

Kanda ya Ziwa Asanteni Mmewajibu kwa vitendo wale waroho wa Madaraka Wenye kamdomo Kamdomo kamdomo.

View attachment 3377027
View attachment 3377028
View attachment 3377029
Ng'ombe wa mama
#NoreformsNoelection
FB_IMG_1750398104281.jpg
Screenshot_2025-06-11-13-00-32-1.png
 
Hapo mbali ya kusomba watu hadi kwa matrekta, hivyo vikundi vya utamaduni vya utunbu3wooote wamelipwa...kwamba bila ushawishi wa pesa huyo sa100 hamna kitu!
 
I will comment later, I'm in the hospital right now... My cousin swallowed 512Gb memory card and he is singing all songs in it. We are praying and hoping it doesn't reach the video 📂 ☺️
 
Huyu mtu mmoja aliitwa Omary pale Mhueza Tanga enzi za mzee wetu Kikwete sina shaka kwamba hamfahamu, so dogo akae kwa tulia , maisha hubadilika
Wakuu

====
Haya ni maneno aliyoyaandika Ndugu yetu Steven Nyerere anafaa kuwa msemaji nambari 2 wa serikali Kwa namna Moja ama nyingine na picha utakazoona ndizo alizoweka Bwana Steven katika maandishi haya.

Wapo watu leo hawata lala Maana walitumia Nguvu nyingi kuandika kwenye mitandao kijamii kufanya vikao na wajinga wenzao Na walifika mbali zaidi kusema Kanda Ya ziwa Fyoko.

Naimani mpaka Muda huu watakuwa Wamepata majibu Ya Dr Samia Suluhu Hassan Anakubarika kwa vitendo sio braaaa braaaaaa.

Leo ni karibu Mama Na dhahiri wanasema Mama Tuachie October Tunatiki kila kona wanaongea ni Aibu sana kuendelea kubishana wakati Ukweli mnauwona.

Haya ni mafuriko ya Watu wanaompenda Rais wao Tena huku huku kanda ya ziwa Naimani wale Mapimbi Wameamua kunywa dawa za sukari presha Mapema leo.

Kanda ya Ziwa Asanteni Mmewajibu kwa vitendo wale waroho wa Madaraka Wenye kamdomo Kamdomo kamdomo.

View attachment 3377027
View attachment 3377028
View attachment 3377029
 
Wakuu

====
Haya ni maneno aliyoyaandika Ndugu yetu Steven Nyerere anafaa kuwa msemaji nambari 2 wa serikali Kwa namna Moja ama nyingine na picha utakazoona ndizo alizoweka Bwana Steven katika maandishi haya.

Wapo watu leo hawata lala Maana walitumia Nguvu nyingi kuandika kwenye mitandao kijamii kufanya vikao na wajinga wenzao Na walifika mbali zaidi kusema Kanda Ya ziwa Fyoko.

Naimani mpaka Muda huu watakuwa Wamepata majibu Ya Dr Samia Suluhu Hassan Anakubarika kwa vitendo sio braaaa braaaaaa.

Leo ni karibu Mama Na dhahiri wanasema Mama Tuachie October Tunatiki kila kona wanaongea ni Aibu sana kuendelea kubishana wakati Ukweli mnauwona.

Haya ni mafuriko ya Watu wanaompenda Rais wao Tena huku huku kanda ya ziwa Naimani wale Mapimbi Wameamua kunywa dawa za sukari presha Mapema leo.

Kanda ya Ziwa Asanteni Mmewajibu kwa vitendo wale waroho wa Madaraka Wenye kamdomo Kamdomo kamdomo.

View attachment 3377027
View attachment 3377028
View attachment 3377029
TUONDOLEE HII TAKATA IITWAYO MENGELE LAKINI IKAJIFANYA MTOTO WA NYERERE WAKATI NYERERE HAKUZAA MAZWAZWA NA CHAWA.
 
Wakuu

====
Haya ni maneno aliyoyaandika Ndugu yetu Steven Nyerere anafaa kuwa msemaji nambari 2 wa serikali Kwa namna Moja ama nyingine na picha utakazoona ndizo alizoweka Bwana Steven katika maandishi haya.

Wapo watu leo hawata lala Maana walitumia Nguvu nyingi kuandika kwenye mitandao kijamii kufanya vikao na wajinga wenzao Na walifika mbali zaidi kusema Kanda Ya ziwa Fyoko.

Naimani mpaka Muda huu watakuwa Wamepata majibu Ya Dr Samia Suluhu Hassan Anakubarika kwa vitendo sio braaaa braaaaaa.

Leo ni karibu Mama Na dhahiri wanasema Mama Tuachie October Tunatiki kila kona wanaongea ni Aibu sana kuendelea kubishana wakati Ukweli mnauwona.

Haya ni mafuriko ya Watu wanaompenda Rais wao Tena huku huku kanda ya ziwa Naimani wale Mapimbi Wameamua kunywa dawa za sukari presha Mapema leo.

Kanda ya Ziwa Asanteni Mmewajibu kwa vitendo wale waroho wa Madaraka Wenye kamdomo Kamdomo kamdomo.

View attachment 3377027
View attachment 3377028
View attachment 3377029
Dwarf aoneshe na malori yaliyowasombelea awe fair kubalanc3 story
 
Wakuu

====
Haya ni maneno aliyoyaandika Ndugu yetu Steven Nyerere anafaa kuwa msemaji nambari 2 wa serikali Kwa namna Moja ama nyingine na picha utakazoona ndizo alizoweka Bwana Steven katika maandishi haya.

Wapo watu leo hawata lala Maana walitumia Nguvu nyingi kuandika kwenye mitandao kijamii kufanya vikao na wajinga wenzao Na walifika mbali zaidi kusema Kanda Ya ziwa Fyoko.

Naimani mpaka Muda huu watakuwa Wamepata majibu Ya Dr Samia Suluhu Hassan Anakubarika kwa vitendo sio braaaa braaaaaa.

Leo ni karibu Mama Na dhahiri wanasema Mama Tuachie October Tunatiki kila kona wanaongea ni Aibu sana kuendelea kubishana wakati Ukweli mnauwona.

Haya ni mafuriko ya Watu wanaompenda Rais wao Tena huku huku kanda ya ziwa Naimani wale Mapimbi Wameamua kunywa dawa za sukari presha Mapema leo.

Kanda ya Ziwa Asanteni Mmewajibu kwa vitendo wale waroho wa Madaraka Wenye kamdomo Kamdomo kamdomo.

View attachment 3377027
View attachment 3377028
View attachment 3377029
Hata wajaze waganga hamna kitu
 
Kwanza aache kutumia hilo jina la Nyerere , nyau mkubwa anatembelea nyota ya majina ya watu. atumie hayo majina yake ya kikonongo
 
Sasa hizi "NYOMI" zinao uhusiano gani na hofu kubwa inayowatanda mioyoni Samia SUluhu Hassan na GENGE lake, hadi aogope kuwepo kwa uchaguzi HURU na wa HAKI?

Kwani haoni kuwa uchaguzi huo, na nyomi kama hizi zingemjengea heshima kubwa sana kama kiongozi?

Tatizo liko wapi?

Kwa kiasi hiki cha kupendwa, akina Heche na wenzake wangeachwa tu wapoteze muda wao kuzunguka nchi hii ambayo Samia kashika mioyo ya wananchi wake.
Kuna sababu zipi za kumweka Tundu Lissu kizuizini kwa mashauri ya kutungwa tu, wakati Samia Suluhu Hassan anapendwa kiasi hiki?

Haya ma-uchafu mengine ya watu kutekwa na wengine kuuawa, yanamsaidia kitu gani Samia, anayependwa kwa kiasi hiki na wananchi wa nchi hii?

Hayo mabaiskeli na mabahasha, ni ya nini hasa!
 
Back
Top Bottom