Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Duh hata mi nliingia cha kike.hii avatar nimeizoea kwa Nyani Ngabu basi nikadhan ngabu amebadili username
Hahahaaa!
Duh hata mi nliingia cha kike.hii avatar nimeizoea kwa Nyani Ngabu basi nikadhan ngabu amebadili username
nina uhakika hujamsikiliza, kuna wakati tuijadili hoja ya mtu na sio historia ya mtu huyo.... mitindo, tabia na fikra zetu hubadilishwa na yale tunayokutana nayo katika maishaTangu mama wema akakomeshe naona kuna nati zimelegea kichwani kwake maana siku hizi kanaropoka pumba tuu sijui posho zote kalizokua kanapokea zimekatwa!!!malipo ya unafiki hayo.
nina uhakika hujamsikiliza, kuna wakati tuijadili hoja ya mtu na sio historia ya mtu huyo.... mitindo, tabia na fikra zetu hubadilishwa na yale tunayokutana nayo katika maisha
Watu kwa ubuyu hawajambosorry heb nieleweshe fresh umemanisha nini, inaonekana kuna madini unataka kuyatoa
Majinga bhana sema hivi akili imeanza kumrudia sawa sawa. Ameona ni upumbafu kutumika hovyo hovyo na bashite ni kujishushia value. Majinga bhana.
hahahaWatu kwa ubuyu hawajambo
Steve Nyerere amedai kuwa kupigania Bongo movie dhidi ya maharamia wa filamu feki ni batili na za kujitafutia umaarufu kwa kuwa hilo ni suala la kitaifa linalotakiwa kuratibiwa nchi nzima na wakuu wote wa mikoa na polisi na sio Dar tu kwa kuwa vitu vingi vinavyovyoanzishwa hapa Dar vinafeli,
Pia alisema pia Makonda aliwaita watu watano, na tasnia ya filamu haiongozwi na watu hao
AHAHAHAHAHHAHAHHAHHA!sorry heb nieleweshe fresh umemanisha nini, inaonekana kuna madini unataka kuyatoa
Madini gani hayo mkuu? Unataka kuniletes TISS nini?mie nimewaza kwa sauti tu wala sio kwelisorry heb nieleweshe fresh umemanisha nini, inaonekana kuna madini unataka kuyatoa
hahahaaMadini gani hayo mkuu? Unataka kuniletes TISS nini?mie nimewaza kwa sauti tu wala sio kweli
teh tehAHAHAHAHAHHAHAHHAHHA!
mekushindwa tabia!
AKIKUPA HAYO MADINI unirushie hata mchanga wake tu utanifaa!kwa matumizi ya baadae!
Kushirikiana huko vepee,naogopa utani tongwe Roma na moni..au utani CUF Maana siku hizi hakuna kabisa kuaminianahahahaa
wala siyo TISS bhana mi nlikuwa nataka unipe zaid hayo mawazo yako, tushirikishane kiaina.
Nadhani atakurushia mchanga wa pwani ukupate jichoni. Hakuna Hata madini Hapa,vumbi tu Ndio limejaaAHAHAHAHAHHAHAHHAHHA!
mekushindwa tabia!
AKIKUPA HAYO MADINI unirushie hata mchanga wake tu utanifaa!kwa matumizi ya baadae!
kan'tangaze siyo vzuri kunyimana bhana.Kushirikiana huko vepee,naogopa utani tongwe Roma na moni..au utani CUF Maana siku hizi hakuna kabisa kuaminiana
Hiyo Avator ni ya watu wa "Callmeje"..hii avatar nimeizoea kwa Nyani Ngabu basi nikadhan ngabu amebadili username