DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Wakuu
====
Haya ni maneno aliyoyaandika Ndugu yetu Steven Nyerere anafaa kuwa msemaji nambari 2 wa serikali Kwa namna Moja ama nyingine na picha utakazoona ndizo alizoweka Bwana Steven katika maandishi haya.
Wapo watu leo hawata lala Maana walitumia Nguvu nyingi kuandika kwenye mitandao kijamii kufanya vikao na wajinga wenzao Na walifika mbali zaidi kusema Kanda Ya ziwa Fyoko.
Naimani mpaka Muda huu watakuwa Wamepata majibu Ya Dr Samia Suluhu Hassan Anakubarika kwa vitendo sio braaaa braaaaaa.
Leo ni karibu Mama Na dhahiri wanasema Mama Tuachie October Tunatiki kila kona wanaongea ni Aibu sana kuendelea kubishana wakati Ukweli mnauwona.
Haya ni mafuriko ya Watu wanaompenda Rais wao Tena huku huku kanda ya ziwa Naimani wale Mapimbi Wameamua kunywa dawa za sukari presha Mapema leo.
Kanda ya Ziwa Asanteni Mmewajibu kwa vitendo wale waroho wa Madaraka Wenye kamdomo Kamdomo kamdomo.
====
Haya ni maneno aliyoyaandika Ndugu yetu Steven Nyerere anafaa kuwa msemaji nambari 2 wa serikali Kwa namna Moja ama nyingine na picha utakazoona ndizo alizoweka Bwana Steven katika maandishi haya.
Wapo watu leo hawata lala Maana walitumia Nguvu nyingi kuandika kwenye mitandao kijamii kufanya vikao na wajinga wenzao Na walifika mbali zaidi kusema Kanda Ya ziwa Fyoko.
Naimani mpaka Muda huu watakuwa Wamepata majibu Ya Dr Samia Suluhu Hassan Anakubarika kwa vitendo sio braaaa braaaaaa.
Leo ni karibu Mama Na dhahiri wanasema Mama Tuachie October Tunatiki kila kona wanaongea ni Aibu sana kuendelea kubishana wakati Ukweli mnauwona.
Haya ni mafuriko ya Watu wanaompenda Rais wao Tena huku huku kanda ya ziwa Naimani wale Mapimbi Wameamua kunywa dawa za sukari presha Mapema leo.
Kanda ya Ziwa Asanteni Mmewajibu kwa vitendo wale waroho wa Madaraka Wenye kamdomo Kamdomo kamdomo.